Rais Samia asema majaji wanawake wamesaidia kupunguza malalamiko dhidi ya Mahakama

Rais Samia asema majaji wanawake wamesaidia kupunguza malalamiko dhidi ya Mahakama

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rais Samia amesema malalamiko kutoka kwa wananchi kwenda kwa mahakama yamepungua kwa kiasi kikubwa ambako kumetokana na sababu mbalimbali ikiwemo kuwa na majaji wanawake.

Kwa sasa amesema ameshateua majaji 23 wa kike na 27 wanaume na ameazimia kufikia 50/50. Amesema majaji wanawake wanateuliwa kwa sifa walizonazo na sio jinsia zao tu.

Amesema mbali na maboresho ya mahakama majaji wanawake wanakuwa na moyo katika kutoa hukumu. Hali inayoongeza utendaji mwema wa mahakama tofauti na wanaume.
 
Huyu rais anaongeaga tu. Nimepita mahakama za kinondoni na sinza, kesi yangu ilikuwa dhahiri kwa mtu aliyeniibia. Kesi zote zimetolewa hukumu na mahakimu wa kike, tena wavaa mashuka vichwani kujifanya wachamungu, ila walipokea rushwa na kunishushia kitu kizito kichwani mwangu
 
Rais Samia amesema malalamiko kutoka kwa wananchi kwenda kwa mahakama yamepungua kwa kiasi kikubwa ambako kumetokana na sababu mbalimbali ikiwemo kuwa na majaji wanawake.

Kwa sasa amesema ameshateua majaji 23 wa kike na 27 wanaume na ameazimia kufikia 50/50. Amesema majaji wanawake wanateuliwa kwa sifa walizonazo na sio jinsia zao tu.

Amesema mbali na maboresho ya mahakama majaji wanawake wanakuwa na moyo katika kutoa hukumu. Hali inayoongeza utendaji mwema wa mahakama tofauti na wanaume.
Leo nilikuwa namsikiliza rais Samia akizungumza baada ya kuwaapisha majaji wapya 21, kati ya majaji 22 aliowateua hivi karibuni.

Kiukweli huyu Mama ni baraka kutoka kwa Mungu!. Amezungumzia tofauti ya utoaji haki kati ya majaji wa kike na wa kiume, kile kitu nilichokisema kuhusu majaji kuwa na jicho la haki, Rais Samia ameizungumzia kuhusu majaji wanawake kutenda haki kuliko majaji wanaume, hivyo anakwenda kuteua majaji 50/50.

Akizungumzia Kamishana Mkuu wa Magereza amewataka Magereza kuwatenda vema wafungwa kwa hoja kuwa sio wafungwa wote ni wahalifu kweli, kuna wengine wanafungwa kwa circumstantial evidence lakini sio wahalifu.

Ukimsikia Samia analiagiza nini Jeshi la Magereza kuwa treat vipi wafungwa, wale mnaomkumbuka yule alitaka wafungwa wahudumiweje, mtakubaliana na mimi , Samia na yule ni mbingu na ardhi!.
Kiukweli acheni tuu Mungu aitwe Mungu!.
Ujio wa Samia ni baraka ya aina yake kwa Tanzania.
Mungu mbariki Samia
Mungu ibariki Tanzania.
P
 
Huyu rais anaongeaga tu. Nimepita mahakama za kinondoni na sinza, kesi yangu ilikuwa dhahiri kwa mtu aliyeniibia. Kesi zote zimetolewa hukumu na mahakimu wa kike, tena wavaa mashuka vichwani kujifanya wachamungu, ila walipokea rushwa na kunishushia kitu kizito kichwani mwangu
Huku Mahakama za Nchini Mahakimu Wanawake ni jipu, wao ukiwawekea mpunga tu,na ushindi unapewa hata Kama haki si yako!!
 
Mwambieni ata nchi na Wizara ya Viwanda na Biashara inaongozwa na Mwanamke lakini Bei ya bidhaa mtaani inapanda kila kukicha na ajira hakuna!
 
Lini ulimkosoa huyo unayemlinganisha na huyu samia wako unayemsema na je huyo unayemkosoa saiv yuko hai na kama hayuko hai nani atamtetea maana allegations unazozileta humu angekuwepo angejibu yeye mwenyewe au umechanganyikiwa umebaki kwenye genge la praise team by the way wafuas wa walamba asali kupitia tozo tunawajua hata wale maprofesa uchwara wa majalalani waliwahi kumuita magufuli Mungu hio yote ilikuwa ni kudhihirisha kuwa elimu zao hazikuwa msaada wowote kwa watanzania walio wengi matokeo yake hata hilo lichama lenu la ccm mmeliuwa saiv wabunge wenu wa mchongo na wenyeviti wenu wa mchongo wa vijiji na vitongoji hawawez kuitisha mikutano ya hadhara na kupata watu hata ishirini, so wewe endelea na ndo zako kuwa huyo samia kaletwa na Mungu na 2025 ndo mtajua kama kaletwa na Mungu au mungu.

Uchawa unalipa...

Ndipo tulipofikia!
 
Kwakweli Nchi imeingia Cha Kike , hivi huyu ni Rais au nn??

Mbona Siasa zake nyepesi mnooo ??.

Kwamba Wananchi walilamika kutokwepo na idadi tosha ya Maji Wanawake , au watu tunalalamikia Utendaji kazi wa hizi mahakaman zetu?.

Je Toka wameteuliwa hao Wanawake,,, Kuna tokeo gan Chanya limepatikana ??.

Huyu mtu mbona akili yake imefungwa kwenye mambo ya Jinsia tu, so ajiteue awe waziri wa Maendeleo, Jinsia, Watoto, wazeee N.k !!.
 
Lini ulimkosoa huyo unayemlinganisha na huyu samia wako unayemsema na je huyo unayemkosoa saiv yuko hai na kama hayuko hai nani atamtetea maana allegations unazozileta humu angekuwepo angejibu yeye mwenyewe au umechanganyikiwa umebaki kwenye genge la praise team by the way wafuas wa walamba asali kupitia tozo tunawajua hata wale maprofesa uchwara wa majalalani waliwahi kumuita magufuli Mungu hio yote ilikuwa ni kudhihirisha kuwa elimu zao hazikuwa msaada wowote kwa watanzania walio wengi matokeo yake hata hilo lichama lenu la ccm mmeliuwa saiv wabunge wenu wa mchongo na wenyeviti wenu wa mchongo wa vijiji na vitongoji hawawez kuitisha mikutano ya hadhara na kupata watu hata ishirini, so wewe endelea na ndo zako kuwa huyo samia kaletwa na Mungu na 2025 ndo mtajua kama kaletwa na Mungu au mungu.
Hahahaaaaa........😄😅

Hapo Dawa ya Uvccm umenena
 
Lini ulimkosoa huyo unayemlinganisha na huyu samia wako unayemsema na je huyo unayemkosoa saiv yuko hai na kama hayuko hai nani atamtetea maana allegations unazozileta humu angekuwepo angejibu yeye mwenyewe au umechanganyikiwa umebaki kwenye genge la praise team by the way wafuas wa walamba asali kupitia tozo tunawajua hata wale maprofesa uchwara wa majalalani waliwahi kumuita magufuli Mungu hio yote ilikuwa ni kudhihirisha kuwa elimu zao hazikuwa msaada wowote kwa watanzania walio wengi matokeo yake hata hilo lichama lenu la ccm mmeliuwa saiv wabunge wenu wa mchongo na wenyeviti wenu wa mchongo wa vijiji na vitongoji hawawez kuitisha mikutano ya hadhara na kupata watu hata ishirini, so wewe endelea na ndo zako kuwa huyo samia kaletwa na Mungu na 2025 ndo mtajua kama kaletwa na Mungu au mungu.
Hivi yupo?
 
Leo nilikuwa namsikiliza rais Samia akizungumza baada ya kuwaapisha majaji wapya 21, kati ya majaji 22 aliowateua hivi karibuni.

Kiukweli huyu Mama ni baraka kutoka kwa Mungu!. Amezungumzia tofauti ya utoaji haki kati ya majaji wa kike na wa kiume, kile kitu nilichokisema kuhusu majaji kuwa na jicho la haki, Rais Samia ameizungumzia kuhusu majaji wanawake kutenda haki kuliko majaji wanaume, hivyo anakwenda kuteua majaji 50/50.

Akizungumzia Kamishana Mkuu wa Magereza amewataka Magereza kuwatenda vema wafungwa kwa hoja kuwa sio wafungwa wote ni wahalifu kweli, kuna wengine wanafungwa kwa circumstantial evidence lakini sio wahalifu.

Ukimsikia Samia analiagiza nini Jeshi la Magereza kuwa treat vipi wafungwa, wale mnaomkumbuka yule alitaka wafungwa wahudumiweje, mtakubaliana na mimi , Samia na yule ni mbingu na ardhi!.
Kiukweli acheni tuu Mungu aitwe Mungu!.
Ujio wa Samia ni baraka ya aina yake kwa Tanzania.
Mungu mbariki Samia
Mungu ibariki Tanzania.
P

Wrong is wrong no matter who says it !!

Unapozungumzia habari za kufungwaKwa sababu za circumstantiall evidence , na Hawa wanafungwa Kwa sababu zile ...

Sio kazi ya Magereza hiyo ,, mnyororo wake unaanzia Jeshi la Polisi !!.


Yes, MAGUFULI alikua sahihi kuhitaji Jeshi la Magereza liwawajibishe haswa Hawa wafungwa, Huwezi kuingiza Taifa Hasara kulisha Mfungwa ,wakati tayari hiyo ni Human resources tosha Kwa Jeshi lenyewe kujiendesha .


RAIS NAONA ANAKUJA NA SIASA ZA KIZAMAAAN, ZILIZOPITWA NA NA WAKATI , TUPO KWENYE DUNIA MPYA SASA, DUNIA AMBAYO ,KIONGOZI WA NCHI ANAIWAJIBIKIA NCHI YAKE KWELIKWELI !!.



Anachokifanyaaa sanasana , ni kuendelea kuwathibitishia Watanzania kua YEYE NA JPM ,HAZIKUIVA, NA KWAMBA ANAFURAHIA SANA KIFO CHAKE .


NA HAYO HUWA NI MAWAZO YA MTU MWENYE AKILI KIDUCHU...AND YES, UDUCHU WA AKILI YAKE, UNAONEKANA KWENYE SAFARI YAKE YA KIELIMU, SAFARI ILOJAAA KUUNGA UUNGA VICHETI CHETI SABABU YA KUA NA BRAIN NDOGO !!.
 
Leo nilikuwa namsikiliza rais Samia akizungumza baada ya kuwaapisha majaji wapya 21, kati ya majaji 22 aliowateua hivi karibuni.

Kiukweli huyu Mama ni baraka kutoka kwa Mungu!. Amezungumzia tofauti ya utoaji haki kati ya majaji wa kike na wa kiume, kile kitu nilichokisema kuhusu majaji kuwa na jicho la haki, Rais Samia ameizungumzia kuhusu majaji wanawake kutenda haki kuliko majaji wanaume, hivyo anakwenda kuteua majaji 50/50.

Akizungumzia Kamishana Mkuu wa Magereza amewataka Magereza kuwatenda vema wafungwa kwa hoja kuwa sio wafungwa wote ni wahalifu kweli, kuna wengine wanafungwa kwa circumstantial evidence lakini sio wahalifu.

Ukimsikia Samia analiagiza nini Jeshi la Magereza kuwa treat vipi wafungwa, wale mnaomkumbuka yule alitaka wafungwa wahudumiweje, mtakubaliana na mimi , Samia na yule ni mbingu na ardhi!.
Kiukweli acheni tuu Mungu aitwe Mungu!.
Ujio wa Samia ni baraka ya aina yake kwa Tanzania.
Mungu mbariki Samia
Mungu ibariki Tanzania.
P
Hebu tutajie Rais wa nchi hii ambaye hakuwa baraka toka kwa Mungu tumjue

Isije ikawa unatafuta teuzi mkuu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Huyu rais anaongeaga tu. Nimepita mahakama za kinondoni na sinza, kesi yangu ilikuwa dhahiri kwa mtu aliyeniibia. Kesi zote zimetolewa hukumu na mahakimu wa kike, tena wavaa mashuka vichwani kujifanya wachamungu, ila walipokea rushwa na kunishushia kitu kizito kichwani mwangu

Kwa lugha yako hii, wewe unastahili sio tu kushushiwa kitu kizito, wangekukata kichwa chako kabisa kwani inaonekana kimejaa kinyesi. Wavaa mashuka ni watu gani?
 
Huyu mama anataka kutumia kichaka Cha u-women kuficha udhaifu wake na uwezo wake mdogo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wanaume Walio OA MITALA kina Aweso na Mchengerwa.

Wanawake.

Hao ndio Samia Kila siku ANAWASIFIA Ni WACHAPAKAZI🤣🤣🤣

Nchi hii bana.

Anyway, binafsi sioni sababu ya kubwabwaja Kila AKIWA ANAAPISHA.

Magufuli ndio alikuwa na Tania hii ambayo siyo nzuri lakini naona na huyu Nate kaamua KUIGA
 
Back
Top Bottom