KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Demokrasia ni utekelezaji wa mawazo ya wengi na kuheshimu mawazo ya wachache. Jambo Hilo ni utekelezaji wa demokrasia, nchi haiwezi kuendeshwa kwa kumridhisha Kila mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee tumeandika pamoja neno moja.Inasikitisha sana
Hii haisaidii maana watasema vyama 21 vimeshiriki uchaguzi, chama kimoja kimesusiaInasikitisha sana mkuu, chakufanya hapo ni Chadema kususia uchaguzi tuu ili kutuma ujumbe kwenye mataifa kuwa Tanzania sio sehemu salama
CHADEMA Hawa niwajuaavyo, hawaana hiyo jeuri.Inasikitisha sana mkuu, chakufanya hapo ni Chadema kususia uchaguzi tuu ili kutuma ujumbe kwenye mataifa kuwa Tanzania sio sehemu salama
Samia hawezi kuleta maridhiano peke yake. Mbowe anajua hilo toka mwanzo. Aliamua tu kuigiza kwa muda.Taarifa zilizosambazwa kwa vyombo vya Habari Nchini Tanzania zinaeleza kwamba Rais wa Nchi hiyo amesaini ile Miswada mibovu inayopingwa na kila mwenye akili timamu
View attachment 2951509View attachment 2951512
Bila Shaka kwa kitendo hiki inamaanisha kwamba Rais Samia AMEWAPUUZA KABISA WALE WOTE WANAOPINGA MISWADA HIYO MIBOVU YA SHERIA ZA UCHAGUZI .
Lazima mpuuzwe,sasa kama mna mjumbe wa kamati kuu mwizi wa magar mstaafu unategemea nini?Taarifa zilizosambazwa kwa vyombo vya Habari Nchini Tanzania zinaeleza kwamba Rais wa Nchi hiyo amesaini ile Miswada mibovu inayopingwa na kila mwenye akili timamu
View attachment 2951509View attachment 2951512
Bila Shaka kwa kitendo hiki inamaanisha kwamba Rais Samia AMEWAPUUZA KABISA WALE WOTE WANAOPINGA MISWADA HIYO MIBOVU YA SHERIA ZA UCHAGUZI .
Hivi unamjua dikteta wewe? Subiri tu uone,tukifanikiwa tuwaletee dikteta mpya mtafurahi nyumbu nyieDikteta uchwara mwingine huyu.
wakisusia ACT na chawa wengine watashirikiInasikitisha sana mkuu, chakufanya hapo ni Chadema kususia uchaguzi tuu ili kutuma ujumbe kwenye mataifa kuwa Tanzania sio sehemu salama
inchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na katitba ya nchi,Taarifa zilizosambazwa kwa vyombo vya Habari Nchini Tanzania zinaeleza kwamba Rais wa Nchi hiyo amesaini ile Miswada mibovu inayopingwa na kila mwenye akili timamu
Bila Shaka kwa kitendo hiki inamaanisha kwamba Rais Samia AMEWAPUUZA KABISA WALE WOTE WANAOPINGA MISWADA HIYO MIBOVU YA SHERIA ZA UCHAGUZI .
---
Rais Samia Suluhu Hassan amesaini miswada minne ya sheria iliyopitishwa na bunge kuwa sheria. Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson ametaja sheria hizo kuwa ni Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani; Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa; Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa na Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali.
Shetani hajawahi kumshinda Munguinchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na katitba ya nchi,
anachokifanya Rais kina baraka za utawala wa sheria na katiba, kimefuata uataratibu wa kisherua na kikatiba na kwamba ni kwa maslahi mapana ya waTanzania....
kwahiyo mmeghadhabishwa sana na kitendo cha Rais kuidhinisha maoni ya waTanzania kua sheria?
mnatamani avunje sheria kwa kuwafurahisha ninyi wachache wenye malengo yenu ya kisiasa, ambayo yana viashiria vya kutumwa na mabwenyenye?
unasema ati..
AMEWAPUUZA KABISA WALE WOTE WANAOPINGA MISWADA HIYO MIBOVU YA SHERIA ZA UCHAGUZI .....
si uwabainishe basi ni akina nani hao?
Mlete na nani na wewe ni kidampa tu anakujua nani huko CCM?Hivi unamjua dikteta wewe? Subiri tu uone,tukifanikiwa tuwaletee dikteta mpya mtafurahi nyumbu nyie
unamzungumzia mnyang"anyi ambae pia ni muandamizi wa kaskazini au?Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Na wajiandae kukimbia nchi baada 30Hivi unamjua dikteta wewe? Subiri tu uone,tukifanikiwa tuwaletee dikteta mpya mtafurahi nyumbu nyie
Ndio maana akasema tunawaacha waandamane wee... ile kauli ilikuwa na mengi yamejificha ndani yake.
Kubwa zaidi Rais aliyaona yale maandamano kama mchezo wa kuigiza.
Sasa ni kazi ya Chadema na waandamanaji wengine kumuonesha Rais yale maandamano hayakuwa mchezo wa kuigiza.
Vinginevyo kama mtaenda kwenye uchaguzi kwa sheria zile, mjiandae kwa lolote, wao naona wameshaanza maandalizi ya uchaguzi ujao kwa namna tofauti kuanzia teuzi mpaka sheria kandamizi.
Inasikitisha sana mkuu, chakufanya hapo ni Chadema kususia uchaguzi tuu ili kutuma ujumbe kwenye mataifa kuwa Tanzania sio sehemu salama
Lazima mpuuzwe,sasa kama mna mjumbe wa kamati kuu mwizi wa magar mstaafu unategemea nini?