Rais Samia atatimiza na kusherehekea Umri wa miaka 64 Jumamosi ya wiki hii, huku Taifa likiwa na imani kubwa kwake

Rais Samia atatimiza na kusherehekea Umri wa miaka 64 Jumamosi ya wiki hii, huku Taifa likiwa na imani kubwa kwake

Kwanini niandamane? Yaani niandamane kuunga mkono uroho na uchu wa madaraka wa CHADEMA kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo? Nani atabeba mzigo wa gharama za kuwalipa hao wabunge wa ziada?
Kwahiyo hawa wa viti maalumu kuanzia udiwani mpaka jimbo nani anabeba gharama? We ni minga
 
Kwahiyo hawa wa viti maalumu kuanzia udiwani mpaka jimbo nani anabeba gharama? We ni minga
Kwa hiyo na wewe unaunga mkono ujinga wa CHADEMA kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo kukidhi matakwa ya matumbo yao?
 
Kwa hiyo na wewe unaunga mkono ujinga wa CHADEMA kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo kukidhi matakwa ya matumbo yao?
Nakuuliza hivi; hawa wabunge wa viti maalum wa ccm pamoja na madiwani plus wale wale 10 ambao Rais anawateua mzigo wa kuwalipa mishahara anabeba nani? Baada ya hapo nitakujibu kuwa naunga mkono ama la?
 
Tupe data kusema watanzania halafu unaulizwa data za watu miliono 60+ unasema dunia ni kama kijiji sio sawa.

Hao watanzania lini walimchagua Samia na kusema ndio chaguo lao kama rais?
Huyo ni mjinga na anaaibisha wanaume na wasomi. Imagine anamposa mwanao
 
Tupe data kusema watanzania halafu unaulizwa data za watu miliono 60+ unasema dunia ni kama kijiji sio sawa.

Hao watanzania lini walimchagua Samia na kusema ndio chaguo lao kama rais?
Wameshampendekeza na wanakwenda kumchagua mwakani
 
Huyu ni malaya wa akili.

Amekubali kuuza utimamu wake kwa 20k
Kila siku namwambia ache kuandika nadharia na vitu vya kufikirika ambavyo mtu yeyote anaweza kuandika akiwa chumbani! Aje na constructive issues itamsaidia hata kama ni teuzi anatafuta! Nimemshauri amtafute "tumbili" Davies Kafulila amfundishe uandishi wenye mantiki na unaojenga hoja fikirishi na shawishi yenye kujenga qmbapo hata msomaji aweza kushawishika na kuvutika au Pascal Mayalla amsaidie pia lakini ameendelea kushupaza shingo na kuakza makalio na kuandika insha tu ambazo hata bint yangu ukimpa title tu anaweza kuandika.

Hivi kweli kijana wa kiume rijali unayatarajia kuwa baba unakaa unawaza birthday ya mama na kuihusianisha na national issues? Yaani siku ya kuzaliwa Rais wa nchi au kutimiza miaka fulani ina uhusiano upi na mustakabali wa taifa? Ukimuuliza kama kuna any significant correlation between president's age /birthday na mambo kuntu ya Taifa (National sensitive issues) atajibu ni amani. Like serious?
Juzi nilimwambia yeye ni feminist akawa mkali- sasa kila siku tunawaona wadada hapa mjini na ma^box meupe ya birthday cakes what's the difference?

Nadhani angemkumbusha Rais mambo muhimu ambayo yanaathiri maisha ya watanzania kwa sasa na namna ya kuya-adress yeye anawaza besdei !!! A wasted sperm
 
Back
Top Bottom