mkamanga original
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 637
- 663
Haya wale tuliondolewa kwa ajili ya kutamani kiti cha malkia tuonane Dodoma Hotel saa 4 usiku leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna namna ya kukomesha huu upuuzi zaidi ya kuiondoa ccm madarakani.Nacho hii watz tuna jumbo la kufanya,kukomeshs huu mfumo
Jitahidi upenyeKupeana kwa urithi
1. Makamba
2. Mizengo pinda
3. Kikwete
4. Mnauye
5.
Hapa kula kuliwa tu mama anagawa keki ya taifa kwa kurudisha shukrani kwa maelekezo maalum.Ccm inawenyewe wamerudi wote team kikwete
Yeye ndiye mwenye Siri ya mikopo asingeweza kumtosa Kwa sasa. Washirika wote wa Redio Mbovu wamepigwa chini ukimuondoa Kiranja Mkuu.Mazindiko yanatisha
Let them go to hellLooks like a retaliatory move....
All supporters of the late Pre are down
Hapo ndiyo mama huwa anafeli utambakishaje yule mwenye mikoba ya jiwe?Yeye ndiye mwenye Siri ya mikopo asingeweza kumtosa Kwa sasa. Washirika wote wa Redio Mbovu wamepigwa chini ukimuondoa Kiranja Mkuu.
Kigwangala Hamisi ameachwa [emoji28]
Wala hutasikia Wakristo wakiongea kwasababu wana akili kubwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wakati wa Magu ilikuwa ni CHRISTIANS PRO MAX
Hawa jamaa Bibie alisema wako kimya sana[emoji3][emoji3][emoji3]Mwambe
Lukuvi
Kabudi
Kitila
Out......
Natumaini mama sasa hakuna wa kumuhujumu!!Mama anasema anahujumiwa lakini kwa uteuzi huu anajihujumu mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabalozi wamegoma kwenda Dodoma.Fuata nyuki ule asali.Ikulu ya dodoma tuanze kufugia kuku wa kisasa......haina kazi....
Ni kuongeza matumizi kwa wananchi.Muda wowote baraza jipya....... stay tuned
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua @Nnauye_Nape kuwa Waziri wa Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua @HusseinBashe kuwa Waziri wa Kilimo na @AnthonyMavunde kuwa Naibu Waziri wa Kilimo
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amembadilisha @ummymwalimu kuwa Waziri wa Afya akitoka @OR_TAMISEMI
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Mhandisi Hamad Masauni kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Angeline Mabula kuwa Waziri wa Ardhi na @ridhiwankikwete kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemhamisha George Simbachawene kwenda Wizara ya Katiba na Sheria
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Mhandisi Hamad Masauni kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Profesa Adolf Mkenda kuwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia akichukua nafasi ya Profesa Joyce Ndalichako.
Rais Samia Suluhu amemteua Prof Joyce Ndalichako kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu
#MabadilikoBarazaLaMawaziri
Hii inchi Lukuvi, Kabudi, Mkumbo chali bi mkubwa kapwiyanga, inchi hii wasiojua ndio wanapewa nafasi kila nikimtizama Kimei moyo huwa unamia.DROPPED 🤔
William Lukuvi
Prof. Palamagamba Kabudi
Prof. Kitila Mkumbo
Geoffrey Mwambe