Na ndio hao hao waliombambikizia Braza Mbowe kesiAlishauriwa mapema awateme wateule wa Magu yeye kaamua kuwa kumbatia. Acha wamhujumu. Huku wezi, kule kumchafua kwa kesi za kubumba. Hadi akome. Siro hakustahili kuwepo ofisi ya umma leo... Alistahili kuwepo magereza.
Nikweli, wateule wengi wa Magufuli walikuwa mafisadi wa kutisha, na wanastahili wachunguzwe huo utajiri wao wa kutisha wameutoa wapi?Anachotakiwa ni kuwapeleka mahakamani na sio kuongea tu kisha ana achia hapo
Kwa Kakonko aliteleza pakubwa sanaYeye mwenyewe ndiyo kamfukuza mkurugenzi wa TPA. Aliyemuweka kumbe ni jizi. Mama achana na ushauri wa Msoga utakutumbukuza shimoni.
Hujaona nilipozungumzia katiba mpya kwenye hilo bandiko ulilo ni quote? Umesoma bandiko lote ukalielewa? Ama umejikita kwenye “nonsense cherry-picking?”Magufuli hakutaka kusikiliza la mtu. Msijitoe ufahamu nyinyi 🚮🚮🚮
Majambazi yashapoteana, MaCCM ni LAANAKUM katika nchi.Hayo si yalifanyika enzi zake ama?
Kama yeye asingekuwa awamu ya 5 anadhani leo hii hiko kiti cha kurithi angekalia? Hao wezi wafungwe hata kama ni watu Magufuli. Wizi ni wizi tu.Kumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Mungu wa Chato😁😁😁
View attachment 2032554
Mtanikumbuka kwa mema siyo mabaya!
Yule mbaba alikua Kiongozi haswa. Ukiacha propaganda za chadema na akina Marope, mzee aliupiga mwingi. Anyway: Alituacha imara, Tanzania salama.Mtanikumbuka kwa mema siyo mabaya!
Alishauriwa mapema awateme wateule wa Magu yeye kaamua kuwa kumbatia. Acha wamhujumu. Huku wezi, kule kumchafua kwa kesi za kubumba. Hadi akome. Siro hakustahili kuwepo ofisi ya umma leo... Alistahili kuwepo magereza.
As if awamu ya tano hakuwepo kama makamu wa Rais. Nafasi ambayo ilitakiwa awe mshauri wa rais. Katiba mpya ina umuhimu sana.
Wale wale waliokuwa viongozi wakubwa kabisa wa awamu ya tano wakati wa madhambi hayo, eti wanasema madhambi siyo ya awamu ya sita![emoji1][emoji2365]
Hapo ina maana rais peke yake ndo mtendaji wa serikali.
“There must be somewhere where the line is drawn”
Hakuna cha utanikumbuka hapaMtanikumbuka kwa mema siyo mabaya!
Acha kuwapotosha watanzania acha kumpoteza Rais wetu, kama huwezi kumshauri ni bora usiandike chochote.
Kwa wizi kama huuMtanikumbuka kwa mema siyo mabaya!
Correct kabisa,yaani huyu Rais Samia atamaliza miaka 5 anapambana tu na hujuma.Alishauriwa mapema awateme wateule wa Magu yeye kaamua kuwa kumbatia. Acha wamhujumu. Huku wezi, kule kumchafua kwa kesi za kubumba. Hadi akome. Siro hakustahili kuwepo ofisi ya umma leo... Alistahili kuwepo magereza.
Kumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Mungu wa Chato[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2032554
Rais Samia ameelezea tatizo na hatua alizochukua.As if awamu ya tano hakuwepo kama makamu wa Rais. Nafasi ambayo ilitakiwa awe mshauri wa rais. Katiba mpya ina umuhimu sana.
Wale wale waliokuwa viongozi wakubwa kabisa wa awamu ya tano wakati wa madhambi hayo, eti wanasema madhambi siyo ya awamu ya sita!😄🤦🏾♂️
Hapo ina maana rais peke yake ndo mtendaji wa serikali.
“There must be somewhere where the line is drawn”
Mwizi mkubwa yuleYule mbaba alikua Kiongozi haswa. Ukiacha propaganda za chadema na akina Marope, mzee aliupiga mwingi. Anyway: Alituacha imara, Tanzania salama.
2. Mkataba wa ujenzi wa meli tano, kampuni ya YUTEK iliyoshinda zabuni ambayo inatoka Uturuki baada ya kuchunguzwa ikabainika haina sifa wala haijawahi kujenga meli ila ni kampuni ya kidalali....