Rais Samia angalia wajanja wasikuingize mjini

Rais Samia angalia wajanja wasikuingize mjini

Rais samia usisahau mwaka jana Rais wa Malawi Chakwera alibaki mdomo wazi baada ya kupigwa na kitu kizito wajanja walimuingiza mjini walimpoteza maboya yeye mwenyewe, waziri wa kiliimo na waziri wa fedha hivyo kuwa makini sana hili game ni game kama ma game mengine cheza kwa tahadhari.

Dp World anaweza kuiajiri TICC iliyofeli kama sub contract akaendelea kula cha juu. Akili za waarabu haziaminiki sometimes

Sekta ya bandari ndio sekta inayobeba uchumi mkubwa wa dunia pia ndio sekta yenye matapeli wakubwa mithili ya nyangumi wasio na huruma. Watu hao hutafuta upenyo wa dili moja tuu la matrilion kisha hupiga pakubwa na kupumzika

Sasa kwenye mkataba wa makubaliano uliyompa ridhaa Prof. Mbarawa ku sain kuna udhaifu ambao wachache tumegundua.
Kwanza Tanzania imekubali kuwa inferior kwa Dubai na wakati Tanzania ndio host region na owner wa rasilimali. Uo mkataba wa awali ulitakiwa uoneshe authority na muscles za Tanzania sababu DP World hana anachomiliki zaidi ya technology ambayo kimsingi sio yeye pekee kwenye hii dunian. Kitendo cha framework kuja bila time frame, requirements wala dissolution ni kuonesha waziri wako na timu yake walifeli kwenye bargaining power. Pia imeonesha sehemu kubwa imekubaliwa na waarabu wa Dubai na ni sehemu ndogo tuu ya huo mkataba ndio imekubaliwa na Tanzania

Unaweza ukawa msomi sana kama Prof. Mbarawa ila huna exposure.
Waliokushauri ulete azimio bungeni huenda wakawa wamekupoteza sababu kwa azimio hilo huwezi kurudi kunyume nyume lazima tuu ukubaliane na DP World sasa kama hukumalizana nao ndio umeingia chaka wataalamu wako watakuwa wamekupoteza na hutaweza kukubali kuwapa advantage wapinzani kwa kufuta azimio.

Angalizo. Waarabu wa Dubai wanawaona waarabu wa Africa sio waarabu bali ni waafrica. Na kwa asili Mwarabu akipata hapokei simu

Sasa ukianza kupiga simu Dubai hawapokei usishangae

Sasa tega na tegua uo mtego kwa tahadhari. Mbarawa pekeyake atakuangusha ongeza timu kwenye hili swala Chukua vichwa hivi
Mwanasheria mkuu wa serikali
Prof kabudi
Chenge
Gwajima
Masaju
Pascal Mayala
Tulia - awe ana backup
Ccm 3
Tiss 3
Ofisi yako 3
Wachumi 2 nje ya wizara
Ma engineer 3
Independent harbour operator consultants 2

Yaani na wewe uwe muuni
Ili wakileta za kuleta una cancel na io timu inakusafisha unabaki msafi bila doa
Usiamini vitu kwa urahisi lazima waarabu wajue uko serious na waone u serious huo kwenye process za mikataba
Ukiona wamekimbia jua walitaka kuiba
Vitabu vya historia ya Tanzania vilivyoandikwa wakati wa Nyerere vimeharibu sana bongo za watanzania.Kila anapoingia mtu mwenye asili ya uarabu inakuwa nongwa sana.Mitambo ya dOwans ilipogundulika kuna hisa za mwarabu ikawa mibaya lakini alipoinunua mzungu ikasifiwa ni mizuri.
Uhalisia wa historia na ushahidi wa kila hali waarabu ni wenyeji wa Afrika na Tanzania na ndio waanzilishi wa miradi mingi ya kiuchumi ya kibiashara na kilimo kabla ya wengine kupata utaalamu huo na kuchukua ujanja kutoka kwao.
Ukweli mwengine ni kuwa hao waarabu wa Dubai na mashariki ya kati wa sasa wengi waokimila ni wazungu zaidi.Ndio hao hao wanaonunua timu za mpira na kufanya mambo mengine ya shari kama wanayofanya wazungu.vile vile unaweza ukampata mmoja akawa ni mzuri sana asiye na khiyana yoyote lakini ukashindwa kushirikiana naye kwa hofu tu iliyopandikizwa na wahafidhina wa Nyerere ambao inashangaza wakifa wazee wanarihiwa na watoto wao.
 
Vitabu vya historia ya Tanzania vilivyoandikwa wakati wa Nyerere vimeharibu sana bongo za watanzania.Kila anapoingia mtu mwenye asili ya uarabu inakuwa nongwa sana.Mitambo ya dOwans ilipogundulika kuna hisa za mwarabu ikawa mibaya lakini alipoinunua mzungu ikasifiwa ni mizuri.
Uhalisia wa historia na ushahidi wa kila hali waarabu ni wenyeji wa Afrika na Tanzania na ndio waanzilishi wa miradi mingi ya kiuchumi ya kibiashara na kilimo kabla ya wengine kupata utaalamu huo na kuchukua ujanja kutoka kwao.
Ukweli mwengine ni kuwa hao waarabu wa Dubai na mashariki ya kati wa sasa wengi waokimila ni wazungu zaidi.Ndio hao hao wanaonunua timu za mpira na kufanya mambo mengine ya shari kama wanayofanya wazungu.vile vile unaweza ukampata mmoja akawa ni mzuri sana asiye na khiyana yoyote lakini ukashindwa kushirikiana naye kwa hofu tu iliyopandikizwa na wahafidhina wa Nyerere ambao inashangaza wakifa wazee wanarihiwa na watoto wao.
Mwarabu anavyomtreat mzungu sio sawa na amavyo m treat mwafrica
Jambo la pili waarabu wako too tricky nimefanya nao kazi zaidi ya miaka 15 nawajua vizuri mambo yao hayajanyooka hasa ao waarabu wa Dubai huwa wana calculate risk kwao tuu sio kwako

Pia wakipata wanachokitaka hukimbia mail Mia na kukuacha solemba

Hivyo Rais asichukulie poa hili swala ni linahitaji umakini mkubwa
 
Rais samia usisahau mwaka jana Rais wa Malawi Chakwera alibaki mdomo wazi baada ya kupigwa na kitu kizito wajanja walimuingiza mjini walimpoteza maboya yeye mwenyewe, waziri wa kiliimo na waziri wa fedha hivyo kuwa makini sana hili game ni game kama ma game mengine cheza kwa tahadhari.

Dp World anaweza kuiajiri TICC iliyofeli kama sub contract akaendelea kula cha juu. Akili za waarabu haziaminiki sometimes

Sekta ya bandari ndio sekta inayobeba uchumi mkubwa wa dunia pia ndio sekta yenye matapeli wakubwa mithili ya nyangumi wasio na huruma. Watu hao hutafuta upenyo wa dili moja tuu la matrilion kisha hupiga pakubwa na kupumzika

Sasa kwenye mkataba wa makubaliano uliyompa ridhaa Prof. Mbarawa ku sain kuna udhaifu ambao wachache tumegundua.
Kwanza Tanzania imekubali kuwa inferior kwa Dubai na wakati Tanzania ndio host region na owner wa rasilimali. Uo mkataba wa awali ulitakiwa uoneshe authority na muscles za Tanzania sababu DP World hana anachomiliki zaidi ya technology ambayo kimsingi sio yeye pekee kwenye hii dunian. Kitendo cha framework kuja bila time frame, requirements wala dissolution ni kuonesha waziri wako na timu yake walifeli kwenye bargaining power. Pia imeonesha sehemu kubwa imekubaliwa na waarabu wa Dubai na ni sehemu ndogo tuu ya huo mkataba ndio imekubaliwa na Tanzania

Unaweza ukawa msomi sana kama Prof. Mbarawa ila huna exposure.
Waliokushauri ulete azimio bungeni huenda wakawa wamekupoteza sababu kwa azimio hilo huwezi kurudi kunyume nyume lazima tuu ukubaliane na DP World sasa kama hukumalizana nao ndio umeingia chaka wataalamu wako watakuwa wamekupoteza na hutaweza kukubali kuwapa advantage wapinzani kwa kufuta azimio.

Angalizo. Waarabu wa Dubai wanawaona waarabu wa Africa sio waarabu bali ni waafrica. Na kwa asili Mwarabu akipata hapokei simu

Sasa ukianza kupiga simu Dubai hawapokei usishangae

Sasa tega na tegua uo mtego kwa tahadhari. Mbarawa pekeyake atakuangusha ongeza timu kwenye hili swala Chukua vichwa hivi
Mwanasheria mkuu wa serikali
Prof kabudi
Chenge
Gwajima
Masaju
Pascal Mayala
Tulia - awe ana backup
Ccm 3
Tiss 3
Ofisi yako 3
Wachumi 2 nje ya wizara
Ma engineer 3
Independent harbour operator consultants 2

Yaani na wewe uwe muuni
Ili wakileta za kuleta una cancel na io timu inakusafisha unabaki msafi bila doa
Usiamini vitu kwa urahisi lazima waarabu wajue uko serious na waone u serious huo kwenye process za mikataba
Ukiona wamekimbia jua walitaka kuiba
Hao wote uliowataja baadhi wamehongwa tayari pesa hasa huyo bibi wa bungeni hawana ubavu wowote
 
Hao wote uliowataja baadhi wamehongwa tayari pesa hasa huyo bibi wa bungeni hawana ubavu wowote
Kimsingi wanaweza kurudi kinyume nyume tulia yuko smart kwenye mikataba awepo tuu akiona tunapotea anamtonya mama tunasepa na mpunga tayari umepigwa
 
Wewe popoma tulia kazi iendelee🐒🐒🐒
AAPP0t.jpeg
 
Rais samia usisahau mwaka jana Rais wa Malawi Chakwera alibaki mdomo wazi baada ya kupigwa na kitu kizito wajanja walimuingiza mjini walimpoteza maboya yeye mwenyewe, waziri wa kiliimo na waziri wa fedha hivyo kuwa makini sana hili game ni game kama ma game mengine cheza kwa tahadhari.

Dp World anaweza kuiajiri TICC iliyofeli kama sub contract akaendelea kula cha juu. Akili za waarabu haziaminiki sometimes

Sekta ya bandari ndio sekta inayobeba uchumi mkubwa wa dunia pia ndio sekta yenye matapeli wakubwa mithili ya nyangumi wasio na huruma. Watu hao hutafuta upenyo wa dili moja tuu la matrilion kisha hupiga pakubwa na kupumzika

Sasa kwenye mkataba wa makubaliano uliyompa ridhaa Prof. Mbarawa ku sain kuna udhaifu ambao wachache tumegundua.
Kwanza Tanzania imekubali kuwa inferior kwa Dubai na wakati Tanzania ndio host region na owner wa rasilimali. Uo mkataba wa awali ulitakiwa uoneshe authority na muscles za Tanzania sababu DP World hana anachomiliki zaidi ya technology ambayo kimsingi sio yeye pekee kwenye hii dunian. Kitendo cha framework kuja bila time frame, requirements wala dissolution ni kuonesha waziri wako na timu yake walifeli kwenye bargaining power. Pia imeonesha sehemu kubwa imekubaliwa na waarabu wa Dubai na ni sehemu ndogo tuu ya huo mkataba ndio imekubaliwa na Tanzania

Unaweza ukawa msomi sana kama Prof. Mbarawa ila huna exposure.
Waliokushauri ulete azimio bungeni huenda wakawa wamekupoteza sababu kwa azimio hilo huwezi kurudi kunyume nyume lazima tuu ukubaliane na DP World sasa kama hukumalizana nao ndio umeingia chaka wataalamu wako watakuwa wamekupoteza na hutaweza kukubali kuwapa advantage wapinzani kwa kufuta azimio.

Angalizo. Waarabu wa Dubai wanawaona waarabu wa Africa sio waarabu bali ni waafrica. Na kwa asili Mwarabu akipata hapokei simu

Sasa ukianza kupiga simu Dubai hawapokei usishangae

Sasa tega na tegua uo mtego kwa tahadhari. Mbarawa pekeyake atakuangusha ongeza timu kwenye hili swala Chukua vichwa hivi
Mwanasheria mkuu wa serikali
Prof kabudi
Chenge
Gwajima
Masaju
Pascal Mayala
Tulia - awe ana backup
Ccm 3
Tiss 3
Ofisi yako 3
Wachumi 2 nje ya wizara
Ma engineer 3
Independent harbour operator consultants 2

Yaani na wewe uwe muuni
Ili wakileta za kuleta una cancel na io timu inakusafisha unabaki msafi bila doa
Usiamini vitu kwa urahisi lazima waarabu wajue uko serious na waone u serious huo kwenye process za mikataba
Ukiona wamekimbia jua walitaka kuiba
ushauri mzuri lakin tumeshachelewa pakubwa Sanaa Tena mnoo. nchi imeuzwa kijinga sanaaa
 
Mayalla yuko vizuri financially anakunja pesa nyingi zaidi ya DC
Kitu pekee kwa Pascal ni mkweli
Jamea anapenda ukweli na amenyooka
Pia ni mwanasheri
Media personnel
Na political analyst
Anatakiwa awepo kwenye hii timu
Hata betina ni mwanasheria
 
Rais samia usisahau mwaka jana Rais wa Malawi Chakwera alibaki mdomo wazi baada ya kupigwa na kitu kizito wajanja walimuingiza mjini walimpoteza maboya yeye mwenyewe, waziri wa kiliimo na waziri wa fedha hivyo kuwa makini sana hili game ni game kama ma game mengine cheza kwa tahadhari.

Dp World anaweza kuiajiri TICC iliyofeli kama sub contract akaendelea kula cha juu. Akili za waarabu haziaminiki sometimes

Sekta ya bandari ndio sekta inayobeba uchumi mkubwa wa dunia pia ndio sekta yenye matapeli wakubwa mithili ya nyangumi wasio na huruma. Watu hao hutafuta upenyo wa dili moja tuu la matrilion kisha hupiga pakubwa na kupumzika

Sasa kwenye mkataba wa makubaliano uliyompa ridhaa Prof. Mbarawa ku sain kuna udhaifu ambao wachache tumegundua.
Kwanza Tanzania imekubali kuwa inferior kwa Dubai na wakati Tanzania ndio host region na owner wa rasilimali. Uo mkataba wa awali ulitakiwa uoneshe authority na muscles za Tanzania sababu DP World hana anachomiliki zaidi ya technology ambayo kimsingi sio yeye pekee kwenye hii dunian. Kitendo cha framework kuja bila time frame, requirements wala dissolution ni kuonesha waziri wako na timu yake walifeli kwenye bargaining power. Pia imeonesha sehemu kubwa imekubaliwa na waarabu wa Dubai na ni sehemu ndogo tuu ya huo mkataba ndio imekubaliwa na Tanzania

Unaweza ukawa msomi sana kama Prof. Mbarawa ila huna exposure.
Waliokushauri ulete azimio bungeni huenda wakawa wamekupoteza sababu kwa azimio hilo huwezi kurudi kunyume nyume lazima tuu ukubaliane na DP World sasa kama hukumalizana nao ndio umeingia chaka wataalamu wako watakuwa wamekupoteza na hutaweza kukubali kuwapa advantage wapinzani kwa kufuta azimio.

Angalizo. Waarabu wa Dubai wanawaona waarabu wa Africa sio waarabu bali ni waafrica. Na kwa asili Mwarabu akipata hapokei simu

Sasa ukianza kupiga simu Dubai hawapokei usishangae

Sasa tega na tegua uo mtego kwa tahadhari. Mbarawa pekeyake atakuangusha ongeza timu kwenye hili swala Chukua vichwa hivi
Mwanasheria mkuu wa serikali
Prof kabudi
Chenge
Gwajima
Masaju
Pascal Mayala
Tulia - awe ana backup
Ccm 3
Tiss 3
Ofisi yako 3
Wachumi 2 nje ya wizara
Ma engineer 3
Independent harbour operator consultants 2

Yaani na wewe uwe muuni
Ili wakileta za kuleta una cancel na io timu inakusafisha unabaki msafi bila doa
Usiamini vitu kwa urahisi lazima waarabu wajue uko serious na waone u serious huo kwenye process za mikataba
Ukiona wamekimbia jua walitaka kuiba
Umeandika wivu mtupu. Wabunge wamepelekewa azimio na wamelifanyia kazi. Hayo mambo ya waarabu wa Dubai na wale waafrika ni maneno ya kike, ni kulia wivu, kulia chuki na kulia hasira.

Uwekezaji utakuja na kuzifaidisha pande mbili zote. Walioamua kujenga SGR waliona mbali kwamba ipo siku utafanyika uwekezaji mkubwa kulingana na mahitaji ya usafiri mzima wa reli.

Kama Kenya kapoteza fursa ya kiuchumi na anakwenda kuburuzwa na Tanzania hayo ni matatizo yenu ya ndani.
 
Back
Top Bottom