The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Nawasalimu kwa JMT,
Mnyonge hanyongwi na haki anapewa.
Rais SSH kwa mara nyingine amesisitiza kwa Polisi kwamba ni Marufuku kumuweka mtu ndani yaani Mahabusu Kama Upelelezi Haujakamikika. Hii ni mara ya pili anaongea jambo hili na ameshaliweka kwenye sheria za Polisi.
Ni nadra sana hapa duniani kupata kiongozi anayejali haki, wengi wa waliopo kwenye jamii mnajua ni makatili kama wale waliopita. Hapa chadomo hutowakuta ila angekuwa ka tweet yule Rais wa Twitter kutoka Zambia wangeshajaza nyuzi 😃😃.
Asante sana Rais Samia 👇
Mnyonge hanyongwi na haki anapewa.
Rais SSH kwa mara nyingine amesisitiza kwa Polisi kwamba ni Marufuku kumuweka mtu ndani yaani Mahabusu Kama Upelelezi Haujakamikika. Hii ni mara ya pili anaongea jambo hili na ameshaliweka kwenye sheria za Polisi.
Ni nadra sana hapa duniani kupata kiongozi anayejali haki, wengi wa waliopo kwenye jamii mnajua ni makatili kama wale waliopita. Hapa chadomo hutowakuta ila angekuwa ka tweet yule Rais wa Twitter kutoka Zambia wangeshajaza nyuzi 😃😃.
Asante sana Rais Samia 👇