Rais Samia apokea Ripoti za CAG na TAKUKURU za Mwaka 2021/2022
Mbarawa kamuangusha Mama, Ndio Maana JPM alimtoa mbarawa.
Mambo ni mengi,
Screenshot_20230329-152212_Telegram.jpg
 
"Pumbavu stupid"!!!!

Aiseh!!!?

Bas sawa!!

mshauri tu inatosha ,Huwa anasoma humu jamvini!

Mungu ibariki Tanzania
 
Ati 'Sukuma gang'
Hakuna kitu kama hicho Tanzania.

Mlegee kwenye utumizi wake.

Uhalifu ni Uhalifu tu.

Msitake kutugawanya. Mfyuuuuuuu
 
Hakuwa akijua wezi wa tanzania wasivyo na soni wala haya ya uso.
Mbongo ana uwezo wa hata kuiba mafuta ya gari ya rais wakiwa katika msafara mikoani.
Kwamba yeye ni mgeni hapa nchini ndio kwanza amewasili ?
 
Kaka kwa waliowahi fuga mbuzi wanaelewa
Tena ikitokea zimekatika wanakula adi kwenye mashamba ya wanyonge
Daaah alafu wanyonge hawajui hata wanataka nini na wafanye nini.
Mashamba yanaliwa wapogo tu!
 
Back
Top Bottom