Pre GE2025 Rais Samia asaini miswada ya Sheria za Uchaguzi

Pre GE2025 Rais Samia asaini miswada ya Sheria za Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Taarifa zilizosambazwa kwa vyombo vya Habari Nchini Tanzania zinaeleza kwamba Rais wa Nchi hiyo amesaini ile Miswada mibovu inayopingwa na kila mwenye akili timamu

View attachment 2951509View attachment 2951512

Bila Shaka kwa kitendo hiki inamaanisha kwamba Rais Samia AMEWAPUUZA KABISA WALE WOTE WANAOPINGA MISWADA HIYO MIBOVU YA SHERIA ZA UCHAGUZI .
Samia hawezi kuleta maridhiano peke yake. Mbowe anajua hilo toka mwanzo. Aliamua tu kuigiza kwa muda.
 
Taarifa zilizosambazwa kwa vyombo vya Habari Nchini Tanzania zinaeleza kwamba Rais wa Nchi hiyo amesaini ile Miswada mibovu inayopingwa na kila mwenye akili timamu

View attachment 2951509View attachment 2951512

Bila Shaka kwa kitendo hiki inamaanisha kwamba Rais Samia AMEWAPUUZA KABISA WALE WOTE WANAOPINGA MISWADA HIYO MIBOVU YA SHERIA ZA UCHAGUZI .
Lazima mpuuzwe,sasa kama mna mjumbe wa kamati kuu mwizi wa magar mstaafu unategemea nini?
 
Taarifa zilizosambazwa kwa vyombo vya Habari Nchini Tanzania zinaeleza kwamba Rais wa Nchi hiyo amesaini ile Miswada mibovu inayopingwa na kila mwenye akili timamu

Bila Shaka kwa kitendo hiki inamaanisha kwamba Rais Samia AMEWAPUUZA KABISA WALE WOTE WANAOPINGA MISWADA HIYO MIBOVU YA SHERIA ZA UCHAGUZI .

---

Rais Samia Suluhu Hassan amesaini miswada minne ya sheria iliyopitishwa na bunge kuwa sheria. Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson ametaja sheria hizo kuwa ni Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani; Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa; Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa na Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali.
inchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na katitba ya nchi,
anachokifanya Rais kina baraka za utawala wa sheria na katiba, kimefuata uataratibu wa kisherua na kikatiba na kwamba ni kwa maslahi mapana ya waTanzania....

kwahiyo mmeghadhabishwa sana na kitendo cha Rais kuidhinisha maoni ya waTanzania kua sheria?

mnatamani avunje sheria kwa kuwafurahisha ninyi wachache wenye malengo yenu ya kisiasa, ambayo yana viashiria vya kutumwa na mabwenyenye?

unasema ati..
AMEWAPUUZA KABISA WALE WOTE WANAOPINGA MISWADA HIYO MIBOVU YA SHERIA ZA UCHAGUZI .....

si uwabainishe basi ni akina nani hao?
 
inchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na katitba ya nchi,
anachokifanya Rais kina baraka za utawala wa sheria na katiba, kimefuata uataratibu wa kisherua na kikatiba na kwamba ni kwa maslahi mapana ya waTanzania....

kwahiyo mmeghadhabishwa sana na kitendo cha Rais kuidhinisha maoni ya waTanzania kua sheria?

mnatamani avunje sheria kwa kuwafurahisha ninyi wachache wenye malengo yenu ya kisiasa, ambayo yana viashiria vya kutumwa na mabwenyenye?

unasema ati..
AMEWAPUUZA KABISA WALE WOTE WANAOPINGA MISWADA HIYO MIBOVU YA SHERIA ZA UCHAGUZI .....

si uwabainishe basi ni akina nani hao?
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
 
Ndio maana akasema tunawaacha waandamane wee... ile kauli ilikuwa na mengi yamejificha ndani yake.

Kubwa zaidi Rais aliyaona yale maandamano kama mchezo wa kuigiza.

Sasa ni kazi ya Chadema na waandamanaji wengine kumuonesha Rais yale maandamano hayakuwa mchezo wa kuigiza.

Vinginevyo kama mtaenda kwenye uchaguzi kwa sheria zile, mjiandae kwa lolote, wao naona wameshaanza maandalizi ya uchaguzi ujao kwa namna tofauti kuanzia teuzi mpaka sheria kandamizi.

Kwa kuwa amewapuuza wananchi, nao wampuuze. Hana wala msaada wowote kwa Taifa. Ni hasara tupu.

Tangazeni maandamano yasiyo na mwisho.
 
Inasikitisha sana mkuu, chakufanya hapo ni Chadema kususia uchaguzi tuu ili kutuma ujumbe kwenye mataifa kuwa Tanzania sio sehemu salama

Kususa kuna kuwa na maana kwa kiongozi mwenye akili na hekima, kwa sababu anatazama athari zake mbeleni. Ambaye hana, ukisusa yeye atashangilia.

Hapa inatakiwa kutangaza maandamano yasiyo na mwisho, na kumtangaza yeye binafsi kama adui wa demokradia na ustawi wa nchi.
 
Back
Top Bottom