Rais Samia ashauri umuhimu wa kusikiliza watangulizi lakini hailazimiki kufata matakwa yao. Akemea udikteta kwani hufupisha safari

Sio Warioba kweli?
 
Hujui subconscious mind inavyofanya.
Subconscious mind inaondoka na neno lililosemwa kwanza
.
Ni muhimu kuwasikiliza watangulizi

Siyo muhimu kufuata ushauri wao
Hapo subconscious mind imeelewa tu kwamba ni muhimu kuwasikiliza watangulinzi.
 
Sidhani kama kauli hii inamlenga mzee wa msoga, kwa mtizamo wangu ni Kama ina mgusa Warioba

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mheshimiwa #SSH anazidi ku fit kwenye kiti chake.
Binafsi naungana naye kwa 100%
Yupo mtangulizi aliyewahi sema nanukuu "za kuambiwa changanya na zako"
 
Alijiamini coz alijua walionyuma yake ni wale jamaa wa nyuma ya pazia!

Alifanya KWA kiasi chake,na Sasa ni zamu ya WENGINE kufanya!

Mungu ibariki Tanzania
 
JPM na Sak

Acha hoja mufilisi ' the dead has no tale to tell' ,JPM keshapumzika na Rais Dkt.Samia amezungumzia mazingira ya sasa.
Hana haki ya kupumzika hata kama ametangulia hatumuachi. The sad thing we have to sit down on the negotiation table with the devil so that he can be extradited back to earrth to face charges of all attrocities he commited against Tanzania From rape, murder, infedility, extortion, arson, homicide, genocide, theft, robbery, banditry, gossiping, backbiting, prejudice, tribalism,terrorism, corruption... name them.

Hatumuachi!

Magonjwa Mtambuka
 
JPM na Sak

Acha hoja mufilisi ' the dead has no tale to tell' ,JPM keshapumzika na Rais Dkt.Samia amezungumzia mazingira ya sasa.
Kuna misukule ya jiwe imebaki kila siku unamlaumu kwa kutokufuata upuuzi wa jiwe
 
nguvu na ujasiri vitategemea kitini ulifikaje na kukaa....
 
Rais Samia Suluhu ni kiongozi wa kuigwa ukifatilia hotuba zake vizuri utagundua kwamba Tanzania iko mikono salama
 
Sawa, lakini sisi kama chadema, hatutakubali usaliti wa Zitto kwa mabadiliko ya nchi hii, kwanini anapanga kugombea urais ili apunguze kura za Lissu? 😒
Akae kwanza kwa kutulia mpaka 2030 maana Dr Samia Suluhu tupo nae mpaka 2030
 
Toka lini kaacha kufuata ushauri wa msoga geng?kama hafuati ushauri wa msoga gang kwa nini Nchi inazidi kudidimia kila siku kiuchumi,kisiasa na kijamii?
 
kama anaweza akasikiliza ushauri wa mtu kama Nape au Makamba...basi we have to brace ourselves
 
Umuache usimuache, kazi unayojipa ni ya kipumbavu Kwa sababu yeye hatoi ushauri Kwa Rais sasa!

Unataka kumaanisha kwamba, JPM amekuwa akitoa ushauri Kwa Rais ktk mazingira yepi na wakati yeye hayuko duniani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…