Rais Samia apokea Ripoti za CAG na TAKUKURU za Mwaka 2021/2022
Ameitaka Taasisi inayohusika na manunuzi ya Serikali kupunguza urasimu katika manunuzi ili bidhaa na huduma zifike haraka kwa walengwa.
Only that? nime miss kile kicheko cha magu cha ihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii halafu angekaza sura na;
1. Kuagiza jeshi limkamate DG wa NHIF kwa kulipa Vituo vya afya visivyostahili Bil 14,
2. TANAPA wangetapika hizo Posho kinyume na utaratibu walizolipana,
3. Mifuko ya Hifadhi za jamii DG wangewekwa kikaangani,
4. Bandari na TRA wangepewa seven days mifumo isomane,
5. Mkurugenzi MOI angetiwa hatiani na TAKUKURU kwa kuchepusha makusanyo nje ya GePG
6. Baadhi ya DG na CEOs wangetemwa hapo hapo kwamba hawatoshi!

We miss u Buddy JPM!!
 
Hii ni ripoti ya ukaguzi kwa mwaka 2021/2022. Magufuli alikuwepo huo mwaka?

kama tunataka kuendelea tuache siasa mfu kama hizi.

Mungu Ibariki Tanzania. 🇹🇿
Jinai haifi, mnajua mliiba ipo siku yenu tu mnazitoa kupitia matundu yenu yote
 
Yule wa TAKUKURU aliyeanza kusoma hotuba na kusifia, anajisikiaje boss wake kasema ukweli?
 
Kwan yeye kusema hayo ndio Sasa tumuone ananipenda Nchi Kwa uzalendo??

Kaongeaa kama mtu wa pwan anavyoongea yaan kupasha umbeya
 
Niko nimebadilisha na channel naangalia BBC world news nimeshindwa kumaliza hiyo hotuba

CAG katoa ripoti ya upotevu wa mabillion na millions of money kwenye sekta na mashirika mbalimbali, mbali zaidi ulambaji asali uliokithiri kwenye halmashauri.

Ila analiongelea as if ni jambo la kawaida, kwanini asiwawajibishe hao wahusika na kuwatumbua??

Ama kweli hakuna rangi tutaacha ona this term.
 
Hicho bado ni kiwango kizuri tukaze buti kishuke zaidi
 
Back
Top Bottom