Mama anajali Afya zetu sio kama yule Muhuni.View attachment 1776541
Jamani, barakoa tele! Maendeleo hayo?
Analeta desturi za Kenya (na za dunia....)?
Ila zinasaidia kiasi tu wakati watu wanabanana ndani ya ukumbi . . .
Ndio.Ati nini? hata chadema nao wapo CCM!!?
Hahahahahaha...jamani dahMama anajali Afya zetu sio kama yule Muhuni.
miaka 1200 mbele ndiyo tutagawanaMiaka 60 sasa toka tumepata uhuru, na miaka yote tumeimbishwa tujenge nchi kwa shuruba nzito, lini hiyo faida tutaanza kugawana?
Mama anajali Afya zetu sio kama yule Muhuni.
ACHA UONGO KASEMA BARAKOA ZIMEAVALIWA KUWALINDA WAZEE NA KWA SABABU WATU NI WENGIWalikua wanamuogopa magufuli hawavai leo wote wamevaa wameona ushenzi huu kisa cha kufa kijinga nini?
Watu waliweka rehani uhai wao kwa kuogopa mtu mmojaWalikua wanamuogopa magufuli hawavai leo wote wamevaa wameona ushenzi huu kisa cha kufa kijinga nini?
Mama anajali Afya zetu sio kama yule Muhuni.
CCM walipeleka muhtasariHata Sophia Simba alipovuliwa uwananchama wa CCM Speaker aliufuta ubunge wake lakini ni Speaker huyohuyo anaomba muhtasari wa kikao cha kuwafuta Ubunge Mzee Halima na wenzake pamoja na Katiba ya Chadema.