HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Hizo zamani ni lini?Zamani kidogo hizo report ingezikuta jamiiforumu hata kabla ya kuwasilishwa kwa Rais , jamiiforumu ya sasa mpaka muda huu ni donoa donoa tu report full hakuna.
Mwenye nayo aweke hapa
USSR