Vito Ferari
JF-Expert Member
- Mar 31, 2022
- 290
- 416
Huyu mama kila ushauri anaopewa anakubali tu,,, .atamaliza muda wake hakuna alichofanya...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo nini kifanyike? Huo uchumi pori ulisomaga wapi?Hii ni kufuru atasabisha inflation balaa
We Mbarbaig huwezi kuelewa haya mambo, we kaa kuchunga ng'ombe na kunywa maziwa EndasakKwa hiyo nini kifanyike? Huo uchumi pori ulisomaga wapi?
Hiyo ni kauli ya nyongeza iliyosemwa na ndumbaroRais Samia ameridhia marekebisho ya posho ya kujikimu ya safari za ndani ya nchi kwa Watumishi wa Umma na kiwango cha malipo ya kazi maalum kwa watumishi wa umma ambapo kiwango cha juu kimepanda kutoka Tsh. 120,000/= hadi 250,000/= na kiwango cha chini toka Tsh. 80,000 hadi 100,000/=
Aidha nampongeza kufanya hivo kwani gharama za bidhaa mbalimbali nchini zimepanda maradufu. Hata hivyo isingekuwa sababu za vita vya ukraine na urusi mimi ningeshauri angalie namna bora ya kuthibiti mfumuko wa bei zaidi ya hapo mbeleni naona inflation ikipaa zaidi.
Hatari sana tusijeachwa kwenye financial crisis za hatari. Manake kama unachopata ie kutoka kwenye makusanya ya kodi na mauzo ya nje ni kidogo kulinganisha na kile unachotumia. Sio afya kwenye uchumi wa nchiHuyu mama kila ushauri anaopewa anakubali tu,,, .atamaliza muda wake hakuna alichofanya...
Huwa hamkosekani 🤣🤣Mbuzi kama hii haiwezi elewa kitu yenyewe ni kuimba mapambio ya kusifu
Tatizo la mfalme wenu hajui kutafuta pesa,hana connection plus ushamba..mama wa kizanzibari kamzidi ujanja mfalme wa Burigi chato,
hatutaki ubabe tunataka vitu kaa izo Mbengoo zemefongokaaaaa
Wakubwa wote kuacha wale top 3 pengine na Katibu Mkuu kiongozi na Jaji Mkuu ..Unapotosha si kweli, hiyo ni 250,000 ni kwa wakurugenzi
Uchumi utamshindaje wakati kuongeza spending manake unachochea uchumi?Uchumi utamshinda 2025 yenyewe mbali. Akifika huko tutakuwa tumechoka nchi ibaki na madeni. Kuja kurudi kwenye mstari sahihi ni miaka 30 mingine
Ndio ilivyo mkuu utafanyaje sasa wakubwa Wana kamba ndefu..Mbona kiwango cha juu mnajiongezea Tshs.130000 wakati ngazi za chini mnawaongezea Tshs.40000 tu?. Hata hivyo wenye mahoteli, nyumba za kulala wageni na sisi tutapandisha gharama zetu.