Rais Samia asitisha hotuba ghafla, sikiliza kwa umakini alichokisema baada ya kuweka mic pembeni, Machi 8, 2023

Mwandishi sijakosea, ndivyo walivyosema kama ukisikiliza vizuri kwenye video hiyo, lakini unachosema wewe ni kweli kuwa mama alichotamka akidhani mic iko mbali ndicho sahihi, japokuwa baadaye aliporejea mwenyewe akasema alikuwa anaongea na Rais wa Afrika Kusini kwa kuwa ana safari ya kwenda huko.
 
HEBU,HARAKA,HARAKA,HARAKA,NAHISI KU FAINT,HARAKA.
Watu wanoko kweli. Bila kuambiwa mi nilikuwa sijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…