Rais Samia atangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu
Bado tuna safari ndefu sana kama taifa, CCM baada ya kututawala kwa miaka 60 wanaonesha dhahiri jinsi akili zao zilivyofika mwisho wa kufikiri. Sasa wanashindwa hata jambo dogo tu la kutafuta sura mpya zenye weledi zije kufanya kazi ya wananchi licha ya wasomi wengi waliopo.

Ni aibu kwa taifa la watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na sura zile zile kila awamu, huu mchezo wa kurithishana madaraka unatengeneza taifa la watawala na watawaliwa. Nawashangaa zaidi wale jamaa zangu wanaoitwa ikulu wakaimbe mipasho wakati hata wao keki ya taifa haiwahusu, hawa ndio watumwa haswa.

Mimi nashangaa jinsi Mambo yalivyogeuka kwa Kasi. Leo makamba, Nape na Ridhiwan ni Mawaziri. Aisee nobody knows about tomorrow. Nape alifukuzwa kisa kufuatilia sakata la Makonda kuvamia clouds.
 
This is how our country is, kamwe hatutakuja jikwamua toka dimbwi la umaskini.
Imagine kunavijana wengi sana wenye nguvu; lakini akina Mkuchika wanarudi uringoni. Watoto wa watawala wanaingizwa wawe na uwezo au wasiwe nao.
Tunahitaji kupata raisi kijana.

Wakati wa kufanya maamuzi wananchi huona aibu. Ngoja wenye nchi waendelee kula.
 
Yaani,

1;Mavunde
2;Makamba
3;Nape
4;Ridhiwani
5;Bashe
6;Pinda chana
7;mizengo
8;Mwigulu

Aibu yake rais Samia Suluhu,anatafuta mpasuko wa lazima kwa chama na taifa kwa ujumla

Tupunguze ramuli, wakati wa mwendazake hizi ngonjera za kupasuka chama zilikuwa kemukemu lakin icho chama kilipasuka!?
 
Samia anajisifia amekopa Trioni 1.3 ku kotoka kwa mabeberu ili kufanya maendeleo ndani ya Tz na wakati huo huo ametoa Trilioni 10 kutoka pesa za ndani kwenda kulipa madeni nje.

Hivi huyu mtu ana akili sawa sawa?
Miaka yote serikali inalipa madeni haijaanza leo ,hata Mwendazake amekuwa anlipa madeni zaidi ya bil.800 kila mwezi,sio mnaropoka hakuna kitu mnajua kwenye uchumi nyie.

Kwa kukusaidia tuu Samia kaingia kakuta forex imeshuka iko bil.dola mil.400 sawa na kuagiza bidhaa Nje kwa miezi 4,,unapopata mkopo unaongea forex reserves na kustabilize shilling yako na kuongeza uwezo wa kuagiza bidhaa Nje .

Ila kwa vile wengi ni viazi hakuna mnachojua zaidi ya kuropoka,achia wenye fani.
 
Anzeni kuuza ardhi zenu mlizojiwekea mahekari kabla hayajawafika
 
Wewe ni boya na hujui uchumi ndio maana unajiropokea..

Kodi kulipa huwezi,tozo kidogo makamasi kibao, wasipokopa waongeze Kodi utalipa wewe?

Kwanza unajua kuongeza Kodi kwa Nchi maskini kama hii utaua uchumi?

Mijitu mifala Sana NYie,uliza Wana Uchumi wakusaidie.Ndio maana China ,US kamwe hawajawahi kuacha Kukopa kwa sababu wanaelewa maana ya Mikopo sio kama wewe umesomea kiswahili unajifanya kujua Uchumi.

Kwanza utakuwa ni maskini wa kutupwa wewe,huko mtaani kwenu kama huwa hukopi basi hata hujielewi.
Toa hoja au unachokielewa na epuka lugha za matusi,,, Lakini nakuomba samahani sana kwani kama ni elimu sijui kama unaojibizana nao unajua viwango vyao vya elimu,,,Samahani sana but my comments were not directed to you personally you just popped your nose at the end of the gun's muzzle,,, samahani
 
Angalia watoto wa viongozi wakubwa au wastaafu wote wanapangiwa uwaziri na je mtoto wa mkulima lini atateuliwa??
Samia halipi fadhila bali anatimiza azma ya walioumizwa na JPM kwa kuwashughulikia na JPM hakuwa na mambo ya uongozi wa urithi,,,
Jamani jamani Samia hatufai sasa tufanyeje??? mjadala uwe huo
Samia anafanya kazi ya kuharibu legacy ya JPM ambayo angeipata kwa mambo mengi iliyoyaanzisha ikiwamo hiyo miradi ya kimkakati ya SGR , RUFIJI DAM na madaraja ya vivutio
Tunaona uchungu sana lkn tatizo hakuna upinzani credible kwani kuwapa nchi CDM ni bora ya hayo maCCM kwani CDM wakilipa fadhila ni huko nje kwa mabeberu wafadhili na waelekezaji wao,,,bora CCM walipane fadhila kwa waTZ mara dufu kuliko huyo Mabuttu Lissu wa Ubelgiji
Mpuuzi wewe Samia hafai ,lakini Mungu wenu alikuea ni Shetani kwetu...aende zake!
 
Watanzania mmerogwa tulien tulete tawile wa dunia na mtalia sana ila tulien
 
Sasa Hawa wakidudisha that economy itakuwa nzuri kwa sisi tunaofanya biashara

Kwa kumuacha Waziri wa fedha Mwigulu , anayesema madeni hayalipwi na wananchi bali serikali usitegemee kuwa uchumi wa nchi utakua!! Mfumuko wa bei Ndio huo hawajui hata pa kuanzia wanapiga siasa tu za mwaka 2025!!
 
Kwa timu hiyo labda watukabe na watutaifishe!
 
Toa hoja au unachokielewa na epuka lugha za matusi,,, Lakini nakuomba samahani sana kwani kama ni elimu sijui kama unaojibizana nao unajua viwango vyao vya elimu,,,Samahani sana but my comments were not directed to you personally you just popped your nose at the end of the gun's muzzle,,, samahani
Hujaona hoja hapo? Unaropoka wakati hujui kitu when it comes to economics and management of country economy.
 
Kwa kumuacha Waziri wa fedha Mwigulu , anayesema madeni hayalipwi na wananchi bali seriali usitegemee kuwa uchumi utami wa nchi utakua!! Mfumuko wa bei Ndio hui hawajui hata pa kuanzia wanapiga siasa tu za mwaka 2025!!
Mwigulu hana shida na mimi kama Mchumi mwenzangu naona yuko sawa,mambo ya kauli za kisiasa kwangu hazina maana nachoangalia ana manage vipi uchumi.

Mwendazake aliwahi sema huna 200 kulipia kivuko kigamboni piga mbizi,je uliona katolewa uwaziri?
 
Back
Top Bottom