Pre GE2025 Rais Samia apishe 2025 Philip Mpango agombee urais, Makonda awe Makamu wa Rais

Pre GE2025 Rais Samia apishe 2025 Philip Mpango agombee urais, Makonda awe Makamu wa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tatizo kubwa Chawa wataona wewe ni mpinzani but truth be told , Mama hana Sauti ya Rais , pia capacity ni hakuna na hatuwezi kufika popote na Mama. Kwa wenye uchungu na nchi we have seen that coming , tunakwenda kuwa Mugabe. Hakuna anaemtukana mama , ni laana kumtukana Mama maana ni Mzazi , Watu wanaongea ukweli Mama hana capacity as a president , Katiba ya TZ ni mbovu , mama alitakiwa kuongoza 50 days tu uchaguzi ufanyie

All in all I wish Sana Nchi achukue Isdory au Majaliwa kwa kipindi hiki ili kunusuru taifa na hizo ngonjera za Samia na Mwigulu

Majaliwa namkubali maana ni zaidi ya Ngosha.
Isdor ni muadilifu na ni mkali na hana extended family kubwa. Hawa Watu wa pwani huwa wana Ma extended family mengi snaa : na huwa ni masikini, so wakipewa nchi kazi yao kubwa inakuwa ni kuondoa umasikini wa familia zao na kuwapa connection hata kama ni low IQ. ‘

Kwangu first Choice awe Isdor , Makamu awe Majaliwa, waziri mkuu apewe yule mnyarwanda wa Nishati na madini
Nchi itarudi kwenye mstari
Mnyarwanda...
 
siyo apishe inasound negative ukisema apishe, ila ndivyo inavyoenda kuwa na ndivyo ilivyopangwa, raisi ajaye 2025/35 ni P.Mpango (PhD) …
Mbona alishapitishwa kuendelea au hukumsikia kinana, 2025 tayari mgombea ni Samia au hujaona hata pikipiki za CCM zote ni SSH 2025!
 

Kila mtu atakubaliana na mimi kuwa nipo sahihi na mzalendo wa kweli.

Pesa za umma zinapotea hovyo, nidhamu serikalini imepotea. Deni la taifa linapaa kama Kunguru.

Mama apishe 2025 yakae majembe yatakayorudisha nidhamu ya kizalendo.

Nawakilisha Mimi Idu wa Igunga.
Sukuma gang inakutesa dogo

Kwa nchii hii ilipofika Kila kitu maccm yameuza mpango anakuwa raisi afanye nini?

Au akochukue rasilimali huko kwa burundi atuletee
 
Tatizo kubwa Chawa wataona wewe ni mpinzani but truth be told , Mama hana Sauti ya Rais , pia capacity ni hakuna na hatuwezi kufika popote na Mama. Kwa wenye uchungu na nchi we have seen that coming , tunakwenda kuwa Mugabe. Hakuna anaemtukana mama , ni laana kumtukana Mama maana ni Mzazi , Watu wanaongea ukweli Mama hana capacity as a president , Katiba ya TZ ni mbovu , mama alitakiwa kuongoza 50 days tu uchaguzi ufanyie

All in all I wish Sana Nchi achukue Isdory au Majaliwa kwa kipindi hiki ili kunusuru taifa na hizo ngonjera za Samia na Mwigulu

Majaliwa namkubali maana ni zaidi ya Ngosha.
Isdor ni muadilifu na ni mkali na hana extended family kubwa. Hawa Watu wa pwani huwa wana Ma extended family mengi snaa : na huwa ni masikini, so wakipewa nchi kazi yao kubwa inakuwa ni kuondoa umasikini wa familia zao na kuwapa connection hata kama ni low IQ. ‘

Kwangu first Choice awe Isdor , Makamu awe Majaliwa, waziri mkuu apewe yule mnyarwanda wa Nishati na madini
Nchi itarudi kwenye mstari
Maccm bana uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo sana
 

Kila mtu atakubaliana na mimi kuwa nipo sahihi na mzalendo wa kweli.

Pesa za umma zinapotea hovyo, nidhamu serikalini imepotea. Deni la taifa linapaa kama Kunguru.

Mama apishe 2025 yakae majembe yatakayorudisha nidhamu ya kizalendo.

Nawakilisha Mimi Idu wa Igunga.
ushachoka kuona Hijjab katika afisi za Umma na uKUMBI wa mikutano msimbazi centre? bado vumilia 5 tena kabla ya kubadili katiba kuwa 10 tena
 

Kila mtu atakubaliana na mimi kuwa nipo sahihi na mzalendo wa kweli.

Pesa za umma zinapotea hovyo, nidhamu serikalini imepotea. Deni la taifa linapaa kama Kunguru.

Mama apishe 2025 yakae majembe yatakayorudisha nidhamu ya kizalendo.

Nawakilisha Mimi Idu wa Igunga.
Halafu inawezekana ukawa mwana CCM wa kwanza uliyegizani usiyefahamu hata kanuni ya umakamu inatokana na vigezo gani!!!!!

Yaani kama Makonda anatenda vizuri kwa sasa kwenye ngazi za chini halafu unampeleka kuwa makamu wa rais utanufaika na kitu gani gani hapo kama kumpoteza?

Makamu wa rais ni kinyago tu cha kuwezesha muungano kuaminishwa kwa wananchi kwamba upo na una uhai.

Sikiliza Rais akitokea bara makamu anatokea visiwani na rais akitokea visiwani makamu anatokea bara.

Kwa pendekezo lako P.Mpango ni Mzanzibari au Mmbara na P.Makonda ni Mzanzibari au Mmbara?

Tunataka rais
1. Anayesema na kutenda kwa haki kwa wnanchi wote bila kuwakandamiza kwa njia yoyote
2. Tunataka rais asiyetumia vibaya madaraka yake kujinufaisha binafsi kwa kuuza, kugawa au kukodisha rasilimali za nchi (umma) bila kuzingatia maslahi ya wananchi ambao ndio wenye dhamana ya uendeshaji kupitia shughuli zao za kiuchumi
3. Tunataka rais mwenye maono ya kuondoa umaskini bila kuwalinda matajiri pekee kwenye biashara zao huku wakiwakandamiza wananchi kutokana na unyonge wao wa kutokuwa na rasilimali fedha, mali na maarifa
4. Tunataka rais anayechukia kwa vitendo maovu yanayotendwa na wananchi wa kawaida, viongozi, wafanya biashara na kutekeleza kutatua kero zao kwa dhati na wenye matendo ya ufisadi, rushwa, unyanyasaji,, dhuluma, ubadhirifu wa mali, matumizi mabaya ya fedha za miradi wanawajibishwa kwa mjibu wa sheria
5. Tunataka rais mpenda watu wa kila ngazi ya hadhi ya ubinadamu, anayewasikiliza moja kwa moja na kuonesha njia ya kutatua kero zao kisiasa na kitaalamu bila kumwonea mtu yeyote
6. Tunataka rais mwenye maono ya kuinua uchumi na kusimamia mapato kwa dhati, kusimamia shughuli za kiuchumi, kijamii, kiusalama, kimahusiano ya kimataifa mazuri na yenye tija kwa nchi, kwa njia ya kujitegemea kupitia rasilimali zilizopo nchini, kuongeza thamani ya mali ghafi zilipo nchini, kuwekeza mitaji kwa wageni na wazawa nchini kisha kuuza bidhaa zilizozalishwa zikiwa zimeongezwa tamani hivyo kupata dola
7. Tunataka rais asiyekwapua mali za umma kwa faida yake binafsi, rafiki zake nk
8. Tunataka rais mzalendo halisi na mwenye uchungu na rasilimali za nchi na hali duni ya wafanyakazi, wakulima, wafanya biashara wazawa, wanafunzi, watoto, watu wazima, wazee, wagonjwa nk na atatue kero na mapungufu hayo kiukweli sio kisiasa
 
Back
Top Bottom