Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa!!! Au uwe kipofu Kama Abdul Jumbe na Salmin Amour. Watu wanachukulia haya mambo kirahisi sanaUnaulizwa hivi?
Uachane na hilo suala la kujiuzulu au upate ajali!!?
Nani atachagua kupata ajali!!??
Ujasiriamali kwenye ofisi za umma ni wizi. Hakuna haki wala uhalali wa udalali wa kazi za umma. Waje huku mtaani ndio waseme ni wajasiriamaliWatapataje pesa sasa lazima wanzishe vimiradi vya hapa na pale .kumbuka walikuwa na njaa balaa kwa kipindi chote cha magu
Sent using Jamii Forums mobile app