Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Sinema zetu na TvEMsaada wanaonesha chennel gani kwani
Akose maneno?Hukosagi maneno, haha
TV E ... Channel 10 plus.Msaada wanaonesha chennel gani kwani
Ahahahha bana weeeh nipo hapa na tv e nainjoi naona mama katoka kuongeaSinema zetu na TvE
Hivi tbc vp maana daaahTV E ... Channel 10 plus.
IRais anazungumziaa Masuala ya Hamonaizi na MADEMU wake.
Hivi tulirogwa ??.
Niliwah sema, Huyu aliyejifanya kufata KATIBA.
Atakumbukwa na WATANZANIA KWA KULIINGIZA TAIFA CHOO CHA KIKE.
Mtakufa navyo vijiba vya roho.Hivi kweli mlitegemea kitu chochote cha maana kutoka kwa Samia? Mtu mwenye vision anajulika anapoongea. Haya mambo ya kujirusha na wasanii ndiyo mambo anayoweza. Huyo mtu aliyeng'ang'ania Samia aapishwe baada ya kifo cha Magufuli aliikosea sana Tanzania.
Kumbe mwamba wewe una shida..TV E ... Channel 10 plus.
Duuh makubwa ππππππKumbe mwamba wewe una shida..
πππππ Tv e qulity mbaya
Alafu channel ten plus hakuna kitu ni singeli tu
Wee nani alisema channel 10 plus kuna hyo showDuuh makubwa ππππππ