Rais Samia anayepingwa kwa uzanzibari wake ndiye amefanya makubwa kuliko hao Marais wa Tanganyika

Rais Samia anayepingwa kwa uzanzibari wake ndiye amefanya makubwa kuliko hao Marais wa Tanganyika

Kweli amefanya makubwa kuuza bandari, ngorongoro, KIA, misitu, DC wa kilosa kutoka Zanzibar, madini
 
Kweli amefanya makubwa kuuza bandari, ngorongoro, KIA, misitu, DC wa kilosa kutoka Zanzibar, madini
Baada ya kuuza Sasa pesa zinamimimika kwenye Bajeti ya Nchi kama zote.

Bado Kuna mashirika mengi ya kipumbavu yanatakiwa kuuzwa Ili kuleta ufanisi
 
Nyie punguani hivi mnaishi Dunia gani?

Tuanze na Afya
-Amejenga Hospital za Wilaya zote Tanzania (127 Mpya) na kumalizika zile zilizoanzishwa na Mwendazake
-Amejenga Vituo vya Afya zaidi ya 360
-Amejenga Hospital za Mkoa Mpya 5(Shy,Songea, Ukerewe,Rukwa,Mbagala)
-Ameweka MRIMachines 13
-Amenunua CT scans 26
-Amejenga Majengo ya Dharura Hospital zote za Wilaya,Mkoa na Vituo vya Afya
-Amenunua magari ya Wagonjwa 700
-Amenunua Vifaa tiba kushinda Rais mwingine yeyote hapa Tanzania
-Ameajiri maelfu ya Watumishi kwenye sekta ya Afya
-Anajenga hospital ya Rufaa ya Knada ya Magharibi-Kigoma na Kanda ya Ziwa Ukerewe
-Amemaliza Hospital zote ambazo Mwendazake alishindwa
View attachment 2984225View attachment 2984226View attachment 2984227

Vyote hivyo havikuwepo kabla ya 2021-2023 ,na vingine vingi vinaendelea.

Na wewe taja alivyofanya Magufuli
Wewe unaakili kweli rais ndio amefanya hayo au ni bajeti ilipangwa kutekeleza hayo, unapozungumzia rais kufanya Jambo ni lazima liwe linahusisha taifa Kwa ujumla lenye kubadilisha mipango ya nchii.

Mfano: magufuli alifanya maamuzi ambayo ni ya kitaifa, kujenga bwawa la umeme ambalo linazalisha umeme ambalo Tanzania tokea ipate Uhuru haijawai kuuzalisha mg: 2100.

Alifanya maamuzi ya kujenga reli ambayo hayajafanyika Kwa miaka 120,tokea reli ya wachina ya Msaada.

Alifanya maamuzi ya kujenga daraja lefu kuliko yote Tanzania pale ziwani mwanza.

Alifanya maamuzi ya kufufua shirika la ndege ambalo lilikufa Kwa miaka ZAIDI ya ishirini.

Alifanya ujasusi WA kiuchumi kuinyang'anya Kenya mradi wa Bomba la mafuta kuuleta Tanzania.

Aliweza kusimama kidete kile alichokiamini kutetea wananchi wake kuhusu korona na kutuaminisha kwamba huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine tuuzoee na tuishi nao, na ndicho mwisho WA siku WHO wakaja kukili kuwa tujifunze kuishi nao.

Ndiye aliyeasisi mfumo wa ukusanyaji wa Kodi huu huu unaona awamu hii inajisifia.

Ndiye aliyevunja rekodi ya kuamisha makao makuu ya nchii na kujenga ikulu tokea Uhuru.

Amefanya mageuzu ya mfumo wa madini ya nchii hii kitu ambachi hakuna rais yoyote aliyewai kuthubutu Kwa kuwahofia wazungu.


Haya ndio mambo ya kitaifa ambayo rais anapaswa kuyafanya ya kukumbukwa, hayo madogo madogo JPM kayafanya mengi mpaka bhasi.
 
Nyie punguani hivi mnaishi Dunia gani?

Tuanze na Afya
-Amejenga Hospital za Wilaya zote Tanzania (127 Mpya) na kumalizika zile zilizoanzishwa na Mwendazake
-Amejenga Vituo vya Afya zaidi ya 360
-Amejenga Hospital za Mkoa Mpya 5(Shy,Songea, Ukerewe,Rukwa,Mbagala)
-Ameweka MRIMachines 13
-Amenunua CT scans 26
-Amejenga Majengo ya Dharura Hospital zote za Wilaya,Mkoa na Vituo vya Afya
-Amenunua magari ya Wagonjwa 700
-Amenunua Vifaa tiba kushinda Rais mwingine yeyote hapa Tanzania
-Ameajiri maelfu ya Watumishi kwenye sekta ya Afya
-Anajenga hospital ya Rufaa ya Knada ya Magharibi-Kigoma na Kanda ya Ziwa Ukerewe
-Amemaliza Hospital zote ambazo Mwendazake alishindwa
View attachment 2984225View attachment 2984226View attachment 2984227

Vyote hivyo havikuwepo kabla ya 2021-2023 ,na vingine vingi vinaendelea.

Na wewe taja alivyofanya Magufuli
Hata huku kijijini,

Ujenzi wa choo, Huwa hatuendi kukopa mkopo.

Iweje Serikali ijisifie kwenda kukopa Ili kujenga vyoo?
 
Hata huku kijijini,

Ujenzi wa choo, Huwa hatuendi kukopa mkopo.

Iweje Serikali ijisifie kwenda kukopa Ili kujenga vyoo?
Kwa hiyo kabla ya Samia hajajenga vyoo vya Mkopo mlikuwa mnakunya wapi? 🤣🤣,Ziwani au vichakani? 😁😁
 
JK mlimsifia, Leo tunalia, mkapa mlimsifia Leo tunalia, mwalimu mlimsifia Leo muungano unatunyonga, mwinyi mlimsifia Leo tunalia.

Mwaka 2030 bi ushungi tutaanza kumtukana na kumsema.

Sasa sielewi uchaguzi wenu kumpata mkuu wa nchi mnaufanya kwa manufaa ya nani?
 
Uwezo WA yule bibi , elimu yake, ni tatizo. Baba Abdul Alisha waachia kapiga kimya anawashangaa sana
 
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?

Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.

Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.

Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.

Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.

Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.

Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.

Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.

Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Kwa hiyo unamlalamikia Lissu akugawie maokoto!?
 
Tatizo sulio kujebga vituo vya afya nchi nzima kutibu watu. Tatizo ni kukinga watu wasiugue kupunguza gharana za matibabu.

Majengo hata MOI yapi tatizo ni huduma na uwezo wa wataalam tulio nao.
 
Nikunukuu, "Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita", (mwisho wa kunukuu).
Umetembelea Vijiji gani na vingapi Tanganyika, ukakuta hiyo Miradi ya Shule?
Unachoongea ni ndoto za mchana.
Nipo Kijijini.
Katika Kata nzima ninayoishi, hakuna Mradi hata mmoja wa Samia.
Limetengwa eneo la kujenga Sekondari ya Kata, ikasemwa kwamba pesa zitakuja, na hakuna kilichokuja.
Yasemekana pesa zimeliwa Wilayani.
Na waliokula wamekula kwa urefu wa Kamba yao, ambayo ni ruksa katika Awamu ya Sita.
Hakuna anayewajibishwa.
Lakini huko Zanzibar, nimeona kwenye Vyombo vya Habari, picha ya Shule ya Msingi, yenye Ghorofa Tatu, iliyojengwa kwa Hela za Samia.
Huku Tanganyika, tumelamba GARASA.
Tumepigwa changa la macho.
CHADEMA wako sahihi.
Ndiyo sababu Chawa wa Mama wamechanganyikiwa.
Hawana majibu.
Wewe ukiwa mmojawao.
Hizo shule wakimaliza wanaelekea wapi?
Hizo shule mnazo zijenga kama uyoga ,ndizo zitakazotumika kuiondoa ccm madarakani 2030
 
Umemaliza?

Weka hapa hiyo miradi ya geneus kuanzia 2020 Hadi 2016 tulinganishe na hii ya Samia kwenye sekta 1 tuu ya Kilimo 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C6rILxQtUMy/?igsh=Mm9ienliYnQ5bWJy

My Take: Marais wote waliopita ni akili za sisimizi hususani huyo unaemuita geneou.

Maandishi tu haya kwenye uhalisia tunajua hali ngumu
Mko bize kununua magari ya bil 500 ila kununua madawa na kujenga vyoo vya shule mpaka mtegemee michango ya wahisani
Vipi pesa ya covid bado ipo?
 
Unajisikiaje mtu kutoka Zanzibar,anateuliwa kuja kuwa DC kilosa, wakati kule wapo watu 1.5m, unawanyima huo udc watu 60 m wa bara?
 
Kwa hiyo kabla ya Samia hajajenga vyoo vya Mkopo mlikuwa mnakunya wapi? 🤣🤣,Ziwani au vichakani? 😁😁
Sasa ukikopa pesa ukajengea choo,

Kuna biashara Gani chooni itakayokusaidia kupata pesa ya kulipa mkopo?

Kwani kinyesi Cha watoto mashuleni Huwa kinazalisha gesi asili Kisha zinapatikana pesa ya kuwezesha kulipa mikopo ya ujenzi wa vyoo?

Halmashauri wangebanwa, mapato ya ndani, yangeweza kujenga vyoo vya kisasa bila kukopa.

Tukisema viongozi hawana maono, mnadai mnatukanwa!!
 
Kama huyu bibi anafaa, mbona picha zimesambazwa nchi nzima?
Ili tumjue au ili tufanye nazo Nini?

Yeye mwenyewe anajua hawezi, na anaogopa kuongea hadharani kuomba kura na kukwepa maswali ya wananchi.
 
Elimu hii isiyokuwa na manufaa, kaangalia Dubai 1990 ilikuwa jangwa leo iko wapi? Htuwezi kukariri ujinga huo tupeni mikoa yetu tujitegemee muona tutakuwa wapi.

Mmefanya nn mpaka leo? Bunduki zipi wakati kabla ya mkoloni mpaka leo wazigua ni maarufu kwa kutengenzea bunduki , jaribu kzunguka sio kukariri. 😀 😀 Japan wapo 6G wewe na elimu yako ya kuletwa utabaki kuvaa suti kama maiti.
Mzigua gani aunde bunduki?
Uko serious kweli we jamaa!?
Principle of physics ya Tanzania ndio hiyo ya Japan,walipotuzidi Japan ni kuwekeza kwenye vipawa ilhali Tanzania tunadharau vipawa.
Watu wa ukanda wa pwani ya bahari ya Afrika mashariki hamkuwahi kuwa na akili,na kama mngeachwa peke yenu mngeendekeza kupanda minazi na kuvua samaki.
Hii pwani wabara ndio wameijenga.
Ukitaka kujua ninyi hamuna akili mtizameni huyu SAMIA MVAA ushungi kesha mfananishe na marehemu halafu urudi hapa.
 
Unakopa fedha unajenga madarasa?
Mkopo utalipwa na madarasa?
Yani mie huwa nawaona MAFALA wanaomsifia Samia.
Hii nchi inajifia wao wanamsifia.
Ukikuta wafanyakazi wanasifia mshahara kuongezwa huku gharama za maisha zimepanda sasa hela iliyoongezwa si inarudi kulekule sawa na bure?!
Pia watu hawajiulizi serikali inaongeza mishahara pesa inatoa wapi ya kuongeza mishahara kila muda!?
Jinga kabisa hawa.
 
Sir- 100 ajitokeze yeye binafsi, amjibu Tundu lissu hadharani kama kweli anataka kugombea urais wa Tanzania.

Vinginevyo , ni watu wanamuweka nyuma kumpigia debe mgombea adiyeweza kazi
 
Back
Top Bottom