Rais Samia arusha dongo kwa Lissu, asema kashfa na matusi kwenye mikutano ya hadhara ni kwasababu ya kuzungumzwa hakuna

[emoji2][emoji2],yaani kuna vitu vinashangaza,watu wanataka kuzungumza mnawatuma polisi wakazuie halafu baadae unasema hakuna cha kuzungumzwa?
Angalia umatii unavyowafata Chadema. Ni ishara tosha kuna cha kuzungumza..!! Wanaona maji yanazidi unga na Wamasai wanachoma card zao za kijani..
 
Total failure so called president.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…