Rais Samia asema majaji wanawake wamesaidia kupunguza malalamiko dhidi ya Mahakama

Rais Samia asema majaji wanawake wamesaidia kupunguza malalamiko dhidi ya Mahakama

Leo nilikuwa namsikiliza rais Samia akizungumza baada ya kuwaapisha majaji wapya 21, kati ya majaji 22 aliowateua hivi karibuni.

Kiukweli huyu Mama ni baraka kutoka kwa Mungu!. Amezungumzia tofauti ya utoaji haki kati ya majaji wa kike na wa kiume, kile kitu nilichokisema kuhusu majaji kuwa na jicho la haki, Rais Samia ameizungumzia kuhusu majaji wanawake kutenda haki kuliko majaji wanaume, hivyo anakwenda kuteua majaji 50/50.

Akizungumzia Kamishana Mkuu wa Magereza amewataka Magereza kuwatenda vema wafungwa kwa hoja kuwa sio wafungwa wote ni wahalifu kweli, kuna wengine wanafungwa kwa circumstantial evidence lakini sio wahalifu.

Ukimsikia Samia analiagiza nini Jeshi la Magereza kuwa treat vipi wafungwa, wale mnaomkumbuka yule alitaka wafungwa wahudumiweje, mtakubaliana na mimi , Samia na yule ni mbingu na ardhi!.
Kiukweli acheni tuu Mungu aitwe Mungu!.
Ujio wa Samia ni baraka ya aina yake kwa Tanzania.
Mungu mbariki Samia
Mungu ibariki Tanzania.
P
Sisi watu wazima tunakuelewa...nilazima umwage sifa ili angalau wakufirikie...vp mchakato wa ubunge wa EA umefikia wapi?kuna mwanga au ndo unajipalilia kwa hizi post zako?
 
Hakukuwa na ulazima wa kumnanga marehemu. Kukuita njaa alikuwa anatania tu msamehe alishalala mauti!

Na hii dhana ya kwamba huyu rais au yule ni zawadi kutoka kwa Mungu pengine ni kutokuyaelewa maandiko tu maana yanasema kila mamlaka imetoka kwa Mungu.

Ukiteuliwa u-DC utaukataa au fokasi yako yote kwa sasa iko kwenye ubunge wa bunge la Afrika Mashariki?
 
Huyu mama anataka kutumia kichaka Cha u-women kuficha udhaifu wake na uwezo wake mdogo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Comment yako hii na nyingine za aina hii zinaonyesha uelewa wa Waafrika walio wengi kuhusu concept ya Gender and Development ni ndogo sana! Mhe. Rais kazungumza ktk lugha rahisi sana kuhusu IMPACT ya women participation ktk decision making, kwa upande wa mahakamani. Kwamba imesaidia kupunguza malalamiko ya kusiginwa kwa haki.

Tena, Mhe. Rais amesisitiza wanawake anaowateua wanakuwa na sifa; ili kuleta IMPACT chanya. Ndiyo maana ktk Gender and development dunia inasisitiza umuhimu wa equal participation ya MEN and WOMEN ktk decision making. Ndicho kwa urahisi alichomaanisha. Ndiyo maana ameteua wanawake na wanaume Majaji tena wanaume ni wengi.

NOTE TAKING AND NOTE MAKING:
NB: Tuwe makini, watulivu na fikra chanya tunaposikiliza na kuandika ya viongozi wetu wakiongozwa na Mhe. Rais, ili tukijadili basi tuonyeshe ukomavu na si upotoshaji.# Pia tuachane na patriarchy system.🙏🙏🙏
 
Rais Samia amesema malalamiko kutoka kwa wananchi kwenda kwa mahakama yamepungua kwa kiasi kikubwa ambako kumetokana na sababu mbalimbali ikiwemo kuwa na majaji wanawake.

Kwa sasa amesema ameshateua majaji 23 wa kike na 27 wanaume na ameazimia kufikia 50/50. Amesema majaji wanawake wanateuliwa kwa sifa walizonazo na sio jinsia zao tu.

Amesema mbali na maboresho ya mahakama majaji wanawake wanakuwa na moyo katika kutoa hukumu. Hali inayoongeza utendaji mwema wa mahakama tofauti na wanaume.
Kwa hiyo katika hao majaji 50 alio wateua [ 23 wanawake + 27 wanaume ] ni 23 wametenda haki ila hao 27 hawaja tenda haki hivyo ndivyo anavyo maanisha ?🤔
 
Rais Samia amesema malalamiko kutoka kwa wananchi kwenda kwa mahakama yamepungua kwa kiasi kikubwa ambako kumetokana na sababu mbalimbali ikiwemo kuwa na majaji wanawake.

Kwa sasa amesema ameshateua majaji 23 wa kike na 27 wanaume na ameazimia kufikia 50/50. Amesema majaji wanawake wanateuliwa kwa sifa walizonazo na sio jinsia zao tu.

Amesema mbali na maboresho ya mahakama majaji wanawake wanakuwa na moyo katika kutoa hukumu. Hali inayoongeza utendaji mwema wa mahakama tofauti na wanaume.

Kwa hiyo kuhusu Siyami na Tingatinga ndiyo kasema je sasa?
 
Kwa lugha yako hii, wewe unastahili sio tu kushushiwa kitu kizito, wangekukata kichwa chako kabisa kwani inaonekana kimejaa kinyesi. Wavaa mashuka ni watu gani?
Message
Huku Mahakama za Nchini Mahakimu Wanawake ni jipu, wao ukiwawekea mpunga tu,na ushindi unapewa hata Kama haki si yako!!
Kweli yamenikuta, ogopa sana watu wanajifanya washika dini sana, wanafiki
 
Wrong is wrong no matter who says it !!

Unapozungumzia habari za kufungwaKwa sababu za circumstantiall evidence , na Hawa wanafungwa Kwa sababu zile ...

Sio kazi ya Magereza hiyo ,, mnyororo wake unaanzia Jeshi la Polisi !!.


Yes, MAGUFULI alikua sahihi kuhitaji Jeshi la Magereza liwawajibishe haswa Hawa wafungwa, Huwezi kuingiza Taifa Hasara kulisha Mfungwa ,wakati tayari hiyo ni Human resources tosha Kwa Jeshi lenyewe kujiendesha .


RAIS NAONA ANAKUJA NA SIASA ZA KIZAMAAAN, ZILIZOPITWA NA NA WAKATI , TUPO KWENYE DUNIA MPYA SASA, DUNIA AMBAYO ,KIONGOZI WA NCHI ANAIWAJIBIKIA NCHI YAKE KWELIKWELI !!.



Anachokifanyaaa sanasana , ni kuendelea kuwathibitishia Watanzania kua YEYE NA JPM ,HAZIKUIVA, NA KWAMBA ANAFURAHIA SANA KIFO CHAKE .


NA HAYO HUWA NI MAWAZO YA MTU MWENYE AKILI KIDUCHU...AND YES, UDUCHU WA AKILI YAKE, UNAONEKANA KWENYE SAFARI YAKE YA KIELIMU, SAFARI ILOJAAA KUUNGA UUNGA VICHETI CHETI SABABU YA KUA NA BRAIN NDOGO !!.
Huku sio kukosoa viongozi, kitu ambacho ni wajibu wetu, bali ni kutukana, kitu ambacho ni kosa mahali popote.
Kwa mujibu wa haya matapishi na Uharo uliyoweka hapa mtandaoni, inaelekea wewe ndio umejaza makamasi kichwani badala ya ubongo na hicho kichwa umebeba kama mzigo mwingine wowote kwa shingo na mabega yako. Pole sana maana huna tofauti na mtu aliyebeba mzigo wa kuni.
Sasa ngoja nikutoe Nta masikioni na matongongo machoni kwa kukunywesha dawa uliyoikoroga mwenyewe, kama kwa bahati nzuri wewe ni mjinga tu asiye na mtindio utaelewa kitu;
*Ni kweli kuwa sio kila mfungwa anayepatikana na hatia na kufungwa au hata kunyongwa, ni lazima awe ametenda kosa. Ungekuwa unatumia hata uti wa mgongo au matako kufikiri, ungekuwa unafahamu kuwa mara nyingi mahakama za juu zimeshatengua maamuzi ya mahakama za chini, unadhani kwanini ?
Je kwa wengi ambao hawana uwezo wa kukata rufani au kutetewa na mawakili, unadhani ni kitu gani kinawatokea?
*Mahakama peke yake ndizo zina jukumu la kutoa adhabu kwa wanaopatikana na makosa sio jukumu la mtu mwingine yeyote, ikiwa ni pamoja na Rais anayeruhusiwa kutoa adhabu nyingine yoyote ambayo haikutamkwa na hakimu katika hukumu.
*Hivyo kuwa adhibu wafungwa, iwe ni kuwapiga mateke, kuwafanyisha kazi bila malipo, ni kosa.
*Hata wafungwa wana haki zote isipokuwa kunyimwa uhuru wao kwa kuzuiliwa magerezani (Hiyo ndio adhabu yao) Wanaweza kufundishwa stadi za kazi/ufundi zitakazo wasaidia wakirudi uraiani sio kufanyishwa kazi kama adhabu kama hakimu hakusema hivyo.
*Ni wajibu wa serikali kuwahudumia wafungwa kwa kutumia kodi na tozo zetu, sio kuwalazimisha eti wajilishe wenyewe sijui kitu gani!! Hizo ndizo huduma za kijamii tunazolipia kodi.
*Kama serikali haina uwezo wa kuhudumia wafungwa basi iwape vifungo vya nje wajihudumie wenyewe.
* Hivi wewe unajua tofauti ya Ubongo na Akili? Huonyeshi kama kuna kitu unachojua!!
*Kutokuelewana na boss wake kama ni kweli, kwanini unadhani ni tatizo lake? Nani kakuambia boss wake hakuwa na matatizo?
*Siku nyingine ukijisikia unaumwa tumbo la kuharisha wahi chooni, sio kuja mitandaoni na kupayuka kwa herufi kubwa kuonyesha dunia jinsi ulivyo zumbukuku.
 
Huku sio kukosoa viongozi, kitu ambacho ni wajibu wetu, bali ni kutukana, kitu ambacho ni kosa mahali popote.
Kwa mujibu wa haya matapishi na Uharo uliyoweka hapa mtandaoni, inaelekea wewe ndio umejaza makamasi kichwani badala ya ubongo na hicho kichwa umebeba kama mzigo mwingine wowote kwa shingo na mabega yako. Pole sana maana huna tofauti na mtu aliyebeba mzigo wa kuni.
Sasa ngoja nikutoe Nta masikioni na matongongo machoni kwa kukunywesha dawa uliyoikoroga mwenyewe, kama kwa bahati nzuri wewe ni mjinga tu asiye na mtindio utaelewa kitu;
*Ni kweli kuwa sio kila mfungwa anayepatikana na hatia na kufungwa au hata kunyongwa, ni lazima awe ametenda kosa. Ungekuwa unatumia hata uti wa mgongo au matako kufikiri, ungekuwa unafahamu kuwa mara nyingi mahakama za juu zimeshatengua maamuzi ya mahakama za chini, unadhani kwanini ?
Je kwa wengi ambao hawana uwezo wa kukata rufani au kutetewa na mawakili, unadhani ni kitu gani kinawatokea?
*Mahakama peke yake ndizo zina jukumu la kutoa adhabu kwa wanaopatikana na makosa sio jukumu la mtu mwingine yeyote, ikiwa ni pamoja na Rais anayeruhusiwa kutoa adhabu nyingine yoyote ambayo haikutamkwa na hakimu katika hukumu.
*Hivyo kuwa adhibu wafungwa, iwe ni kuwapiga mateke, kuwafanyisha kazi bila malipo, ni kosa.
*Hata wafungwa wana haki zote isipokuwa kunyimwa uhuru wao kwa kuzuiliwa magerezani (Hiyo ndio adhabu yao) Wanaweza kufundishwa stadi za kazi/ufundi zitakazo wasaidia wakirudi uraiani sio kufanyishwa kazi kama adhabu kama hakimu hakusema hivyo.
*Ni wajibu wa serikali kuwahudumia wafungwa kwa kutumia kodi na tozo zetu, sio kuwalazimisha eti wajilishe wenyewe sijui kitu gani!! Hizo ndizo huduma za kijamii tunazolipia kodi.
*Kama serikali haina uwezo wa kuhudumia wafungwa basi iwape vifungo vya nje wajihudumie wenyewe.
* Hivi wewe unajua tofauti ya Ubongo na Akili? Huonyeshi kama kuna kitu unachojua!!
*Kutokuelewana na boss wake kama ni kweli, kwanini unadhani ni tatizo lake? Nani kakuambia boss wake hakuwa na matatizo?
*Siku nyingine ukijisikia unaumwa tumbo la kuharisha wahi chooni, sio kuja mitandaoni na kupayuka kwa herufi kubwa kuonyesha dunia jinsi ulivyo zumbukuku.


Hauna Akili, na Hilo BICHWA huenda umepewa kufugia chakula Cha minyoo ila unalitumia vibaya.


Sio jukumu la Magereza kuthibitisha uhali wa Hatia na Vifungo Kwa Wafungwa .

Ni Jukumu la Mahakama, na hivo Mahakama zinawajibika kutenda haki na haki hiyo lazima ianzie Jeshi la Polisi .

Jeshi letu la Magereza, linawajibika kuhakikisha kwamba Mahitaji ya wafungwa yanafikiwa, na Moja ya Hitaji la msingi ni CHAKULA.

Hapa ndipo Hayati JPM , alikuja na Order ya Magereza kutumia nguvu kazi ya wafungwa, kujizalishia chakula Chao .!!.

Huwezi pelekwa Gerezani Kwa makosa yako , alafu Serikali iingie gharama kukulisha ili hali kulikuwa na uwezekano wa kuzalisha chakula .

Wafungwa lazima wafanye kazi na kazi hizo hazipaswi kuchukuliwa kua ni Adhabu , ndio Sababu huko Kuna orodheshwa Ujuzi wa Mfungwa Mmoja Mmoja, na baadae wanatumika kuzalisha ili kupitia kuzalisha kwao, Wahudumiwe...Hiyo sio Adhabu !!.


Unataka Wafungwa wale Bata ?? Et kufunzwa ushonaji na manini??? Are you serious? Ulishindwa kujifunza hayo VETA wakati ulipokua huru mtaani ?.
 
Huyu rais anaongeaga tu. Nimepita mahakama za kinondoni na sinza, kesi yangu ilikuwa dhahiri kwa mtu aliyeniibia. Kesi zote zimetolewa hukumu na mahakimu wa kike, tena wavaa mashuka vichwani kujifanya wachamungu, ila walipokea rushwa na kunishushia kitu kizito kichwani mwangu
Tofautisha Hakimu na Jaji chifu. Umeshaambiwa majaji wanawake wanatumia mioyo kutoa hukumu. Hao wengine including majaji wanaume wao hutumia Figo kutoa hukumu. Understand? Nchi ngumu hii, kukikucha Salama wewe shukuru Mungu. Mengine waachie wao.
 
Back
Top Bottom