Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Labda hata shule za watoto alikuwa hajapata

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Tunasafisha nyumba au ghala hadi pale itakapo kuwa safi.

Tunaondoa masalia yoote na bado wengine inabidi wajiandae.
 
Mlevi Chalamila amefanya kosa gani huko?
Chalamila alikuwa mpenda sifa muonevu na mbwabaj. Kinacho furahisha kwa mama SSH hata wajaribu kumpenyezea majina ya watu hovyo atajitahidi kutumia vyombo vyake kufanya tathmini ya kina kubaini ukweli.

Mama hakosei ni makini sana. Sifa kubwa ya akina mama hawapendi aibu na fedheha ndiyo maana utakuta nyumba nyingi zilizokuwa na mama ni safi ndani na zinangaa. Ndiko huko tunako elekea taifa la Tanazania kutoka kwenye uigizaji kurudi kwenye uhalisia.

Nilikuwa naona aibu sana kuwa na viongozi kama kina: Ole Sabaya, Paul Makonda, etc ilikuwa ni aibu kwa taifa. Maombi yangu kwa mama ukimaliza na RCs, DCs, DEDs geukia kwenye Mashirika ya Umma na Taasisi za Elimu ya juu (hapa ifanyike ukaguzi maalum). Nina uhakika ukipitia sehemu zote nyumba itakuwa safi.

RC alikuwa RC kweli nikumbuka enzi za kina: Mashishanga, Mzindakaya, Mwambungu, Wasira, Meck Sadiq, Lukuvi, ole Kone, Rehema Nchimbi, Mwanri, Ndikilo, etc basi na muombea mama yetu mwenyezi Mungu amtangulie awapate kama hawa. Kiongozi wa umma ni kioo cha maadili mema na inatakiwa kuwa hivyo.
 
Huyo aanze naye kupaki mabegi yake
 
Hapi muda wake unakuja soon
 
Ngoja nije mimi unipe kwa niaba yake😊
 
Yesu Kristo aligeuza maji kuwa divai.
 
Hapi kapelekwa Mara Ili akatumbuliwa,hawa jiwe toxin zaidi ya kumsifia na kumtukuza mwendazake hawana sifa za kuwa watendaji
 

Hahaaa Ally Happy inabidi ajitafakari next change anakaa benchi....Kwahiyo Bango limemuondoa Chalamila ,sasa inabidi polisi waanze naye kwa ile kesi aiyosema ya kuua kwa kumpiga risasi mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…