Hatatuuza kwa wachina huyu?Naona mbio za JK kumwandaa mwanae kuja kuwa rais wa Tanzania zimeanza rasmi.
Hii ni kwakufuata nyayo za Mwinyi
Tena itakuwa mbaya sana; ifike mahali watanzania tuamke tukatae huu upuuziSaivi watu wataonewa Sana kudhulumiwa ardhi.
Hii nchi itakuja kufikia Kama Kongo ni kutwangana tu kwenda mbele.
Wanakuweka madarakani, wanakutoa madarakani halafu wanajiweka Madarakani Waite kwa Lugha ya PolepoleBado tuna safari ndefu sana kama taifa, CCM baada ya kututawala kwa miaka 60 wanaonesha dhahiri jinsi akili zao zilivyofika mwisho wa kufikiri. Sasa wanashindwa hata jambo dogo tu la kutafuta sura mpya zenye weledi zije kufanya kazi ya wananchi licha ya wasomi wengi waliopo.
Ni aibu kwa taifa la watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na sura zile zile kila awamu, huu mchezo wa kurithishana madaraka unatengeneza taifa la watawala na watawaliwa. Nawashangaa zaidi wale jamaa zangu wanaoitwa ikulu wakaimbe mipasho wakati hata wao keki ya taifa haiwahusu, hawa ndio watumwa haswa.
Acha kulia lia, na wewe mwandae mwanao aje ashike nafasi uliyopo au kubwa zaidi ya hiyo.Naona mbio za JK kumwandaa mwanae kuja kuwa rais wa Tanzania zimeanza rasmi.
Hii ni kwakufuata nyayo za Mwinyi
Tumecheleweshwa sana kufikia hukoSaivi watu wataonewa Sana kudhulumiwa ardhi.
Hii nchi itakuja kufikia Kama Kongo ni kutwangana tu kwenda mbele.
Ccm inatumia nguvu za dola kubaki madarakani sio kura za wananchi.Wacha aligawe na kifo cha CCM ndio matakwa yetu wananchi…maana tumeichoka
Angalia usivyo na akili kabisa!Acha kulia lia, na wewe mwandae mwanao aje ashike nafasi uliyopo au kubwa zaidi ya hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bavicha walifurahia kutangazwa kwa mkeka walidhani Mabutu wao anakuja toka Ubelgiji kuja kuwa waziri mkuu kumbe akitia mguu tuu atapewa kazi ya kukamua kuku maziwaKwani nyie bavicha si mlikuwa mnashangilia aliposema ana mkeka mpya?
Mlifikiri mnamkomoa hayati?
Nchi hii bila katiba mpya tutaendelea kuongozwa na watu wa hovyo hadi mwisho wa dunia! Haka kajamaa ni kapiga dili dhahiri. Hakapaswi kupewa hata huo ubungeHatatuuza kwa wachina huyu?
Kwani walishamalizana?
Huna kabisa akili wewe, sasa hivi nani anaye mzuia mzungu kupata chochote atakacho ktk nchi hii wakati kwenye bakuli yeye ndiye anayedondoshamo hela.Angalia watoto wa viongozi wakubwa au wastaafu wote wanapangiwa uwaziri na je mtoto wa mkulima lini atateuliwa??
Samia halipi fadhila bali anatimiza azma ya walioumizwa na JPM kwa kuwashughulikia na JPM hakuwa na mambo ya uongozi wa urithi,,,
Jamani jamani Samia hatufai sasa tufanyeje??? mjadala uwe huo
Samia anafanya kazi ya kuharibu legacy ya JPM ambayo angeipata kwa mambo mengi iliyoyaanzisha ikiwamo hiyo miradi ya kimkakati ya SGR , RUFIJI DAM na madaraja ya vivutio
Tunaona uchungu sana lkn tatizo hakuna upinzani credible kwani kuwapa nchi CDM ni bora ya hayo maCCM kwani CDM wakilipa fadhila ni huko nje kwa mabeberu wafadhili na waelekezaji wao,,,bora CCM walipane fadhila kwa waTZ mara dufu kuliko huyo Mabuttu Lissu wa Ubelgiji
Ndie Raisi ajayeRidhiwani kuwa Naibu Wizara ya Ardhi, kosa kubwa hapa limetendeka, sijui kwanini napata wasiwasi wa huyu kijana kutofit hapa.
+ MeNikuhakikishie hata fit,halafu atapelekwa madini kuwa waziri kamili ,au naibu mambo ya nje ,upumbavu tupu
Wanatengeneza chuki bila kujua ... system imeshafeli kabisa nchi inajiendea tuSaivi watu wataonewa Sana kudhulumiwa ardhi.
Hii nchi itakuja kufikia Kama Kongo ni kutwangana tu kwenda mbele.