Lengo lake la kumridhisha kikwete limetimia
 
Masauni ni wa znz pia
naona huu mwaka spika nae atoke tu znz
Waziri mkuu nae znz!

Hivi akina Kabudi, Mkuvi na wengine hata Majaliwa
si wajitoe ccm?
Kweli hii nchi imekuwa genge sasa!

Upinzani hii ndiyo nafasi pekee ya kuingia Ikulu
huenda Mungu amejibu maombi yenu
Cha msingi mleteni mtu sahihi!
 
Nilisema jana kwamba samia hana option ya kupata mawaziri nje ya type ya mawaziri anaofanyanao kazi sasa.

Wote ni type moja tu.
mwisho wa siku ni kurudia teuzi zilezile.

Ukimtosa ndugulile utarudi kumwibua kigwangala.

Ukimtosa simbachawene utajikuta umemrejesha mavunde & etc

Circle ni ileile.naona pindi chana amerejea tena.

Nakumbuka jakaya, ndani ya awamu yake alijikuta ameteua mawaziri takribani 90+ kama sio 100.
 
Marwa Waitara yule Mlevi yu wapi?
 
Kiukweli nadhani kwa miaka ya hivi karibuni nchi hii haukuwahi kuwa na Waziri wa ardhi aliyeimudu Wizara Ile kwa kiasi chake kama Lukuvi. Kiukweli tumepata pigo. Yule mzee kidogo alikuwa na utu katika utatuzi wa migogoro ya ardhi.
Ndio hivi yaani manaa anaacha mawaziri wa maana anateua watu wao hivyo wa kuturudisha nyyuma .2025 atakuwa na wakati mgumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duhh ngoja kwanza niko hapa mlingotini nasoma upepo nitawaletea taarifa kamili muda si mrefu.

Kwani hawawezi kusubiri kidogo??

Yes ipo live sasa.
Ndugu yako Ridhiwani ameula sasa.

Naiona Yanga ya mwaka huu ikiwa bingwa maana kila idara wamejazana
 
Huwa najiuliza sijui Kikwete huwa anaifikiria familia yake kwamba ataiachaje siku akienda au anafikiri ataishi milele? Hakuna Familia inayochukiwa Tanzania kama hiyo na kila siku chuki inazidi.

Haya Spika Ndugai yuko wapi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…