Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Atakua anamsema Pole poleWazee wanazidi kuongezeka. Mwaka 2012 kulikuwa na Wazee milioni 2.5 sawa na asilimia 5.6 na hivi sasa wameshafika milioni 2.52.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua anamsema Pole poleWazee wanazidi kuongezeka. Mwaka 2012 kulikuwa na Wazee milioni 2.5 sawa na asilimia 5.6 na hivi sasa wameshafika milioni 2.52.
Hili hataliweza, namwona si mtu wa kutoa matamko makali kama MwendazakeMama atangaze kuhusu wamachinga walioanza kufukuzwa waachwe watafute riziki zao.
Pia ujambazi wa mapanga umerudi Dsm nao auzungumzie amuachie Sirro maagizo na awe mkali kidogo.
Meza wewe ukaungane na burigi kule chota.Mnaopingana na mama kuhusu hao wazee wa CCM mezeni nyembe
Hata ikiwa ni katiba itakuwa ni ile ya kiporo cha JK nothing newHaya mabadiliko anayozungumzia mama ni katiba mpya au?
Utapotea wewe na ukoo wako kima wewe.Huyo mama alishapotea!
Serikali itapotea kisha chama kitapotea!
Mchakato wa rasimu utaanza upya.Hata ikiwa ni katiba itakuwa ni ile ya kiporo cha JK nothing new
Kuna mwaka Mkwere naye alisema anaongea na wazee wa dar kumbe aliwasomba na malori toka BagamoyoAnaongea na wazee wa MKOA wa Dar es Salaam sio jiji mkuu
Nilijua tu hahahaHawa wazee wamapanga kikao jioni hii ili wakitoka mama akawafuturishe.
Ng'oja tuone manake nimesikia wakilalama eti kwanini iwe wazee wa ccm tu,Ndio.
Jiheshimu usimuwekee manemo ya matamanio yako ungekuwa unajali ungekuwa unatembea na kondom za kike si zipoUlitegemea asema kuwa nimebadirika kuhusu barakoa? Lazima aseme hivyo ....