Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Samia tena (we still need her)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukatisha story ndefu kuwa fupi mkuu huna akili! Yaani huna uelewa hata wa katiba!
Kila mtu atakubaliana na mimi kuwa nipo sahihi na mzalendo wa kweli.
Pesa za umma zinapotea hovyo, nidhamu serikalini imepotea. Deni la taifa linapaa kama Kunguru.
Mama apishe 2025 yakae majembe yatakayorudisha nidhamu ya kizalendo.
Nawakilisha Mimi Idu wa Igunga.
Hawana.2035 na Katiba Mpya ikija kama chadomo wanavyosema ndio hapo ataanza rasmi kuhesabu Hadi 2040
Hapana tumpe hadi 2090.2035 na Katiba Mpya ikija kama chadomo wanavyosema ndio hapo ataanza rasmi kuhesabu Hadi 2040
Mnyarwanda...Tatizo kubwa Chawa wataona wewe ni mpinzani but truth be told , Mama hana Sauti ya Rais , pia capacity ni hakuna na hatuwezi kufika popote na Mama. Kwa wenye uchungu na nchi we have seen that coming , tunakwenda kuwa Mugabe. Hakuna anaemtukana mama , ni laana kumtukana Mama maana ni Mzazi , Watu wanaongea ukweli Mama hana capacity as a president , Katiba ya TZ ni mbovu , mama alitakiwa kuongoza 50 days tu uchaguzi ufanyie
All in all I wish Sana Nchi achukue Isdory au Majaliwa kwa kipindi hiki ili kunusuru taifa na hizo ngonjera za Samia na Mwigulu
Majaliwa namkubali maana ni zaidi ya Ngosha.
Isdor ni muadilifu na ni mkali na hana extended family kubwa. Hawa Watu wa pwani huwa wana Ma extended family mengi snaa : na huwa ni masikini, so wakipewa nchi kazi yao kubwa inakuwa ni kuondoa umasikini wa familia zao na kuwapa connection hata kama ni low IQ. ‘
Kwangu first Choice awe Isdor , Makamu awe Majaliwa, waziri mkuu apewe yule mnyarwanda wa Nishati na madini
Nchi itarudi kwenye mstari
Mbona alishapitishwa kuendelea au hukumsikia kinana, 2025 tayari mgombea ni Samia au hujaona hata pikipiki za CCM zote ni SSH 2025!siyo apishe inasound negative ukisema apishe, ila ndivyo inavyoenda kuwa na ndivyo ilivyopangwa, raisi ajaye 2025/35 ni P.Mpango (PhD) …
Mbona alishapitishwa kuendelea au hukumsikia kinana, 2025 tayari mgombea ni Samia au hujaona hata pikipiki za CCM zote ni SSH 2025!
Sukuma gang inakutesa dogo
Kila mtu atakubaliana na mimi kuwa nipo sahihi na mzalendo wa kweli.
Pesa za umma zinapotea hovyo, nidhamu serikalini imepotea. Deni la taifa linapaa kama Kunguru.
Mama apishe 2025 yakae majembe yatakayorudisha nidhamu ya kizalendo.
Nawakilisha Mimi Idu wa Igunga.
Maccm bana uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo sanaTatizo kubwa Chawa wataona wewe ni mpinzani but truth be told , Mama hana Sauti ya Rais , pia capacity ni hakuna na hatuwezi kufika popote na Mama. Kwa wenye uchungu na nchi we have seen that coming , tunakwenda kuwa Mugabe. Hakuna anaemtukana mama , ni laana kumtukana Mama maana ni Mzazi , Watu wanaongea ukweli Mama hana capacity as a president , Katiba ya TZ ni mbovu , mama alitakiwa kuongoza 50 days tu uchaguzi ufanyie
All in all I wish Sana Nchi achukue Isdory au Majaliwa kwa kipindi hiki ili kunusuru taifa na hizo ngonjera za Samia na Mwigulu
Majaliwa namkubali maana ni zaidi ya Ngosha.
Isdor ni muadilifu na ni mkali na hana extended family kubwa. Hawa Watu wa pwani huwa wana Ma extended family mengi snaa : na huwa ni masikini, so wakipewa nchi kazi yao kubwa inakuwa ni kuondoa umasikini wa familia zao na kuwapa connection hata kama ni low IQ. ‘
Kwangu first Choice awe Isdor , Makamu awe Majaliwa, waziri mkuu apewe yule mnyarwanda wa Nishati na madini
Nchi itarudi kwenye mstari
ushachoka kuona Hijjab katika afisi za Umma na uKUMBI wa mikutano msimbazi centre? bado vumilia 5 tena kabla ya kubadili katiba kuwa 10 tena
Kila mtu atakubaliana na mimi kuwa nipo sahihi na mzalendo wa kweli.
Pesa za umma zinapotea hovyo, nidhamu serikalini imepotea. Deni la taifa linapaa kama Kunguru.
Mama apishe 2025 yakae majembe yatakayorudisha nidhamu ya kizalendo.
Nawakilisha Mimi Idu wa Igunga.
Sahihi kabisa apishe kwani hafai hata kidogo. Makonda anafaa kuwa Rais au waziri mkuu. Ni maoni yangu
Kila mtu atakubaliana na mimi kuwa nipo sahihi na mzalendo wa kweli.
Pesa za umma zinapotea hovyo, nidhamu serikalini imepotea. Deni la taifa linapaa kama Kunguru.
Mama apishe 2025 yakae majembe yatakayorudisha nidhamu ya kizalendo.
Nawakilisha Mimi Idu wa Igunga.
Sahihi kabisa apishe kwani hafai hata kidogo. Makonda anafaa kuwa Rais au waziri mkuu. Ni maoni yangu
😂Afu rais apande helicopta kwenda wapi sijui afu ijipoteze afu makonda awe rais au sio???
Halafu inawezekana ukawa mwana CCM wa kwanza uliyegizani usiyefahamu hata kanuni ya umakamu inatokana na vigezo gani!!!!!
Kila mtu atakubaliana na mimi kuwa nipo sahihi na mzalendo wa kweli.
Pesa za umma zinapotea hovyo, nidhamu serikalini imepotea. Deni la taifa linapaa kama Kunguru.
Mama apishe 2025 yakae majembe yatakayorudisha nidhamu ya kizalendo.
Nawakilisha Mimi Idu wa Igunga.