Rais Samia atangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu
Ccm inawenyewe wamerudi wote team kikwete
Hapa kula kuliwa tu mama anagawa keki ya taifa kwa kurudisha shukrani kwa maelekezo maalum.

Hili taifa ni mdundo hatutasonga mbele
Waache walitafune tuu.
 
Yeye ndiye mwenye Siri ya mikopo asingeweza kumtosa Kwa sasa. Washirika wote wa Redio Mbovu wamepigwa chini ukimuondoa Kiranja Mkuu.
Hapo ndiyo mama huwa anafeli utambakishaje yule mwenye mikoba ya jiwe?
 
So, kumbe Prof. Kitila, Prof. Kabudi, Lukuvi, Mwambe na Waitsra ndio waliokuwa wanampa Samia joto la 2025?

Kabudi arudi jalalani kwake tu sasa
 
Muda wowote baraza jipya....... stay tuned

#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua @Nnauye_Nape kuwa Waziri wa Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua @HusseinBashe kuwa Waziri wa Kilimo na @AnthonyMavunde kuwa Naibu Waziri wa Kilimo

#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amembadilisha @ummymwalimu kuwa Waziri wa Afya akitoka @OR_TAMISEMI

#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Mhandisi Hamad Masauni kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi

#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Angeline Mabula kuwa Waziri wa Ardhi na @ridhiwankikwete kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemhamisha George Simbachawene kwenda Wizara ya Katiba na Sheria

#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Mhandisi Hamad Masauni kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi

#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Profesa Adolf Mkenda kuwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia akichukua nafasi ya Profesa Joyce Ndalichako.

Rais Samia Suluhu amemteua Prof Joyce Ndalichako kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu





#MabadilikoBarazaLaMawaziri
Ni kuongeza matumizi kwa wananchi.
 
DROPPED 🤔

William Lukuvi

Prof. Palamagamba Kabudi

Prof. Kitila Mkumbo

Geoffrey Mwambe
Hii inchi Lukuvi, Kabudi, Mkumbo chali bi mkubwa kapwiyanga, inchi hii wasiojua ndio wanapewa nafasi kila nikimtizama Kimei moyo huwa unamia.

Haya na CCM imerudi kwa wazawa, mzazi anampa mwana shavu.Vasco Dagama ana upiga mwingi sana, safari kampa pande mwanae,kweli inchi imefunguka.
 
Back
Top Bottom