Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wabara ndiyo tunabebeshwa mzigo wao mali zinasombwa kutoka TzSi wanapendeleana hawa
95% ni fedha za bara..bajeti za Znz inafadhiliwa na Tgk.
Pole sana!Ukiona anafanya ziara mikoani ujue anajiandaa kusafiri nje ya nchi
Pole amekuja kwangu?Pole sana!
🤣🤣🤣🤣🤣Pole amekuja kwangu?
Yule ni mzanzibar sina undugu naye🤣🤣🤣🤣🤣
Ametoka kwako ameenda kwingine na hilo limekuacha na maumivu na hasira hivyo kama mtanzania mwenzako nakupa pole.
Umesahau DodomaMBEYA MJINI-CHUNYA-KYELA-NJOMBE-IRINGA-TANGA-CONGO
AKIFA MTASEMA SUKUMA GANG WAMEMUUA, DR.JANANI HEBU MSHAURI VIZURI CHIEF HANGAYA.
Ukisikia kujificha kwenye 'mkaranga' na kutegemea usionekane ndo huko sasa!!!Yule ni mzanzibar sina undugu naye
PoaUkisikia kujificha kwenye 'mkaranga' na kutegemea usionekane ndo huko sasa!!!
Hawawezi. Safari hizo ndio na wao wanakusanya per diem $ za kutoshaMBEYA MJINI-CHUNYA-KYELA-NJOMBE-IRINGA-TANGA-CONGO
AKIFA MTASEMA SUKUMA GANG WAMEMUUA, DR.JANANI HEBU MSHAURI VIZURI CHIEF HANGAYA.
Mbona ametoa mikopo mingi sana kwa vijana anagawa mashamba kwa vijana fursa nyingi sana ametoa kwaiyo changamkia fursa usilalamikeWatu si walisema Mama atamwaga pesa, imekuwaje tena?
Watalifanyia kazi. Mama anakanyaga twendeIla jamani watalaam wa afya wa Rais muwe makini kidogo isije kuwa mheshimiwa Rais anahitajika pia kupumzika Safari huwa zinachosha Sana kazi hizi zipo tu na zitaendelea kuwepo Mimi naanza kumuonea huruma ila kazi anachapa.
Ruzuku imesaidia sana bila ivo saizi tungekua tunapanda daladala buku tunamshukulu sana mamaNa tatizo kubwa lipo hapa,mpaka Jana mafuta yanashuka siku zaidi ya 60 kwetu yanapanda tu,Mimi naona hata hiyo ruzuku ni changa tu hakuna kitu,tunadanganywa sana.,Au sisi mafuta yetu tunanunua sehemu tofaut na nchi nyingine?
Voyage continues.........................
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiagana na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Dar es Salaam wakati akielekea Jamhuri ya Kidemokraisa ya Kongo, tarehe 16 Agosti 2022.
Rais Samia anaenda kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Kujua safari zingine za Rais soma hapa.
Picha: Ikulu
President Samia Suluhu Hassan arrives in the Democratic Republic of Congo (DRC) to attend the 42nd Ordinary Summit of the Southern African Development Community (SADC) Heads of State and Government.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiagana na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Dar es Salaam wakati akielekea Jamhuri ya Kidemokraisa ya Kongo, tarehe 16 Agosti 2022.
Rais Samia anaenda kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Kujua safari zingine za Rais soma hapa.
Picha: Ikulu