Upinzani + Sukuma Gang+ Kundi la mtandao wanaweza kuipasua CCM kuliko wakati wowote na nchi ku experience vuguvugu ambalo halijawahi kutokea.
Well said... saivi wanachapika vizuri , CCM imemeguka vizuri sana, sema upinzani nao hawaeleweki,majanga na ma kesi mengi mahakamani.
 
Mliosubiri PM majaliwa aenguliwe mpoo? Asante Sana mama,majaliwa piga kazi na mungu akipenda uje uwe rais wetu.

Hongera PM Allah akusimamie
Urais? Yaani alietudanganya kuwa JPM yupo ofisini anapitia mafaili kumbe anapigania uhai wake ICU ndio unasema achape kazi??

Alisaidia nni wana kusini walipopigwa korosho? Amewasaidiaje wana kusini kunufaika na bomba la gesi?? Kma jimboni kwake tu aliengua wagombea ili apite bila kupingwa then hana moral authority ya kusimamiwa na Allah as u prayed!!

Embicile
 
Huyu Doto Biteko Upepo wake uko Vizuri, Mganga wake ni nani aisee mana mpaka leo ana hema, au kafukia mbuzi mzima hapo Wizarani, Kongole kwake Dr Biteko


Hakuna mganga zaidi ya Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…