Ally Hapi ndo kwanza alikuwa anajitambulisha kwenye wilaya za mkoa wa Tabora. Jumatatu na jumanne alikuwa anajitambulisha wilaya ya Kaliua, jumatano na alhamisi alikuwa wilaya ya Urambo, ijumaa amehamishwa mkoa.
Sijui kama alishamaliza kujitambulisha Tabora. Kazi Iendelee.
Barua imemfikia kweli usiku usiku huu.Ili asipate tabu ya kujiandaa kukicha
Anataka leta vurugu Rais apokelewe na mabango ya matusi! Daaaah! Kwanza sheria inapinga mtu kutukanwa na kudhalilisha.
Huyu alitaka mdhalilisha Rais. Ahojiwe!
Karma is real.Mungu kasikia Maombi
Uwezo wa Happi ni mikoa midogo midogo kama simiyu,geita,katavi Mara kule atatahiriwa.Kule ni ngome ya chademaAlly Hapi inabidi ajichunge sana huko Mara ama sivyo huko ndio utakuwa mwisho wake!!!
Very very bogus man empty mindKarma is real.
Just like Bashite and happy.
Chalamila has NEVER been a good governor.
mwisho wa kuongelea hiyo bajeti kwani ni leo? si ndo kwanza inaanza kuwa debated jumatatu au hadi j3 watu watakuwa wanaongelea chalamila?watu wamefurahi takataka za mwendazake zinapunguaMbuzi wa kafara. Wadanganyika kesho wanaamka na Agenda ya Charamila wanasahau Mambo ya bajeti na Kodi za 'Ovyo ovyo'
Kaingia tunduni mwenyewe Kwa ujinga wake.Yule comedian Mwanza asingeweza.
Hakika ,ile kichwa ni ya kipekee...unajiuliza alifikaje pale alipo....kweli Maisha sometimes ni bahatiChalamila ni endangered spices anatakiwa kulindwa asipotee.
Sina uhakika nahiyo sahihi ya jaffari hanimu kamaniyakwake au tunalishana matango pori humu hazifanani chunguzeni kwanza
Mpiga push ukimsifia tu kesho teuzi unapata wote walipata kwa style hioHakika ,ile kichwa ni ya kipekee...unajiuliza alifikaje pale alipo....kweli Maisha sometimes ni bahati
Jmani huyo Jafari atumie font Kama za msigwa hiyo font hata hainogi
Tuwekee unayoijua weweSina uhakika nahiyo sahihi ya jaffari hanimu kamaniyakwake au tunalishana matango pori humu hazifanani chunguzeni kwanza
Hapi ni muslim.chalamilla hafai kabisa, lakini mama namusangaa bado anaona hapi anafanyaa kweli? lakini muda utaongea
It was very clear from the very beginning that this Dude did not have what it takes to be the RC. Not surprised that he is now thrown under the bus, nilishangaa yeye kuendelea kuwa RC.Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Kaanza na kiberiti [emoji23] ,dadeq walah jamaa wenge sana yule akanywe ulanzi sasa kwao hukoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Juni 2021 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine kama ifuatavyo:-
View attachment 1814796
Hivi Chalamila alikua anafundisha shule ya vidudu au chekecheaVery very bogus man empty mind