Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli huyu huyu aliye kwapua 1.5trillion na nyingine akafika china?Only that? nime miss kile kicheko cha magu cha ihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii halafu angekaza sura na;
1. Kuagiza jeshi limkamate DG wa NHIF kwa kulipa Vituo vya afya visivyostahili Bil 14,
2. TANAPA wangetapika hizo Posho kinyume na utaratibu walizolipana,
3. Mifuko ya Hifadhi za jamii DG wangewekwa kikaangani,
4. Bandari na TRA wangepewa seven days mifumo isomane,
5. Mkurugenzi MOI angetiwa hatiani na TAKUKURU kwa kuchepusha makusanyo nje ya GePG
6. Baadhi ya DG na CEOs wangetemwa hapo hapo kwamba hawatoshi!
We miss u Buddy JPM!!
Mkuu nimeanza kutambua sasa, kuwa ndio maana Serikali inakipenda sana hichi Chama kinacho isimamia, maana aidha hakina meno ama wana lamba wote hii keki ya TaifaSasa hata tukifuatilia haita ondoa ujinga ujinga unaofanywa serikali coz wanaotakiwa wafuatilie ni serikali na sio sisi, raia tunahitaji kuona serikali ikifanyia kazi mapendekezo ya CAG na sio et tufatilie kupewa nyaraka ambazo hawatazifanyia kazi ok.
Mara ngapi ofisi ya CAG ikitoa mapendekezo yake serikali haifuatili tena na chuki kuundiwa CAG hadi ofisini anatimiliwa kama mbwa, et hao ndo serikali ya wanyonge pumbavu zao.
Hata sasa hii ofisi ya CAG ni upumbavu, tayari hii ofisi ilishakosa sifa kwetu sisi raia, tunahitaji CAG office iliyokamili sio hii iliyochakachuliwa sema tu watanzania hatujitambui make wengi wetu ni mashabiki tu, tena hawajui nchi inatakiwa iendeshwaje.
SAFI SANA RAIS SAMIA. HAPA NAKUUNGA MKONO KWA HERUFI KUBWA.Tuone kama walamba asali Mbowe, Lisu, Zito Kabwe wataichambua hii report ya CAG maana imejaa ufisadi tupu na ucheleweshaji wa miradi.
Mkuu huko ni kumonea. Ninyi wenyewe mpo zaidi ya 60trion na hampendani. Lawama zingine hazipendezi. Hebu jichunguzeni ninyi wenyewe kwanza kabla ya kuwanyoshea wengine vidoleUchungu atue wapi ye na Tanganyika wapi na wapi