Pre GE2025 Rais Samia asaini miswada ya Sheria za Uchaguzi

Pre GE2025 Rais Samia asaini miswada ya Sheria za Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi upinzani nchi hii umekufa kiasi hiki?? Zama hizi za uwazi na watu wameamka bado tu mnakuwa na hofu na woga?? Sukari bei, umeme haueleweki, maji, ajira hakuna n.k Bado kwenye uchaguzi mnapigwa tu kama watoto wadogo mnaishia kususa tu bila kuchukua hatua? Nchi zote za Afrika yameshafanya mabadiliko vyama tawala vimeangushwa isipokuwa Tanzania! Si kwamba CCM inafanya vizuri, hapana bali ni udhaifu wa upinzani, Shida iko wapi?
Unalalamika ukiwa wapi? Nje au ndani ya tz? Ni nani afanye wajibu wako na wakati wakifanya ulishawahi kuwaunga mkono kwa kuandamana nao? Timiza wajibu wako kabla hujawalaumu ambao wamejaribu.
 
Na ulivyounga mkono kuwa vilivyobaki vitashiriki huioni hiyo contradiction? Uchawa huuwezi Bora uanze kuuza tangawizi ya moto mjini.
Mkuu, Chadema wakisusa hayo n matatizo yao wnyw kama ambavyo vyama vngn vikisusa
 
Hivi upinzani nchi hii umekufa kiasi hiki?? Zama hizi za uwazi na watu wameamka bado tu mnakuwa na hofu na woga?? Sukari bei, umeme haueleweki, maji, ajira hakuna n.k Bado kwenye uchaguzi mnapigwa tu kama watoto wadogo mnaishia kususa tu bila kuchukua hatua? Nchi zote za Afrika yameshafanya mabadiliko vyama tawala vimeangushwa isipokuwa Tanzania! Si kwamba CCM inafanya vizuri, hapana bali ni udhaifu wa upinzani, Shida iko wapi?
Wapinzani wa bongo wanafaidika na mfumo wa mafisadi ndio maana wana hangaika na mambo ya kipuuzi badala ya kupambana na kero za wananchi.

Wanaacha kuhangaika na mambo ya msingi 24/7 wanapambana na marehemu alie wanyima kwenda kunywa chai magogoni, hovyo kabisa.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Piga spana hadi waache ujinga wao,kama yule mwizi mstaafu wa magari hovyo sana,sumu ya nyigu kuna wakat ana akili
 
J
Hivi upinzani nchi hii umekufa kiasi hiki?? Zama hizi za uwazi na watu wameamka bado tu mnakuwa na hofu na woga?? Sukari bei, umeme haueleweki, maji, ajira hakuna n.k Bado kwenye uchaguzi mnapigwa tu kama watoto wadogo mnaishia kususa tu bila kuchukua hatua? Nchi zote za Afrika yameshafanya mabadiliko vyama tawala vimeangushwa isipokuwa Tanzania! Si kwamba CCM inafanya vizuri, hapana bali ni udhaifu wa upinzani, Shida iko wapi?
Jiulize, hawako serious ni sababu wanapenda ubunge wakale bata
 
Back
Top Bottom