Rais Samia atangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu
Bado tuna safari ndefu sana kama taifa, CCM baada ya kututawala kwa miaka 60 wanaonesha dhahiri jinsi akili zao zilivyofika mwisho wa kufikiri. Sasa wanashindwa hata jambo dogo tu la kutafuta sura mpya zenye weledi zije kufanya kazi ya wananchi licha ya wasomi wengi waliopo.

Ni aibu kwa taifa la watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na sura zile zile kila awamu, huu mchezo wa kurithishana madaraka unatengeneza taifa la watawala na watawaliwa. Nawashangaa zaidi wale jamaa zangu wanaoitwa ikulu wakaimbe mipasho wakati hata wao keki ya taifa haiwahusu, hawa ndio watumwa haswa.
Mama amekwisha sasa. Na CCM itagawanyika sasa hivi. Sibirini. Mama anaongizwa na Kikwete na wala siyo yeye mwenyewe. Hajiamini hata mara moja. Asitudanganye.

Amemtoa Ndugai kafara na yeye siku zake zinahesabika. Tit for tat!
 
Mliosubiri PM majaliwa aenguliwe mpoo? Asante Sana mama,majaliwa piga kazi na mungu akipenda uje uwe rais wetu.

Hongera PM Allah akusimamie

Ngoma bado mbichi!! Ngojea muziki wake unakuja.
 
Bado tuna safari ndefu sana kama taifa, CCM baada ya kututawala kwa miaka 60 wanaonesha dhahiri jinsi akili zao zilivyofika mwisho wa kufikiri. Sasa wanashindwa hata jambo dogo tu la kutafuta sura mpya zenye weledi zije kufanya kazi ya wananchi licha ya wasomi wengi waliopo.

Ni aibu kwa taifa la watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na sura zile zile kila awamu, huu mchezo wa kurithishana madaraka unatengeneza taifa la watawala na watawaliwa. Nawashangaa zaidi wale jamaa zangu wanaoitwa ikulu wakaimbe mipasho wakati hata wao keki ya taifa haiwahusu, hawa ndio watumwa haswa.

Institutions hazifi kwa kuugua, kupata ajali mbaya au kushambuliwa kwa silaha za moto. Zenyewe hufa kwa kushindwa kujibu current needs and expectations za stakeholders. Ipo siku (hata kama sio leo) CCM lazima itakufa kwa style hiyo hiyo pia!
 
Mpasuko mkubwa mno unaonekana kwenye ombwe la uongozi Tanganyika yetu
 
umesahau bei ya mbolea ya wapiga kura wake labda msoga atampia kura milioni 8 pekee yake
Samia ni kero ambayo haijawahi kutokea TZ raisi gani analilia mikopo ya mabeberu???
Samia siyo wa CCM kwani ndani ya CCM hawasujudii mabeberu
CCM ya nchi gani hiyo?
 
Kikwete angemwachaje kijana wake kando? Hiyo ardhi ikae sawa Sasa akimaliza mwaka atakuwa anamiliki ardhi kubwa kama Uhuru Kenyatta
Hawa wsna mambo ya ajabu sana,kwenda kumpeleka mkewe akagombee ukuu wa mkoa wapi sijui mtwara huko nilichoka sana ukizingatia wamestaafu.
 
Ni kweli CCM ina wenyewe wa timu Msoga, na sasa imerudi huko kikamilifu. Pamoja na yote, naona mama anaongoza kwa kuangalia 2025 tu, na sijui kwa nini awe anapanicki hivyo ilihali yeye ndiye mwenyekiti wa CCM, na kwa wakati huu CCM haina mpinzani.

Hao wenye CCM ndio waliokuwa wameikwamisha sana mpaka wakaja na sera ya mizigo na kujivua Magamba. Sasa tena sijui itakuwaje huko mbeleni. Ila kama wewe uko CCM na hauna ukaribu na Kikwete, basi imekula kwako. Dili zitapigwa sana serikalini katika miaka hii minne iliyobaki.
Hii team ilikaa sana benchi awamu ya 5 ila haikusambaratika....Sasa wamerudi ulingoni huenda Polepole atakaa kimya Sasa.
 
Amerithishwa na baba yake Kulala na maiti ili kupata cheo!! Washirikina sana hawa; vichwa nazi .
Mkuu usitumie hili jukwaa kudhalilisha watu....heshimu viongozi.
 
Mkuu usitumie hili jukwaa kudhalilisha watu....heshimu viongozi.
Respect is gained!!! Viongozi ni kioo cha Jamii lazima waoneshe Mfano wa kutokuwa mafisadi!!! These people have done a lot of harm to this country and hence they do not deserve a modicum of respect. I am writing this as a patriot who is angry and loves his country!
 
Huyu Mchengerwa kumpeleka Wizara ya Utamaduni amekosea, kwakeli hata kama ana unasaba nae lakini walau kwa maoni yangu niliona kuna kitu utumishi alikuwa anafanya!!
Ni upuuzi tu kupindua pindua mawaziri i hate it,lukuvi pale alishafit kabisa,ummy nae alikua ndio kwanza anaanza kuweka mambo sawa mara nenda kule.mambo gani hayo mtu unabadilishwa wizara 2 kwa miezi 9 sasa ufanisi wako utaonekanaje?
Nape na Riz1 wamerudishwa wa nini hakuna watu wengine wa kuongoza.
Duh
 
Back
Top Bottom