Rais Samia anayepingwa kwa uzanzibari wake ndiye amefanya makubwa kuliko hao Marais wa Tanganyika

Rais Samia anayepingwa kwa uzanzibari wake ndiye amefanya makubwa kuliko hao Marais wa Tanganyika

Nikichaa pekee anayeweza kuamini kuwa huyu mzanzibari kafanya makubwa kuliko wengine waliomtangulia.
hakuna hata kimoja, labda kuuza bandari kwa dp world hata kama Watanganyika walipinga sana, kuuza mbuga, kufukuza masai na mambo kibao ambayo asingeweza kuyafanya zanzibari.
 
hebu jaribu kuwa honest to yourself as a grown up human being! ni kipi Samia amefanya kuzidi marais waliotangulia, kipi kaanzisha, kipi kipya? manake SGR ni Magufuli, bwawa la nyerere ni magufuli, mambo yoote mnayomsifia ni Magufuli na kama angekuwa yeye ndio rais miaka hiyo SGR asingeanzisha wala bwawa la nyerere ambalo wazungu walikuwa wanalipinga, na yeye anasikiliza zaidi wazungu. tuambieni, kipi kipya samia ameanzisha na kinaonekana zaidi ya kupalilia tu pale wenzake walipotoa jasho.
Nyie punguani hivi mnaishi Dunia gani?

Tuanze na Afya
-Amejenga Hospital za Wilaya zote Tanzania (127 Mpya) na kumalizika zile zilizoanzishwa na Mwendazake
-Amejenga Vituo vya Afya zaidi ya 360
-Amejenga Hospital za Mkoa Mpya 5(Shy,Songea, Ukerewe,Rukwa,Mbagala)
-Ameweka MRIMachines 13
-Amenunua CT scans 26
-Amejenga Majengo ya Dharura Hospital zote za Wilaya,Mkoa na Vituo vya Afya
-Amenunua magari ya Wagonjwa 700
-Amenunua Vifaa tiba kushinda Rais mwingine yeyote hapa Tanzania
-Ameajiri maelfu ya Watumishi kwenye sekta ya Afya
-Anajenga hospital ya Rufaa ya Knada ya Magharibi-Kigoma na Kanda ya Ziwa Ukerewe
-Amemaliza Hospital zote ambazo Mwendazake alishindwa
20231110_153848.jpg
20231112_190454.jpg
20240108_091436.jpg


Vyote hivyo havikuwepo kabla ya 2021-2023 ,na vingine vingi vinaendelea.

Na wewe taja alivyofanya Magufuli
 
Nyie punguani hivi mnaishi Dunia gani?

Tuanze na Afya
-Amejenga Hospital za Wilaya zote Tanzania (127 Mpya) na kumalizika zile zilizoanzishwa na Mwendazake
-Amejenga Vituo vya Afya zaidi ya 360
-Amejenga Hospital za Mkoa Mpya 5(Shy,Songea, Ukerewe,Rukwa,Mbagala)
-Ameweka MRIMachines 13
-Amenunua CT scans 26
-Amejenga Majengo ya Dharura Hospital zote za Wilaya,Mkoa na Vituo vya Afya
-Amenunua magari ya Wagonjwa 700
-Amenunua Vifaa tiba kushinda Rais mwingine yeyote hapa Tanzania
-Ameajiri maelfu ya Watumishi kwenye sekta ya Afya
-Anajenga hospital ya Rufaa ya Knada ya Magharibi-Kigoma na Kanda ya Ziwa Ukerewe
-Amemaliza Hospital zote ambazo Mwendazake alishindwa
View attachment 2984225View attachment 2984226View attachment 2984227

Vyote hivyo havikuwepo kabla ya 2021-2023 ,na vingine vingi vinaendelea.

Na wewe taja alivyofanya Magufuli
kwahiyo wewe kama mtu mzima kabisa, una familia pengine, unaamini hayo uliyoandika ndio yamezidi yale ambao marais wengine wameyafanya? unajua MRI na CT SCAN zinauzwa shilingi ngapi hadi yeye anunua hizo chache?
 
NI WANANCHI GANI AMBAO CHADEMA WANAWASEMEA KUWA WANAITAKA TANGANYIKA YAO??HAO CHADEMA NI WEHU TU MUDA MCHACHE UJAO WATAANZA KUOKOTA MAKOPO NA KULA KWENYE MAJALALA
 
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?

Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.

Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.

Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.

Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.

Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.

Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.

Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.

Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Kafanya kitu gani kwa mwananchi zaidi ya kuwabeba wafanyabiashara wenzie kama wewe jizi namba moja?
 
Ebu orodhesha mambo ambayo ameyafanya ili hoja yako ikubalike.
Ni mengi mnoo,nimeshamjibu mwenzio kwenye Afya tuu hapo.Wewe sema unataka sekta gani manaa Samia kapiga kote kuanzia michezo Hadi Kilimo.

Wewe sema unataka sekta gani ,mfano sekta ya Anga ya ujenzi wa wa viwanja vya ndege unaendelea Mikoa 14 na vyote ni vipya.
 
kwahiyo ninyi ambao miaka yote shule zenu zinashika mkia, unaona elimu ambayo ninyi mmeshindwa kuiweka kichwani mwenu ni mambo ya kizungu? una tofauti gani na boko haram sasa wewe? wanaosema elimu ya kizungu ni haram wakati wanauwa wakristo kwa kutumia bunduki zilizotengenezwa kutokana na elimu ya kizungu, wanatumia simu zilizotokana na elimu ya kizungu, wanatumia youtube na mitandao mingine kurusha terror messeges na mitandao hiyo imetumia elimu ya kuzungu. tuwaweke kundi gani ninyi?
Elimu hii isiyokuwa na manufaa, kaangalia Dubai 1990 ilikuwa jangwa leo iko wapi? Htuwezi kukariri ujinga huo tupeni mikoa yetu tujitegemee muona tutakuwa wapi.

Mmefanya nn mpaka leo? Bunduki zipi wakati kabla ya mkoloni mpaka leo wazigua ni maarufu kwa kutengenzea bunduki , jaribu kzunguka sio kukariri. 😀 😀 Japan wapo 6G wewe na elimu yako ya kuletwa utabaki kuvaa suti kama maiti.
 
NI WANANCHI GANI AMBAO CHADEMA WANAWASEMEA KUWA WANAITAKA TANGANYIKA YAO??HAO CHADEMA NI WEHU TU MUDA MCHACHE UJAO WATAANZA KUOKOTA MAKOPO NA KULA KWENYE MAJALALA
tupo wengi tu, ninyi magaidi ndio hamuitaki Tanganyika, ila sisi wengine, Tanganyika is just a matter of time, itarudi tu.
 
kwahiyo wewe kama mtu mzima kabisa, una familia pengine, unaamini hayo uliyoandika ndio yamezidi yale ambao marais wengine wameyafanya? unajua MRI na CT SCAN zinauzwa shilingi ngapi hadi yeye anunua hizo chache?
Ndio maana nakwambia wewe ni punguani kama sio mpumbavu.Wakati unasali ni chache hakuna hata Mkoa mmja ulikuwa na hivyo vifaa kabla ya 2021.Kama ni bei chee why hawakununua?

Nikikuita punguani nitakuwa nimekosea? Bei za hivyo vifaa ninzaodinya Bilioni 3 CT Scan 1 ,Zaidi ya Bil.6 MRI na Kwa taarifa Yako tuu amenunua Digita X rays Kwa hospital zote za Wilaya ,hivyo vifaa mlikuwa mnavipata hospital chache sana hapa Tanzania.

Usirudie tena kumlinganisha Samia na wajinga mliozoea maneno badala ya kazi.
 
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?

Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.

Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.

Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.

Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.

Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.

Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.

Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.

Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Umeongea KWELI kabisa,

Amefanya makubwa kuliko yeyote aliyepita,

Kugawa Bure bandari zote, kufukuza maasai ngorongoro, nk nk, ni mambo makubwa hayajawahi fanywa na yeyote kabla.

HOJA nzuri!!
 
Elimu hii isiyokuwa na manufaa, kaangalia Dubai 1990 ilikuwa jangwa leo iko wapi? Htuwezi kukariri ujinga huo tupeni mikoa yetu tujitegemee muona tutakuwa wapi.

Mmefanya nn mpaka leo? Bunduki zipi wakati kabla ya mkoloni mpaka leo wazigua ni maarufu kwa kutengenzea bunduki , jaribu kzunguka sio kukariri. 😀 😀 Japan wapo 6G wewe na elimu yako ya kuletwa utabaki kuvaa suti kama maiti.
Ni Samia ndio amefanya Mageuzi makubwa ya Elimu , wengine vipaombele vyao ilikuwa ni madaraja huku wakiendelea kuwaacha na ujinga wenu kichwani.

Kwa Samia Hilo ni historia,uelekeo ni Elimu ujuzi na wewe unajua kwamba amefanya Mageuzi ya mitaala na Sasa kazi ya utekelezwaji imeanza.

Hakuna mtoto wa Tanzania atamaliza ngazi yeyote ya Elimu awe hajui skills yeyote
Screenshot_20240508-074952.jpg
Screenshot_20240508-075026.jpg
 
Back
Top Bottom