Tujadili Hii bajeti inachangamoto nyingi utafikiri imeletwa na mabeberuUkiona hivyo ujue na anakesi za kujibu kama Makonda so lazima ajadiliwe Wanambeya watatuambia maana sisi wanaMwanza alikuwa anatuambia Tunywe Pombe.
This depends on who should do the due diligence. Of all, entire government qualifies to be vetted, from the top to the bottom.Doing your due diligence by using all the available resources at your disposal in order to get it right the first time.
Siyo rahisi ni mshirikina balaaNi swala la muda tu. Aanze kuloweka nywele zake maana siku zake hazikombali!
Hujaona video akihamasisha wananchi wa Mwanza kumpokea Rais tarehe 15 na mabango yoyote hata kama ni matusi waandike tu.?Wakati mwingine inakuwa rahisi sana kumvizia kiongozi ambaye tayari ana shutumiwa, akiondolewa madai dhidi yake lazima yataibuka hata kama anaweza kuwa ameondolewa kwa sababu nyingine tofauti na zile alizokuwa akishutumiwa nazo, binafsi sijui sababu ya Chalamila kuondolewa, na hakuna ajuae coz hatujaambiwa na mamlaka ya uteuzi.
Ndio imempoza, amesahau kuwa mama hataki mabango ya misifa au kero.
That's the truth.Nimeliwaza sana hili!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alisema ameongea naye aongee naye sasa
Pole sana mkuu, wai Nigeria TB Joshua kafufukaWengi walioteuliwa ijumaa ni siku yao ya kumcha mungu
Mwana alikuwa kimeo sana.. Hapa ni Mbeya watu ni shangwe tupuKumbe waliwekwa kwenye rada tayari! Hapo alikuwa anasubiriwa atakayeanza kujichanganya tu. Mama anamahesabu ya mbali sana, yaani anakutimua mwenyewe unaona kabisa hapa nimezingua. Tena unatumbuliwa usiku wa manane bado upo ndotoni. Saluti sana mama