Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
We jamaa Matusi gani Unazungumzia ??Mtu anaimba matusi ujinga ujinga. Rais hakutakiwa hata kukanyaga hapo.
Rutto na Kenya yake watazidi kutupiga gape.
Mtu ambaye anateua usiku asubuhi anamtengua tena zaidi ya mara moja vetting za wanaoteuliwa tu ni majanga ije kuwa hayo matamasha ambayo ni burudani binafsiHiyo ni kazi ya political Science! Kila ulichofikiria kishafikiriwa na kufanyiwa udadavuzi yakinifu na majubu.....yalikuwa ni kuhudhuria hiyo Event!
Anywe Nini ! Mkuu πUtakuwa unaongea kwa jazba sanaaa! Jaribu kunywa hapo halafu uendelee kuandikaπ€π€
Who sets standard za this is too low?Nani kasema rais kuhudhuria social gathering ni jambo baya? Watu hapa wanazungumzia aina ya mkusanyiko aliohudhuria! This is too low japo siyo jambo la kushangaza kwa sababu tunajua ni mtu uswahili uswahili na shule haijapanda kichwani.
Labda kama ni kichaa hao vijana mashabiki wa hamonize watamoigia lura huyu bibi kisa kahudhuria hilo tamasha huku mikopo zero, ajira ziro gharama za maisha zimepanda maradufu labda kama ni kichaaTunaongea kuhusu kuhudhuria event , hatuongelei personality ya mtu hapaπππ
Ila ... Ehh!!π·π·π·Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki uzinduzi wa album ya Harmonize leo tarehe 25 Mei, 2024 katika ukumbi wa Mlimani City.
View: https://www.youtube.com/live/PafgRqkHmNo?si=oHJtx2WgTWFmEp9k
Huyu sialikimbia Wafanyakazi Mei mosi na kujificha kusiko julikana, Sasa eti anaenda kuzindua album leo, Kweli hatuna Rais huyu ni Rais wa mambo rais.Watanganyika tumepigwa na kitu kizito.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki uzinduzi wa album ya Harmonize leo tarehe 25 Mei, 2024 katika ukumbi wa Mlimani City.
View: https://www.youtube.com/live/PafgRqkHmNo?si=oHJtx2WgTWFmEp9k
Subwoofer zako mbovuMitambo sijui mibovu harmo sauti inatoka km kakabwa na mwiba wa samaki π€£π€£π€£
Mimi naona ni kawaida maana hata wewe UNAWEZA ukawa RAISI na haikuondolei ""UTASHI AU KUA WEWE""Hivi kweli mlitegemea kitu chochote cha maana kutoka kwa Samia? Mtu mwenye vision anajulika anapoongea. Haya mambo ya kujirusha na wasanii ndiyo mambo anayoweza. Huyo mtu aliyeng'ang'ania Samia aapishwe baada ya kifo cha Magufuli aliikosea sana Tanzania.
Hahahahahahahaha dah! Balaa. Na mpaka sasa ameshakuwa na uhakika wa kufanya hiyo kaziMsimshangae ndio vitu anavyoviweza.
Hata huo urais ni mzigo kwake maana anasema ndoto yake ilikuwa awe mhudumu kwenye ndege.
Kutukana Wazee ni laana kubwa πππ
Kutakuwa na kitu kikubwa sana watanganyika tulimkosea mwenyezi Mungu.