Rais Samia apandisha kiwango cha Posho ya Kujikimu ya Safari za Ndani ya Nchi na Malipo ya Kazi Maalum kwa Watumishi wa Umma

Rais Samia apandisha kiwango cha Posho ya Kujikimu ya Safari za Ndani ya Nchi na Malipo ya Kazi Maalum kwa Watumishi wa Umma

Mbona kiwango cha juu mnajiongezea Tshs.130000 wakati ngazi za chini mnawaongezea Tshs.40000 tu?. Hata hivyo wenye mahoteli, nyumba za kulala wageni na sisi tutapandisha gharama zetu.
 
Mbona kiwango cha juu mnajiongezea Tshs.130000 wakati ngazi za chini mnawaongezea Tshs.40000 tu?. Hata hivyo wenye mahoteli, nyumba za kulala wageni na sisi tutapandisha gharama zetu.
Wameongezwa 20,000 kutoka 80,000-100,000 madereva na wahudumu viongozi 120,000-250,000
 
😁😁😁
Uk.jpg
 
Back
Top Bottom