Rais Samia atangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu
Homa ya 2025 inampelekesha kuliko hata hao anaowatuhumu.

Hapa inaonyesha anataka pa kuegemea kuelekea 2025.

Asiposoma alama za nyakati ataweka historia na kuleta rejea isiyopendeza kwa viongozi wa ke siku za usoni.
 
Bado tuna safari ndefu sana kama taifa, CCM baada ya kututawala kwa miaka 60 wanaonesha dhahiri jinsi akili zao zilivyofika mwisho wa kufikiri. Sasa wanashindwa hata jambo dogo tu la kutafuta sura mpya zenye weledi zije kufanya kazi ya wananchi licha ya wasomi wengi waliopo.

Ni aibu kwa taifa la watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na sura zile zile kila awamu, huu mchezo wa kurithishana madaraka unatengeneza taifa la watawala na watawaliwa. Nawashangaa zaidi wale jamaa zangu wanaoitwa ikulu wakaimbe mipasho wakati hata wao keki ya taifa haiwahusu, hawa ndio watumwa haswa.
Wanakuweka madarakani, wanakutoa madarakani halafu wanajiweka Madarakani Waite kwa Lugha ya Polepole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nauangalia huu mkeka, nikama zao la maazimio ya kongamano la kumbukumbu ya Marehemu Mzee Moses Nnauye. Maneno ya wale wazee na tambo za Nape twitter dhidi ya Polepole baada ya kongamano zinadhihiri.
 
Kwani nyie bavicha si mlikuwa mnashangilia aliposema ana mkeka mpya?

Mlifikiri mnamkomoa hayati?
Bavicha walifurahia kutangazwa kwa mkeka walidhani Mabutu wao anakuja toka Ubelgiji kuja kuwa waziri mkuu kumbe akitia mguu tuu atapewa kazi ya kukamua kuku maziwa
 
Halafu tunaambiwa vijana ni soni/aibu kukosa ajira au kazi ya kufanya, ati kazi zipo nyingi za kufanya.

Waheshimiwa wanatushangaa kusubiri ajira za serikali. Inaumiza sana.

Ni heri ya Mzee Magufuli na si kwa kejeli hizi halafu "wao" wanaendelea kupeana vyeo.

Inafika muda maskini tunataka kukufuru, kuwalaumu wazazi wetu kwanini hawakutafuta KONEKISHENI [emoji24][emoji24]


Nimezikumbuka zile nyimbo Ni mzee wangu anazisikiliza

#1. CCM Ni ile ile

#2. CCM inawenyewe

#3. Anachukua anaweka waaaaaaaa.


Sawa, Mungu wetu akiyembinguni, tunaendelea kumlilia ili siku moja nasisi tuonekane kwenye "ORODHA"

JAPO TULIPENDA SANA WATUKUU ZETU WASIPATE SHIDA KAMA TUIPATAO LAKINI NDIO HIVYO USUKANI UMESHIKILIWA NA DEREVA KIASI KWAMBA NI NGUMU HATA KUNUSA.

INAUMA,

Yote haya yatakwisha tukiwa na katiba mpya.

Katiba mpya katiba mpya katiba mpya.
 
Angalia watoto wa viongozi wakubwa au wastaafu wote wanapangiwa uwaziri na je mtoto wa mkulima lini atateuliwa??
Samia halipi fadhila bali anatimiza azma ya walioumizwa na JPM kwa kuwashughulikia na JPM hakuwa na mambo ya uongozi wa urithi,,,
Jamani jamani Samia hatufai sasa tufanyeje??? mjadala uwe huo
Samia anafanya kazi ya kuharibu legacy ya JPM ambayo angeipata kwa mambo mengi iliyoyaanzisha ikiwamo hiyo miradi ya kimkakati ya SGR , RUFIJI DAM na madaraja ya vivutio
Tunaona uchungu sana lkn tatizo hakuna upinzani credible kwani kuwapa nchi CDM ni bora ya hayo maCCM kwani CDM wakilipa fadhila ni huko nje kwa mabeberu wafadhili na waelekezaji wao,,,bora CCM walipane fadhila kwa waTZ mara dufu kuliko huyo Mabuttu Lissu wa Ubelgiji
Huna kabisa akili wewe, sasa hivi nani anaye mzuia mzungu kupata chochote atakacho ktk nchi hii wakati kwenye bakuli yeye ndiye anayedondoshamo hela.

After all, Tanzania hii ina nini cha maana cha wao kuhangaikia mbona basi nchi ni masikini hivi. Small mind.
 
Back
Top Bottom