Rais Samia aongea na Wazee wa Dar: Aahidi kutojali vyama katika teuzi zake. Serikali kutunza Haki, Demokrasia, Uhuru wa Habari

... tunajenga bwawa ra kuzarisha umeme; tumejenga madaraja darisalama; tunajenga daraja mwanza kigongo busisi; tunapanua balabala njia nane hadi kibaha; fvc%#$! thats your job!

Mahitaji ya wananchi (maendeleo ya watu) ni ya kawaida sana na ndio kero kuu; matibabu kwa wazee; wazee kupishwa siti na barobaro kwenye usafiri wa umma; wazee kupatiwa pensheni kama wale wa zanzibar; malezi ya vijana; yule kamanda arudishwe kumaliza ujambazi dar; n.k. hayo ndio mambo wananchi wanataka kusikia na kutekelezewa! Hawahitaji kukuona ukijimwambafy na msururu wa ma-v8 vijijini; wanahitaji faraja zaidi; neno la kutuliza mioyo yao.
 
Mungu amsaidie mama na Watanzania tumwombee MUNGU ampe moyo wa unyenyekevu Kama alivyoanza. Siyo mwendazake vitu vidogo vya kukumbushana anatufokea. Anataka tumwombee kwa kutufokea huko sijui anamfokea Nani?
 
Umejaribu kuchambua lkn bado u unaonekana kwenye kasi ya magufuli badilika tupo na SSH sasa.
 
Umejaribu kuchambua lkn bado u unaonekana kwenye kasi ya magufuli badilika tupo na SSH sasa.
Umeandika nini hiki?

Natumai akiki yako haijafikia hapa,inawwza kuandika mambo ya maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…