Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu orodhesha mambo ambayo ameyafanya ili hoja yako ikubalike.Wewe Kwa ujinga wako unadhani Rais yupi anaweza mfikia Samia? Au unadhani Kila mtu ni mbumbumbu kama wewe?
hakuna hata kimoja, labda kuuza bandari kwa dp world hata kama Watanganyika walipinga sana, kuuza mbuga, kufukuza masai na mambo kibao ambayo asingeweza kuyafanya zanzibari.Nikichaa pekee anayeweza kuamini kuwa huyu mzanzibari kafanya makubwa kuliko wengine waliomtangulia.
Nyie punguani hivi mnaishi Dunia gani?hebu jaribu kuwa honest to yourself as a grown up human being! ni kipi Samia amefanya kuzidi marais waliotangulia, kipi kaanzisha, kipi kipya? manake SGR ni Magufuli, bwawa la nyerere ni magufuli, mambo yoote mnayomsifia ni Magufuli na kama angekuwa yeye ndio rais miaka hiyo SGR asingeanzisha wala bwawa la nyerere ambalo wazungu walikuwa wanalipinga, na yeye anasikiliza zaidi wazungu. tuambieni, kipi kipya samia ameanzisha na kinaonekana zaidi ya kupalilia tu pale wenzake walipotoa jasho.
kwahiyo wewe kama mtu mzima kabisa, una familia pengine, unaamini hayo uliyoandika ndio yamezidi yale ambao marais wengine wameyafanya? unajua MRI na CT SCAN zinauzwa shilingi ngapi hadi yeye anunua hizo chache?Nyie punguani hivi mnaishi Dunia gani?
Tuanze na Afya
-Amejenga Hospital za Wilaya zote Tanzania (127 Mpya) na kumalizika zile zilizoanzishwa na Mwendazake
-Amejenga Vituo vya Afya zaidi ya 360
-Amejenga Hospital za Mkoa Mpya 5(Shy,Songea, Ukerewe,Rukwa,Mbagala)
-Ameweka MRIMachines 13
-Amenunua CT scans 26
-Amejenga Majengo ya Dharura Hospital zote za Wilaya,Mkoa na Vituo vya Afya
-Amenunua magari ya Wagonjwa 700
-Amenunua Vifaa tiba kushinda Rais mwingine yeyote hapa Tanzania
-Ameajiri maelfu ya Watumishi kwenye sekta ya Afya
-Anajenga hospital ya Rufaa ya Knada ya Magharibi-Kigoma na Kanda ya Ziwa Ukerewe
-Amemaliza Hospital zote ambazo Mwendazake alishindwa
View attachment 2984225View attachment 2984226View attachment 2984227
Vyote hivyo havikuwepo kabla ya 2021-2023 ,na vingine vingi vinaendelea.
Na wewe taja alivyofanya Magufuli
Kafanya kitu gani kwa mwananchi zaidi ya kuwabeba wafanyabiashara wenzie kama wewe jizi namba moja?Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?
Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.
Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.
Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.
Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.
Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.
Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.
Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.
Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Ni mengi mnoo,nimeshamjibu mwenzio kwenye Afya tuu hapo.Wewe sema unataka sekta gani manaa Samia kapiga kote kuanzia michezo Hadi Kilimo.Ebu orodhesha mambo ambayo ameyafanya ili hoja yako ikubalike.
Elimu hii isiyokuwa na manufaa, kaangalia Dubai 1990 ilikuwa jangwa leo iko wapi? Htuwezi kukariri ujinga huo tupeni mikoa yetu tujitegemee muona tutakuwa wapi.kwahiyo ninyi ambao miaka yote shule zenu zinashika mkia, unaona elimu ambayo ninyi mmeshindwa kuiweka kichwani mwenu ni mambo ya kizungu? una tofauti gani na boko haram sasa wewe? wanaosema elimu ya kizungu ni haram wakati wanauwa wakristo kwa kutumia bunduki zilizotengenezwa kutokana na elimu ya kizungu, wanatumia simu zilizotokana na elimu ya kizungu, wanatumia youtube na mitandao mingine kurusha terror messeges na mitandao hiyo imetumia elimu ya kuzungu. tuwaweke kundi gani ninyi?
tupo wengi tu, ninyi magaidi ndio hamuitaki Tanganyika, ila sisi wengine, Tanganyika is just a matter of time, itarudi tu.NI WANANCHI GANI AMBAO CHADEMA WANAWASEMEA KUWA WANAITAKA TANGANYIKA YAO??HAO CHADEMA NI WEHU TU MUDA MCHACHE UJAO WATAANZA KUOKOTA MAKOPO NA KULA KWENYE MAJALALA
Ndio maana nakwambia wewe ni punguani kama sio mpumbavu.Wakati unasali ni chache hakuna hata Mkoa mmja ulikuwa na hivyo vifaa kabla ya 2021.Kama ni bei chee why hawakununua?kwahiyo wewe kama mtu mzima kabisa, una familia pengine, unaamini hayo uliyoandika ndio yamezidi yale ambao marais wengine wameyafanya? unajua MRI na CT SCAN zinauzwa shilingi ngapi hadi yeye anunua hizo chache?
Una mtindio wa ubongo si ndio? Haya kufanya kitu Kwa Wananchi ni kufanya nini? Nisijekuwa naongea na watu wajinga 👇👇Kafanya kitu gani kwa mwananchi zaidi ya kuwabeba wafanyabiashara wenzie kama wewe jizi namba moja?
Umemaliza?
Weka hapa hiyo miradi ya geneus kuanzia 2020 Hadi 2016 tulinganishe na hii ya Samia kwenye sekta 1 tuu ya Kilimo 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C6rILxQtUMy/?igsh=Mm9ienliYnQ5bWJy
My Take: Marais wote waliopita ni akili za sisimizi hususani huyo unaemuita geneou.
Umeongea KWELI kabisa,Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?
Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.
Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.
Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.
Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.
Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.
Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.
Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.
Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Mkishabugia urojo huwa mnaropoka sana.Wabara wengi hawana uwezo wa kiakili zaidi ya kukariri masomo ya kizungu.
Ni Samia ndio amefanya Mageuzi makubwa ya Elimu , wengine vipaombele vyao ilikuwa ni madaraja huku wakiendelea kuwaacha na ujinga wenu kichwani.Elimu hii isiyokuwa na manufaa, kaangalia Dubai 1990 ilikuwa jangwa leo iko wapi? Htuwezi kukariri ujinga huo tupeni mikoa yetu tujitegemee muona tutakuwa wapi.
Mmefanya nn mpaka leo? Bunduki zipi wakati kabla ya mkoloni mpaka leo wazigua ni maarufu kwa kutengenzea bunduki , jaribu kzunguka sio kukariri. 😀 😀 Japan wapo 6G wewe na elimu yako ya kuletwa utabaki kuvaa suti kama maiti.
Mimi kwetu Njombe ila nikiangalia level za Kiongozi za watu wa Bara ni masikitiko makubwa 🤣🤣Wabara wengi hawana uwezo wa kiakili zaidi ya kukariri masomo ya kizungu.