zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Nmecomment kwa title ya Uzi. Otherwise ufisadi CCM upo miaka yote hata JK na JPM akiwemo ufisadi Kila siku ulikuepo kwenye ripoti ya CAG. So mtajuana wenyewe na wananchi hiyo 2025 wakiwazomea majukwaani kama 2015.Ndio hiki hiki ndio ulichokiona kwenye report nzima?