Tetesi: Rais Samia atavunja Barara la Mawaziri, Biteko atakuwa Waziri Mkuu na Mpina atapewa uwaziri ila mambo yatakuwa ni yale yale

Tetesi: Rais Samia atavunja Barara la Mawaziri, Biteko atakuwa Waziri Mkuu na Mpina atapewa uwaziri ila mambo yatakuwa ni yale yale

Kwa mtazamo wangu kulingana na hali ya mambo na yanayoendelea Bungeni, hiki ndio kinakwenda kutokea siku si nyingi na mabadiliko haya yatakuwa ni ya kisiasa tu.

Mwigulu na Mbarawa, wanaweza kuondolewa kwa muda halafu baadae wakarudishwa au kubadilishiwa wizara, huku Biteko akipewa uwaziri mkuu na Mpina kupewa uwaziri na Majaliwa kupumzishwa.

In this country, it only needs to be an adult to predict what our politicians are going to do or behave under certain circumstances.
mwigulu na mbarawa wawaondoe tu. hata katelefoni tupa kule.
 
Kwa mtazamo wangu kulingana na hali ya mambo na yanayoendelea Bungeni, hiki ndio kinakwenda kutokea siku si nyingi na mabadiliko haya yatakuwa ni ya kisiasa tu.

Mwigulu na Mbarawa, wanaweza kuondolewa kwa muda halafu baadae wakarudishwa au kubadilishiwa wizara, huku Biteko akipewa uwaziri mkuu na Mpina kupewa uwaziri na Majaliwa kupumzishwa.

In this country, it only needs to be an adult to predict what our politicians are going to do or behave under certain circumstances.
Na lini Lissu anampindua Mbowe kwenye uwenyekiti? Maana nasikia mipango yote ipo tayari!
 
Nimeona Samia ana tabia ya kumteua anayeonekana kuwasumbua mawaziri waliopo, akisema njoo nawe ufanye yale uliyokuwa ukiyasema bungeni, ajabu kwa Mpina hamgusi, sijui anaogopa kitu gani, au anasubiri nini.

- Labda Mpina anaweza kuteuliwa after 2025 election kama atafanikiwa kurudi bungeni, lakini kwa sasa sioni atateuliwa awekwe wapi, hasa nikiona anavyodili zaidi na mambo ya wizara ya fedha, ambapo "mtoto wa mama" kwa sasa anaonekana hagusiki.

Kuhusu Majaliwa kupumzika, hiyo inaweza kutokea after 2025, ambapo Samia ataamua kwenda na Biteko kama PM wake baada ya kumpa experience kwa cheo cha Naibu WM alichonacho sasa, ila sidhani kama itakuwa before 2025.
Imeamriwa Mpina aendelee kusahaulika ili aendelee kua salama dhidi ya Watesi wake.

Kwa Mpina Lijalo kwake ni kubwa na Lina Furaisha !!.
 
Yap, maana kuvunja baraza la mawaziri haisaidii kama serikali haina uwezo wa kuchukua hatua dhidi ya wanaoihujumu.
 
Na mwaka huo serikali itakayo kuwa madarakani sio CCM.
Mark my words! Na ikiwa yenyewe haiwezi kuwa na 2 third ya Bunge
Ikiwa hivyo sawa ila kama siyo hivyo tunabaki na my reply no hadi 2026!.
 
Back
Top Bottom