Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Teh tehIkikukolea Lazima upige ukunga mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh tehIkikukolea Lazima upige ukunga mkuu
Mambo ni mengi,Mbarawa kamuangusha Mama, Ndio Maana JPM alimtoa mbarawa.
Wakati huo vice president akiwa nani? Stupid!Taasisi zote zilizo bainika kwa wizi na miradi yote iliyo na wapigaji ilianzishwa chini ya sukuma gang
StupidMimi nasoma coment sukuma gang nawafananisha na waumini wa zumaridi
na wewe don't be stupidIle stupid Haina nguvu, stupid na kurembua haviendi pamoja.
Yeye aliamini Magufuli alikuwa anawaonea na kubambikia Watu kesi.Mzee wa kazi alikua anajua kumalizana nao kitemi kwasababu mijitu inakwapua mabilioni hata hawana chembe ya haya... Hao wanatakiwa wapigwe na chini kwa maslahi ya nchi.
Nzuri sana hizo tabia Unyama unyama tu.Hata iweje shujaa wenu alikua na haiba na tabia za kinyama.
Siyo Mbarawa tuNaona Mbarawa kamuangusha katika hili la ndege ya Cargo!
Kiza totoro.Ujuaji mwingi mbele kiza
Kwahiyo unataka kisema mama no kigeugeu? Mkubwa hakosei na akikosea maagizo yamebadirika.
Kwamba yeye ni mgeni hapa nchini ndio kwanza amewasili ?Hakuwa akijua wezi wa tanzania wasivyo na soni wala haya ya uso.
Mbongo ana uwezo wa hata kuiba mafuta ya gari ya rais wakiwa katika msafara mikoani.
Ahh kudadeki sasa hawa ni wa kuchinja tuKaka kwa waliowahi fuga mbuzi wanaelewa
Tena ikitokea zimekatika wanakula adi kwenye mashamba ya wanyonge
Bado sijaona tusi kokote kwenye matamshi yake!Vipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.
Taratibu utaelewa tu. Na bado.
Daaah alafu wanyonge hawajui hata wanataka nini na wafanye nini.Kaka kwa waliowahi fuga mbuzi wanaelewa
Tena ikitokea zimekatika wanakula adi kwenye mashamba ya wanyonge