Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu atakubaliana na mimi kuwa nipo sahihi na mzalendo wa kweli.
Pesa za umma zinapotea hovyo, nidhamu serikalini imepotea. Deni la taifa linapaa kama Kunguru.
Mama apishe 2025 yakae majembe yatakayorudisha nidhamu ya kizalendo.
Nawakilisha Mimi Idu wa Igunga.
Na Rais akiwa Mzanzibari makamu anakuwa Mtanganyika, au nakosea?Mimi nimezoea kuona Rais akiwa Mtanganyika makamu anakuwa mzanzibari,
👍👍Uko sahihi kabisa.hili lisamia atupishe kabisa.kila kitu amekiharibu.mfano petroli Kwa Sasa ni 3500 kutoka 1500 miaka mitatu nyuma,sembe 2300 kutoka 1000 miaka mitatu nyuma,kuunganishwa umeme 330000 ndani ya mita 15 kutoka 27000miaka mitatu nyuma.miradi yote mikubwa imekufa.anachojua yeye ni kupaaa angani tu kwenda ulaya ili kuiuza Nchi yetu
Nani kapanga hivyo!!??siyo apishe inasound negative ukisema apishe, ila ndivyo inavyoenda kuwa na ndivyo ilivyopangwa, raisi ajaye 2025/35 ni P.Mpango (PhD) …
Yaani mtu wa Pwani aliyelelewa ni Mwinyi tu, hawa wengine 🚮🚮🚮 kipindi cha Lowasa walikuwa wakisema watu wa kaskazini hawafi kupewa nchi, mimi nakataa hawa Wapwani hawa hasa Pwani na Tanga hawafai.Tatizo kubwa Chawa wataona wewe ni mpinzani but truth be told , Mama hana Sauti ya Rais , pia capacity ni hakuna na hatuwezi kufika popote na Mama. Kwa wenye uchungu na nchi we have seen that coming , tunakwenda kuwa Mugabe. Hakuna anaemtukana mama , ni laana kumtukana Mama maana ni Mzazi , Watu wanaongea ukweli Mama hana capacity as a president , Katiba ya TZ ni mbovu , mama alitakiwa kuongoza 50 days tu uchaguzi ufanyie
All in all I wish Sana Nchi achukue Isdory au Majaliwa kwa kipindi hiki ili kunusuru taifa na hizo ngonjera za Samia na Mwigulu
Majaliwa namkubali maana ni zaidi ya Ngosha.
Isdor ni muadilifu na ni mkali na hana extended family kubwa. Hawa Watu wa pwani huwa wana Ma extended family mengi snaa : na huwa ni masikini, so wakipewa nchi kazi yao kubwa inakuwa ni kuondoa umasikini wa familia zao na kuwapa connection hata kama ni low IQ. ‘
Kwangu first Choice awe Isdor , Makamu awe Majaliwa, waziri mkuu apewe yule mnyarwanda wa Nishati na madini
Nchi itarudi kwenye mstari
Waziri mkuu 2025 Mdogo wake na Kurwa au Anthony MtakaJERRY SILAA WAZIRI MKUU
Kwamba🙄!!apewe yule mnyarwanda wa Nishati na madini
Nchi itarudi kwenye mstari
Umesema ukweli kabisa mwamba!Uko sahihi kabisa.hili lisamia atupishe kabisa.kila kitu amekiharibu.mfano petroli Kwa Sasa ni 3500 kutoka 1500 miaka mitatu nyuma,sembe 2300 kutoka 1000 miaka mitatu nyuma,kuunganishwa umeme 330000 ndani ya mita 15 kutoka 27000miaka mitatu nyuma.miradi yote mikubwa imekufa.anachojua yeye ni kupaaa angani tu kwenda ulaya ili kuiuza Nchi yetu
Tayari umeshawatafutia Matatizo Mkuu na si ajabu yale ya Iran na Malawi yakatokea Kwao.
Kila mtu atakubaliana na mimi kuwa nipo sahihi na mzalendo wa kweli.
Pesa za umma zinapotea hovyo, nidhamu serikalini imepotea. Deni la taifa linapaa kama Kunguru.
Mama apishe 2025 yakae majembe yatakayorudisha nidhamu ya kizalendo.
Nawakilisha Mimi Idu wa Igunga.
Usilazimeshe kusema kila mtu kukubaliana nawe.Kila mtu atakubaliana na mimi kuwa nipo sahihi na mzalendo wa kweli
🙄🙄🤭siyo apishe inasound negative ukisema apishe, ila ndivyo inavyoenda kuwa na ndivyo ilivyopangwa, raisi ajaye 2025/35 ni P.Mpango (PhD) …
🤔🤔🤭Tatizo kubwa Chawa wataona wewe ni mpinzani but truth be told , Mama hana Sauti ya Rais , pia capacity ni hakuna na hatuwezi kufika popote na Mama. Kwa wenye uchungu na nchi we have seen that coming , tunakwenda kuwa Mugabe. Hakuna anaemtukana mama , ni laana kumtukana Mama maana ni Mzazi , Watu wanaongea ukweli Mama hana capacity as a president , Katiba ya TZ ni mbovu , mama alitakiwa kuongoza 50 days tu uchaguzi ufanyie
All in all I wish Sana Nchi achukue Isdory au Majaliwa kwa kipindi hiki ili kunusuru taifa na hizo ngonjera za Samia na Mwigulu
Majaliwa namkubali maana ni zaidi ya Ngosha.
Isdor ni muadilifu na ni mkali na hana extended family kubwa. Hawa Watu wa pwani huwa wana Ma extended family mengi snaa : na huwa ni masikini, so wakipewa nchi kazi yao kubwa inakuwa ni kuondoa umasikini wa familia zao na kuwapa connection hata kama ni low IQ. ‘
Kwangu first Choice awe Isdor , Makamu awe Majaliwa, waziri mkuu apewe yule mnyarwanda wa Nishati na madini
Nchi itarudi kwenye mstari
Yaani, kama hawa, ndio best brain ndani, ya ccm, sasa nimejua tatizo lipo wapi!
Kila mtu atakubaliana na mimi kuwa nipo sahihi na mzalendo wa kweli.
Pesa za umma zinapotea hovyo, nidhamu serikalini imepotea. Deni la taifa linapaa kama Kunguru.
Mama apishe 2025 yakae majembe yatakayorudisha nidhamu ya kizalendo.
Nawakilisha Mimi Idu wa Igunga.