Rais Samia aondoka Nchini kwenda DR Congo leo Agosti 16, 2022

Rais Samia aondoka Nchini kwenda DR Congo leo Agosti 16, 2022

Mh Rais anachapa kazi bila kupumzika, Huyu Ni zawadi kwetu watanzania, Tumuunge mkono mh Rais wetu, maana Ni katika mikutano hiyo anakutana na watu, mashirika na taasisi mbalimbali, ambapo Ni katika mikutano hiyo mh Rais anapofanya mazungumzo nao ya kuwaeleza fursa mbalimbali zinazopatikana hapa nchini ili waje wawekeze hapa nchini

Nikupitia uwekezaji huu tunapoongeza ajira na hata mapato ya nchi kupitia kodi.

Hongera Sana mh Rais na pole Sana kwa kazi kubwa uifanyayo ya kuijenga nchi hii kwa ajili yetu watanzania

Kila la Heri mh Rais katika mkutano huo, Watanzania Tunakuombea mh Rais uende salama na kurejea salama hapa nchini.

Watanzania tunaendelea kukuunga mkono Rais wetu katika juhudi zako za kuijenga nchi yetu.
Kwa mfano ile ziara yake ya Ulaya (Ubeligiji,Ufaransa nk) ilileta trilion 17 za uwekezaji, na ile ya Uarabuni ilileta trilioni 11 za uwekezaji...Hii ni kazi kubwa sana.

Tunaomba utusaidie kuuliza huko juu zimeshafika Nchini ngapi hadi sasa?
 

18 August 2022​

Kinshasa, DR Congo

picture news

The President of the Republic and Chairman-in-Office of SADC H.E president Félix Tshisekedi held a press conference this Thursday in Kinshasa with his counterpart, H.E Mme Samia Suluhu Hassan , the President of the United Republic of Tanzania.
This press conference began with the reading of the final communiqué sanctioning the bilateral meeting between the two Heads of State.
A statement that recalls the desire of the two leaders to develop political, diplomatic, commercial and strategic relations between Tanzania and the DRC.
The two Heads of State insisted on the need to consolidate a regional architecture of Peace and Security both for SADC and for the The two Heads of State insisted on the need to consolidate the regional architecture of Peace and Security as well both for SADC and EAC.
read more https://www.presidence.cd/actualite..._tanzanie_en_republique_democratique_du_congo
 
Ila jamani watalaam wa afya wa Rais muwe makini kidogo isije kuwa mheshimiwa Rais anahitajika pia kupumzika Safari huwa zinachosha Sana kazi hizi zipo tu na zitaendelea kuwepo Mimi naanza kumuonea huruma ila kazi anachapa.
Mwache azunguke dunia nzima
 
Back
Top Bottom