Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Samia ni Magufuli.

Samia aliteuliwa na Magufuli kama alivyoteuliwa Sabaya, Hapi, Majaliwa,Mpango etc

Acha wanafunzi wa Magufuli waumane
Wai chattle, gwaji boy ameshatangulia kamfufua mungu wenu
 
Atakuwa kapandisha mabega, si unakumbuka maza hausi alivyosema kuhusu wateuliwa watakaopandisha mabega?
 
Kisa makada wa chama na wanawatukana wapinzani
 
Nasubiria nione mapokezi ya mama huko mwanza, mei mosi walimbipu
 
Kwa hiyo huwa unauza hilo tendo??
Mi nahitaji huduma sema bei

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Duh Nlijua yasemayo ni uongo[emoji9][emoji11][emoji11] kumbe kwel[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]ile Tim inaondolewa taratibu[emoji6][emoji6][emoji6] haya bhana jenga nchi.,..
 

Mkuu angalia hata ule uzi wa bajeti haukuwa na wachangiaji hata kabla ya hii taarifa. Kwa ujumla taarifa za bunge ni kama watu wamezipuuza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…