Rais Samia ashuhudia utiaji wa saini wa hati ya ushirikiano nchini Uganda

Hapo muhimu ni hilo la ulinzi, muda mtaona Wanyarwanda wakilinda mitaa ya Dar, muda utaongea na ndio ajenda kuu ya safari in my view!
 
Tunanunua Umeme kutoka Uganda? Wanazalisha kiasi gani wao kwa siku? Wamejitosheleza?

Kwahiyo sukari inaingilia Uganda kuja Bara baada ya mwamba kuzuia kuingizia sukari Zenji kuja Bara sio!

Kila la kheri GENGE, waliwapenda, wanawapenda kwakuwa mnawakung'utia vumbi lenu
 
Kwa hiyo tupunguze thamani yetu mpaka chini kusudi tusishindwe na Mombasa? Hata hiyo offer bado haitazuia Uganda kutumia bandari ya Mombasa.
Unapunguza Bei kidogo unauza unit nyingi,by the way Uganda/museveni ni mashirika wetu mkuu,hata kipindi Cha cow alikua kwetu kinyemela
 
Reactions: Oii
Hiyo nusu nyingine google
 
Unapunguza Bei kidogo unauza unit nyingi,by the way Uganda/museveni ni mashirika wetu mkuu,hata kipindi Cha cow alikua kwetu kinyemela
Hayo makubaliano siyo ya kupunguza bei kidogo! Ingekuwa ni ya kupunguza bei kidogo ili kuwa competitive tusingeshangaa.
 
Hiyo njia ya umeme inajengwa na nchi gani Uganda au Tanzania. Hiyo ya kupunguza gharama ya usafiri kwa malori mbona naona tutapata hasara?.
 
Uganda sio kwamba wanazalisha sana sukari, bado nao wananunua kutoka Brazil. Alafu nao wanatuletea huku.
Nchi ya kijuha hii
Kuna ukweli mkuu au huna hbr kamili inamaana na yey Ni muhanga wa sukar alfu atuuzie ss Tena mbn African Ni waendawazimu
 
Uganda wanashida Sana ya umeme asikuambie mtu huko busiya huko hakuna umeme kbsa man mkoa ule Kama ukivyo labda Mara sas wametoa wapi umem wakutupa ss tuanaotegemea usalilishaji uanze kwa stigle rs
 
Uganda hii leo inatuuzia sukari?
Hadi sukari jamani!
Yule msomali Basheee maneno na mipango ukimsikiliza unaweza kusema Tanzania tutalisha dunia nzima kumbe story tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…