La kweli wa Kigamboni hata kukamatwa hakuna?Ha
Hamna kitu hapo,
Kama ameshindwa kupeleka muhujumu uchumi wa mafuta kigamboni unadhani ataweza nini?
Kuna watu walijilipa posho mabilioni kwa siku na waziri mkuu akalalamika lakini hakuna jipya uandhani ataweza?
Yeye anachoweza ni wale asiokuwa nao upande mmoja kama mbowe na sabaya.
SahihiKwa Kakonko aliteleza pakubwa sana
Ameturithisha uoza wake ,alikuwa anaufichaMtanikumbuka kwa mema siyo mabaya!
Sasa kama Katiba ya zamani inataka mshauri namba moja lakini mshauriwa alisema ukimshauri ndio umeharibu kabisa. Katiba mpya bila watu weledi ina maana gani hapo? Katiba mpya haitaondoa watu wa hovyo. Katiba mpya haitaondoa maprofesa wa Jalalani waliotuambia uchaguzi ulikuwa huru na wa haki ila leo watu haohao wanatuambia haukuwa huru wala wa haki. Kweli Katiba mpya tunataka lakini tunao hata hao watu wa kutuletea hiyo Katiba mpya?As if awamu ya tano hakuwepo kama makamu wa Rais. Nafasi ambayo ilitakiwa awe mshauri wa rais. Katiba mpya ina umuhimu sana.
Wale wale waliokuwa viongozi wakubwa kabisa wa awamu ya tano wakati wa madhambi hayo, eti wanasema madhambi siyo ya awamu ya sita!😄🤦🏾♂️
Hapo ina maana rais peke yake ndo mtendaji wa serikali.
“There must be somewhere where the line is drawn”
Unajua majukumu ya VP? Rejea katiba uone
Hakika umenena, hii ndio comment bora kabisa kwenye uzi huuActually, hii ni awamu ya 5 ambayo Rais wake alibadilika baada ya kifo cha aliyekuwepo. Kuiita awamu ya 6 ni utapeli mwingine tu.
Rejea Katiba ya JMT[emoji23][emoji23] mie sijui niambie
Serikali haiendeshwi Kama kamati ya Harusi ama BirthdayAlishauriwa mapema awateme wateule wa Magu yeye kaamua kuwa kumbatia. Acha wamhujumu. Huku wezi, kule kumchafua kwa kesi za kubumba. Hadi akome. Siro hakustahili kuwepo ofisi ya umma leo... Alistahili kuwepo magereza.
Nimekuja kugundua kumbe yumkini nafasi ya makamu wa rais ni upotevu wa pesa tu kama mambo yenyewe ndiyo hayo. Mtu aliyekua makamu wa rais anapata kabisa audacity ya kusema hayo. Ni kama Joe Biden aanze kukosoa kwa nguvu zote sera za Barack Obama enzi wakiwa woteAs if awamu ya tano hakuwepo kama makamu wa Rais. Nafasi ambayo ilitakiwa awe mshauri wa rais. Katiba mpya ina umuhimu sana.
Wale wale waliokuwa viongozi wakubwa kabisa wa awamu ya tano wakati wa madhambi hayo, eti wanasema madhambi siyo ya awamu ya sita![emoji1][emoji2365]
Hapo ina maana rais peke yake ndo mtendaji wa serikali.
“There must be somewhere where the line is drawn”
Unaulizwa hivi?Wewe unafikiri usalama wa taifa utakubali kiongozi wa juu wa serikali kama huyo ajiuzulu kwaajili ya kupishana na boss wake? Kuna kipindi 2016 alitaka kujiuzulu huyu mama, usitake kuniambia hukusikia. Na kama hukusikia maana yake sio mfuatiliaji wa siasa za Tanzania
Hapo ndo naonaga mambo ya tender ni ya kiohuni eti kumpata mkandarasi bora .juzi pia nimesikia PPRA naona wanataka tenda kwenye loti 3 na 4 ili kuokoa fefha za walipa kodi leo Lao ni yep wasipewe tenaKutoka ziara ya Rais Samia,
Bandari Kuu Dar es Salaam.
Ujenzi wa matenki ya kuhifadhia mafuta, kwanini TPA ilianza ujenzi wa matenki mapya wakati PUMA ina matenki yako tupu na hayatumiki kwanini yasitumike hayo kulikuwa na sababu gani ya kujenga mapya kama sio uchochoro wa kupiga fedha???
2. Mkataba wa ujenzi wa meli tano, kampuni ya YUTEK iliyoshinda zabuni ambayo inatoka Uturuki baada ya kuchunguzwa ikabainika haina sifa wala haijawahi kujenga meli ila ni kampuni ya kidalali....
3. Amevunja bodi zote 2; kampuni ya huduma za meli na TPA
4. Ameapa kulinda maslahi ya Nchi na haki za wananchi kwa kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa weledi na thamani ya fedha huku akihakikisha hakuna hata senti itakayopotea.
SITOKUBALI JUMBA BOVU LIANGUSHIWE AWAMU YA SITA WAKATI UFISADI ULITOKEA HUKO NYUMA
#SamiaKazini
#KaziIendeleeView attachment 2032524
Mkuu wew ni mvivu tu wa kufikiri mbowe ameshatakiwa na DPP wa samia yule wa magu alipigwa chiniAlishauriwa mapema awateme wateule wa Magu yeye kaamua kuwa kumbatia. Acha wamhujumu. Huku wezi, kule kumchafua kwa kesi za kubumba. Hadi akome. Siro hakustahili kuwepo ofisi ya umma leo... Alistahili kuwepo magereza.
Watapataje pesa sasa lazima wanzishe vimiradi vya hapa na pale .kumbuka walikuwa na njaa balaa kwa kipindi chote cha maguMatank ya TIPER hayana mafuta halafu bandari inajenga matank mengine mapya. Wizi mtupu
Huyu aliyepo nasikia ameua scan zote za pale bandariniYeye mwenyewe ndiyo kamfukuza mkurugenzi wa TPA. Aliyemuweka kumbe ni jizi. Mama achana na ushauri wa Msoga utakutumbukuza shimoni.