Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Hiyo dili moja tu ya ATCL unakuta tunajenga daraja tatu kama zile za wami pale.. Ndio maana JPM alikuwa anasema hii nchi tajiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Erythrocyte upo hapo!!! Ulikuwa unamnang'a JPMVipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.
Taratibu utaelewa tu. Na bado.
Ngozi nyeusi inahitaji Roho kama ya mwamba, mama naleta roho ya huruma sana matokeo yake wakurungwa wanalamba asali kumzidi hata mwenye mzinga wake "Stupid".Vipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.
Taratibu utaelewa tu. Na bado.
Vipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.
Taratibu utaelewa tu. Na bado.
Wewe ni taahiraTaasisi zote zilizo bainika kwa wizi na miradi yote iliyo na wapigaji ilianzishwa chini ya sukuma gang
Huna akiliHata iweje shujaa wenu alikua na haiba na tabia za kinyama.
Nchi NGUMU wahuni hawafaiVipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.
Taratibu utaelewa tu. Na bado.
Huna wewe kuamini mtu mwongo na mwizi kama yule.Huna akili
[emoji1787]Ile stupid Haina nguvu, stupid na kurembua haviendi pamoja.
Sukuma gang unateseka SanaVipi? Ulisema hutatukana wala kufoka jukwani ila utatumia kalamu tu.
Taratibu utaelewa tu. Na bado.
Atapata akili tu kwamba uongozi hautaki kurembua machoHao mbwa ilibidi wanyongwe chap ila ndio hivyo.
Kujuana,uchama nk
Wanastuka hataAmekerwa na upigaji wa kijinga.
AiseeeeAtapata akili tu kwamba uongozi hautaki kurembua macho