Rais Samia atangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu
Huu ndiyo ukweli unaoshuhudia kuanzia kwenye dhamiri ya mkuu mshika usukani na watanzania wote kwa ujumla!! Ee Mungu utusaidie!! Tusidanganyane!!
 
Nchi hii bila katiba mpya tutaendelea kuongozwa na watu wa hovyo hadi mwisho wa dunia! Haka kajamaa ni kapiga dili dhahiri. Hakapaswi kupewa hata huo ubunge
La ila Kikwete jamani! Mke Mbunge,yeye mwenyewe mshahara maisha maisha yake yote,anataka na mtoto awe waziri? Loh nafuu angekuwa na uwezo basi.
 
NA IFE
A340E460-7006-4C4E-A1BE-3527410BCE96.jpeg
 
Yaani,

1;Mavunde
2;Makamba
3;Nape
4;Ridhiwani
5;Bashe
6;Pinda chana
7;mizengo
8;

Aibu yake rais Samia Suluhu,anatafuta mpasuko wa lazima kwa chama na taifa kwa ujumla
Samia kwa kumuacha Mwigulu fedha utakuja juta siku sio nyingi! Hili ni baraza la Msoga Ndio maana Pindi Chana amepewa uWaziri sasa naona Vasco Dagama anakwenda kumsimika NCHIMBI kama spika !! Niliwaambia juu ya RIDHWANI kuwa kwenye Baraza sasa utasikia ya spika .Watch this space!! Hii ndio Cabinet ya WAHUNI?
 
Ridhiwani kuwa Naibu Wizara ya Ardhi, kosa kubwa hapa limetendeka, sijui kwanini napata wasiwasi wa huyu kijana kutofit hapa.
Wasiwasi wako tu kwani uwaziri umesikia anaenda kubeba vyuma
 
Bado tuna safari ndefu sana kama taifa, CCM baada ya kututawala kwa miaka 60 wanaonesha dhahiri jinsi akili zao zilivyofika mwisho wa kufikiri. Sasa wanashindwa hata jambo dogo tu la kutafuta sura mpya zenye weledi zije kufanya kazi ya wananchi licha ya wasomi wengi waliopo.

Ni aibu kwa taifa la watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na sura zile zile kila awamu, huu mchezo wa kurithishana madaraka unatengeneza taifa la watawala na watawaliwa. Nawashangaa zaidi wale jamaa zangu wanaoitwa ikulu wakaimbe mipasho wakati hata wao keki ya taifa haiwahusu, hawa ndio watumwa haswa.

Peincelings in the making and established
 
Huyu Riz one hatufai hata kwa chembe, kwanza hana uungwana,anawaza pesa tu,kipind cha maua wake alikuwa na watu wake kila sekta apa nchini,watanzania tumepingwa na kitu kizito
 
Angalia watoto wa viongozi wakubwa au wastaafu wote wanapangiwa uwaziri na je mtoto wa mkulima lini atateuliwa??
Samia halipi fadhila bali anatimiza azma ya walioumizwa na JPM kwa kuwashughulikia na JPM hakuwa na mambo ya uongozi wa urithi,,,
Jamani jamani Samia hatufai sasa tufanyeje??? mjadala uwe huo
Samia anafanya kazi ya kuharibu legacy ya JPM ambayo angeipata kwa mambo mengi iliyoyaanzisha ikiwamo hiyo miradi ya kimkakati ya SGR , RUFIJI DAM na madaraja ya vivutio
Tunaona uchungu sana lkn tatizo hakuna upinzani credible kwani kuwapa nchi CDM ni bora ya hayo maCCM kwani CDM wakilipa fadhila ni huko nje kwa mabeberu wafadhili na waelekezaji wao,,,bora CCM walipane fadhila kwa waTZ mara dufu kuliko huyo Mabuttu Lissu wa Ubelgiji
Teh teh teh teh..😂😂😂...umenifurahisha sana teh teh teh teh... endelea kukitumikia chama,zamu yako ikifika utapata tu.
 
Bado tuna safari ndefu sana kama taifa, CCM baada ya kututawala kwa miaka 60 wanaonesha dhahiri jinsi akili zao zilivyofika mwisho wa kufikiri. Sasa wanashindwa hata jambo dogo tu la kutafuta sura mpya zenye weledi zije kufanya kazi ya wananchi licha ya wasomi wengi waliopo.

Ni aibu kwa taifa la watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na sura zile zile kila awamu, huu mchezo wa kurithishana madaraka unatengeneza taifa la watawala na watawaliwa. Nawashangaa zaidi wale jamaa zangu wanaoitwa ikulu wakaimbe mipasho wakati hata wao keki ya taifa haiwahusu, hawa ndio watumwa haswa.
Wewe Ni kichaa
 
Back
Top Bottom