Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano mwaka uliopita baada ya report ya CAG alichukua hatua gani kwa waliokula pesa?Sio lazima ukaripie ukiwa umekunja ndita, ninaamini wote waliofanya hivyo majibu watayapata tena ya haraka sana.
This is rubbish na hasara zinazidi kuongezaHuwezi mzuia kiongozi wa kiafrika kwenye magari ya kifahari na ndege. Hapa kwenye ndege ni "Sunk Cost Fallacy" yaani pamoja na kwamba tunapata hasara lakini tutaendelea kuweka pesa kwenye ndege. 😁
Kutengua uteuzi na kuwaacha bila kushtaki ni sawa na bure tuKuna vichwa vitaondoka na hiyo ripoti. Mama ameshakarishwa na Wizara ya mambo ya nje
tatizo linaanza atcl wanakodi ndege kutoka kwa wakala wa ndege za serikali....Huwezi mzuia kiongozi wa kiafrika kwenye magari ya kifahari na ndege. Hapa kwenye ndege ni "Sunk Cost Fallacy" yaani pamoja na kwamba tunapata hasara lakini tutaendelea kuweka pesa kwenye ndege. 😁
Sasa hivi wapo kimya zitto na mbowe wamesukumiwa bonge la senga la asali ili wendelee kumnanga magufuliTuone kama walamba asali Mbowe, Lisu, Zito Kabwe wataichambua hii report ya CAG maana imejaa ufisadi tupu na ucheleweshaji wa miradi.
Hivi we unafikiri sauti Kali ndo mqarobaini wa matatizo? Mi bona jpm alikuwa na sauti Kali lakini akina makonda na sabaya wanazipiga kama Kawa. Nenda uangalie makonda alivyo tycoon wa kitupwa.Niko nimebadilisha na channel naangalia BBC world news nimeshindwa kumaliza hiyo hotuba
CAG katoa ripoti ya upotevu wa mabillion na millions of money kwenye sekta na mashirika mbalimbali, mbali zaidi ulambaji asali uliokithiri kwenye halmashauri.
Ila analiongelea as if ni jambo la kawaida, kwanini asiwawajibishe hao wahusika na kuwatumbua??
Ama kweli hakuna rangi tutaacha ona this term.
This is rubbish na hasara zinazidi kuongeza
Watakaokuwa marais baada ya Sgr Kukamilika wajiandae na hasara za kufa mtu..
Nchi imejaa watu wasiotumia akili unategemea nini
Amna kitu hapo huyu mama si huwa anasema watumishi wana nidhamu ya uogaKuna vichwa vitaondoka na hiyo ripoti. Mama ameshakarishwa na Wizara ya mambo ya nje
Weye fikiria uonekane bwege halafu wapewa kibuyu chako cha asali uwe walamba kila asubuhi.Sitachangia uzi huu, haya mambo tumeyaandika humu mara nyingi na kurudia tena na tena, viongozi wa nchi hii wanajifanya Wanazo akili nyingi kutuzidi na wanatuona sisi wote ni mabwege, kisa ni madaraka.
Katiba mpya iweke kipengere cha kuwashitakia viongozi wabishi, baada ya ile kinga yao kuondolewa.
Magu ashajifia jamanguReport zilizopita walikuwa wanajificha kwenye kichaka Cha Magufuli safari hii sijui watajificha kwenye kichaka Cha nani. Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upulize.