ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamduni anachekesha kwelikweli....kama tu kuambiana ukweli hatuwezi hapo sahau mapambano dhidi ya rushwa.Taarifa inasema rushwa imepungua 2021/2022 kulinganisha na mwaka mmoja uliopita [emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hahahaha. Sononeka ukiwa wapi?Tuone kama walamba asali Mbowe, Lisu, Zito Kabwe wataichambua hii report ya CAG maana imejaa ufisadi tupu na ucheleweshaji wa miradi.
watamtaja tu watadai ndio sababu we subiri uone 😀Report zilizopita walikuwa wanajificha kwenye kichaka Cha Magufuli safari hii sijui watajificha kwenye kichaka Cha nani
. Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upulize
Ni lini CCM imeacha ufisadi? Jana tu Msigwa kasema uzembe na ufisadi vimetamalaki serikali ya Samia. Wala sio Siri hii, kila siku Lema hapa anatoa povu kuhusu vijana kupewa umasikini na kuachiwa bodaboda kama ajira rasmi. Sijui unachopotosha hapa ni nini!!Tuone kama walamba asali Mbowe, Lisu, Zito Kabwe wataichambua hii report ya CAG maana imejaa ufisadi tupu na ucheleweshaji wa miradi.
Ndege za JPM kipindi tunasema hazifai mlitutolea povu Leo yakwapi Sasa? Punguzeni ujuaji sukuma gangReport zilizopita walikuwa wanajificha kwenye kichaka Cha Magufuli safari hii sijui watajificha kwenye kichaka Cha nani
. Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upulize
Yasni ununuzi wa ndege ulikua ukurupukaji wa mdhalimu mwendazake, ajabu wlijikusanya wakaweka na zulia jekundu kuzipokea na kuziimbia mapambio pasipo kuweka mpango mkakati wa namna ya kuzalisha faida kupitia hizo ndegeNdege za JPM kipindi tunasema hazifai mlitutolea povu Leo yakwapi Sasa? Punguzeni ujuaji sukuma gang
Sasa hata tukifuatilia haita ondoa ujinga ujinga unaofanywa serikali coz wanaotakiwa wafuatilie ni serikali na sio sisi, raia tunahitaji kuona serikali ikifanyia kazi mapendekezo ya CAG na sio et tufatilie kupewa nyaraka ambazo hawatazifanyia kazi ok
Mara ngapi ofisi ya CAG ikitoa mapendekezo yake serikali haifuatili tena na chuki kuundiwa CAG hadi ofisini anatimiliwa kama mbwa, et hao ndo serikali ya wanyonge pumbavu zao
Hata sasa hii ofisi ya CAG ni upumbavu, tayari hii ofisi ilishakosa sifa kwetu sisi raia, tunahitaji CAG office iliyokamili sio hii iliyochakachuliwa sema tu watanzania hatujitambui make wengi wetu ni mashabiki tu, tena hawajui nchi inatakiwa iendeshwaje
Ndio hiki hiki ndio ulichokiona kwenye report nzima?Ndege za JPM kipindi tunasema hazifai mlitutolea povu Leo yakwapi Sasa? Punguzeni ujuaji sukuma gang
Report nzima imesema ubadilifu upo kwenye ndege hizo called za magufuli?Yasni ununuzi wa ndege ulikua ukurupukaji wa mdhalimu mwendazake, ajabu wlijikusanya wakaweka na zulia jekundu kuzipokea na kuziimbia mapambio pasipo kuweka mpango mkakati wa namna ya kuzalisha faida kupitia hizo ndege