Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...na hili malo mkaliangalieVipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.
Taratibu utaelewa tu. Na bado.
Hata iweje shujaa wenu alikua na haiba na tabia za kinyama.Vipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.
Taratibu utaelewa tu. Na bado.
Kwani stupid ni matusi?Vipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.
Taratibu utaelewa tu. Na bado.
Taasisi zote zilizo bainika kwa wizi na miradi yote iliyo na wapigaji ilianzishwa chini ya sukuma gangVipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.
Taratibu utaelewa tu. Na bado.
Labda wewe sukuma gangMtanikumbukaa nasema mtanikumbukaa...
Watu wanakula kwa urefu wa kamba hawatosheki....nchi ngumu sana hii..
Hapo Maderu anakosekana wapi?Naona Mbarawa kamuangusha katika hili la ndege ya Cargo!
Majizi wote ni sukuma gang yaani mama akitaka awe salama lazima awafukuze wote wana sukuma gang maana wanajulikanaHakuwa akijua wezi wa tanzania wasivyo na soni wala haya ya uso.
Mbongo ana uwezo wa hata kuiba mafuta ya gari ya rais wakiwa katika msafara mikoani.
Sisi Sukuma Gang tunasema, mpaka watamuelewa Mwamba Magufuli!Vipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.
Taratibu utaelewa tu. Na bado.
Hilo la mbarawa ni dogo sana, tender mpya ya sgr kutoka Tabora kigomaa ndio kuna balaa kubwaNaona Mbarawa kamuangusha katika hili la ndege ya Cargo!
Si agizo lake limitimia jamani au mm sielewi.Mhe saim28 sasa mbuzi zitakua zimekula hizo kamba ama? Au wamezikatajekataje?
Akiendelea kucheka nao wataendelea kumpelekea invoice mara tatu...Vipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.
Taratibu utaelewa tu. Na bado.