Rais Samia apokea Ripoti za CAG na TAKUKURU za Mwaka 2021/2022
Huwezi mzuia kiongozi wa kiafrika kwenye magari ya kifahari na ndege. Hapa kwenye ndege ni "Sunk Cost Fallacy" yaani pamoja na kwamba tunapata hasara lakini tutaendelea kuweka pesa kwenye ndege. 😁
 
Huwezi mzuia kiongozi wa kiafrika kwenye magari ya kifahari na ndege. Hapa kwenye ndege ni "Sunk Cost Fallacy" yaani pamoja na kwamba tunapata hasara lakini tutaendelea kuweka pesa kwenye ndege. 😁
This is rubbish na hasara zinazidi kuongeza

Watakaokuwa marais baada ya Sgr Kukamilika wajiandae na hasara za kufa mtu..

Nchi imejaa watu wasiotumia akili unategemea nini
 
Sauti ya leo niliyoisikia, napata mashaka makubwa sana. Raisi anasema tukilinda rasilimali tutapunguza kukopa, swali kwa nn tusilinde hizo rasilimali?
 
Hata TAKUKURU kama mbwa wa polisi mpaka waambiwe fautilie lile na sio kuchukua maamuzi ya ghafla kama sehemu ya kazi yao..
 
Huwezi mzuia kiongozi wa kiafrika kwenye magari ya kifahari na ndege. Hapa kwenye ndege ni "Sunk Cost Fallacy" yaani pamoja na kwamba tunapata hasara lakini tutaendelea kuweka pesa kwenye ndege. 😁
tatizo linaanza atcl wanakodi ndege kutoka kwa wakala wa ndege za serikali....
 
Ulitake atumie kipaza sauti ndio uelewe anachosema.
 
Tuone kama walamba asali Mbowe, Lisu, Zito Kabwe wataichambua hii report ya CAG maana imejaa ufisadi tupu na ucheleweshaji wa miradi.
Sasa hivi wapo kimya zitto na mbowe wamesukumiwa bonge la senga la asali ili wendelee kumnanga magufuli
 
Niko nimebadilisha na channel naangalia BBC world news nimeshindwa kumaliza hiyo hotuba

CAG katoa ripoti ya upotevu wa mabillion na millions of money kwenye sekta na mashirika mbalimbali, mbali zaidi ulambaji asali uliokithiri kwenye halmashauri.

Ila analiongelea as if ni jambo la kawaida, kwanini asiwawajibishe hao wahusika na kuwatumbua??

Ama kweli hakuna rangi tutaacha ona this term.
Hivi we unafikiri sauti Kali ndo mqarobaini wa matatizo? Mi bona jpm alikuwa na sauti Kali lakini akina makonda na sabaya wanazipiga kama Kawa. Nenda uangalie makonda alivyo tycoon wa kitupwa.
 
Sitachangia uzi huu, haya mambo tumeyaandika humu mara nyingi na kurudia tena na tena, viongozi wa nchi hii wanajifanya Wanazo akili nyingi kutuzidi na wanatuona sisi wote ni mabwege, kisa ni madaraka.

Katiba mpya iweke kipengere cha kuwashitakia viongozi wabishi, baada ya ile kinga yao kuondolewa.
Weye fikiria uonekane bwege halafu wapewa kibuyu chako cha asali uwe walamba kila asubuhi.

Utaendelea kutojitambua.
 
Rais Samia karudia zaidi ya mara 5 kwenye hotuba yake kuhusu kuwekeza katika mifumo bandarini

Kasema Wakorea wasiondoke hadi mifumo iweze ungana kati ya TRA na TPA

Kasema Sekta binafsi ziingizwe kwa lazima
 
Ooh badala ya kuhesabu faida tunahesabu hasara ATCL vipi?
 
Hixo gharama zitakua zile za kurusha ndege toka TZ mpaka uk kwa msiba wa malkia
 
Back
Top Bottom