Rais Samia apokea Ripoti za CAG na TAKUKURU za Mwaka 2021/2022
Vipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.


Taratibu utaelewa tu. Na bado.
Taasisi zote zilizo bainika kwa wizi na miradi yote iliyo na wapigaji ilianzishwa chini ya sukuma gang
 
Hakuwa akijua wezi wa tanzania wasivyo na soni wala haya ya uso.
Mbongo ana uwezo wa hata kuiba mafuta ya gari ya rais wakiwa katika msafara mikoani.
Majizi wote ni sukuma gang yaani mama akitaka awe salama lazima awafukuze wote wana sukuma gang maana wanajulikana
 
980,000,000,000÷22,000
= 44,545,454

Kwamba inachukua zaidi ya milioni 44 kumuhamisha mtu mmoja.

Hao watu 22,000 kumbuka wamekaa kifamilia, chukua familia moja ina wastani wa watu watatu 980bn ÷ (22,000 ÷ 3). Kwamba inachukua zaidi milioni 133 kuhamishia familia moja.
 
Back
Top Bottom