Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Hapakuwa na haja ya kusema uongo. Wangesema tu kuwa anahitaji kupumzika na watu wangeelewa. Viongozi wengi wanakuwa dehydrated kwa kukosa kunywa maji ya kutosha.
Amandla...
Amandla...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joto la leo Moshi halikuwa la mchezo Maz ,awe anapumzika tunampenda sana achunge siha yake isiporojeke.nahisi ku-faint"
Mwandishi sijakosea, ndivyo walivyosema kama ukisikiliza vizuri kwenye video hiyo, lakini unachosema wewe ni kweli kuwa mama alichotamka akidhani mic iko mbali ndicho sahihi, japokuwa baadaye aliporejea mwenyewe akasema alikuwa anaongea na Rais wa Afrika Kusini kwa kuwa ana safari ya kwenda huko.Sio kweli kwamba alisitisha hotuba kwa ajili ya kupokea simu ya rais wa Afrika Kusini kama ilivyoandikwa ila amesikika mwenyewe akisema "...ngoja haraka haraka nahisi ku-faint.."
Kwa hiyo mwandishi uliyepandisha uzi huu wewe ni mwongo ulikuwa unataka kuficha nini mbona JPM kule Ruangwa ulipotokea moshi mliripoti kama ilivyokuwa inaonesha na yeye mwenyewe mwenyewe kukiri uwepo wa moshi huo?
Isijekuwa ni maigizo 🤪🤪Rais Samia asitisha hotuba ili azungumze na simu ya Rais wa Afrika Kusini, hiyo imetokea Mkoani Kilimanjaro wakati akiwasalimia Wana CCM nje ya Ofisi za Ccm Mkoa wa Kilimanjaro
Sura za kuzimu tupuRais Samia asitisha hotuba ili azungumze na simu ya Rais wa Afrika Kusini, hiyo imetokea Mkoani Kilimanjaro wakati akiwasalimia Wana CCM nje ya Ofisi za Ccm Mkoa wa Kilimanjaro
Sukuma Gang wamemtupia kitu,wana hasira naye sanaMbona hapo mwanzo kabisa nimesikia anasema "hebu harakaharaka nahisi ku-faint"
Hao walevi ndio wanaccm Kilimanjaro?
Yaani Dunia nzima na bara la Afrika linamtegemea, hakika Tanzania tuna hazina
Upo sahihi mwanaMbona hapo mwanzo kabisa nimesikia anasema "hebu harakaharaka nahisi ku-faint"